Natamani kuacha kazi ya usalama wa Taifa(TISS)

Status
Not open for further replies.
Kwamba nataka niwakamatishe watu? Aisee basi sawa
 
Na bahati mbaya umeleta chai yenye vitunguu
Haya mambo ya kutunga tunga yanawaumbua sana, alitwambia hana mpango wowote na tz, na anaishi nje ya nchi.
juzi kaja kuomba msaada kwamba anadaiwa mil 200 na nyumba yake imepigwa X huko huko marekani.
sasa TISS kaingia lini?? Mkuu GENTAMYCINE Unaposema mapang'ang'a unakuwa sahihi!
 
Nilivyoona tu imeandikwa "Tiss" nikajua tu kumekucha na mshetani yameshampanda mtu
 
Watakusaka na watakupata tu! Kumbuka humu pia wapo kama wewe na wameshafahamu lengo lako sasa chukua tahadhari mapema vinginevyo you’re dead my friend...
 
Miss fulani kumbe kuna wakati unakuwaga usalama
 
Mimi naitamani sana hii kazi. Bas tu, ni vile haiombwi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…