Kitu ambacho siwezi katika maisha yangu ni matusi maana ni dalili ya Kushindwa kwa hoja na upungufubwa akili kwa hiyo usitegemee kwangu maneno kama hayo.Hauna hoja za kumtisha mtu yoyote. Utaishia kuwaita mashoga tu basi, hoja ambayo ni ya kipumbavu
Karibu katika chama Cha kataa ndoa, chama chenye kupambania na kulinda haki na mali za mwanaume.
raisi wa chama chetu ni Liverpool VPN, katibu mwenezi ni Mimi Intelligent businessman, mwanasheria wa chama ni Xi Jinping, makamu mwenyekiti ni Natafuta Ajira.
Baraza la chama min -me, Loading failed.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
View attachment 3228229
Unajichekewesha tuNatamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.
Nimejifungia sehemu bado natafakari
Kuzaa tuta zaa si Kuna mahusiano, na wengine Wana lipwa ili wazae watoto kwa ajili ya mtu fulani.Ila mkikataa ndoa unamaanisha hamtaishi na mwanamke na kuzaa nae pia
Nifafanulie niwaelewe 😀
Kwakweli asije akaanza kutapika hapobro rudi home umelewa!
Sababu ni ipi?Natamani kujiunga hili Chama la Wana ila roho bado inasita-sita.
Nimejifungia sehemu bado natafakari
Mimi hiki chama sikiwezi mkuu. tayari nipo chama tawala😄Karibu mkuu, haina kiingilio
Naam bro najua huwezi kusema😂Mimi hiki chama sikiwezi mkuu. tayari nipo chama tawala😄
Hiyo sio ndoa, ni ndoanoNaam bro najua huwezi kusema😂
View attachment 3228284
*****! Kweli wewe ni Katibu mwenezi, hadi logo ushatengeneza? HahahahaKaribu katika chama Cha kataa ndoa, chama chenye kupambania na kulinda haki na mali za mwanaume.
raisi wa chama chetu ni Liverpool VPN, katibu mwenezi ni Mimi Intelligent businessman, mwanasheria wa chama ni Xi Jinping, makamu mwenyekiti ni Natafuta Ajira.
Baraza la chama min -me, Loading failed.
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
View attachment 3228229