adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Kitu ambacho siwezi katika maisha yangu ni matusi maana ni dalili ya Kushindwa kwa hoja na upungufubwa akili kwa hiyo usitegemee kwangu maneno kama hayo.Hauna hoja za kumtisha mtu yoyote. Utaishia kuwaita mashoga tu basi, hoja ambayo ni ya kipumbavu