Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Kwaio umelichukuliaje swala la @ Nifa kuchukua avatar yako.Shemeji pita mitandaoni huko kwa watu wetu wa press! Picha zipo kibao..
Kacheki kwa kifesi, issaazam, almaszambele, millardayo, lemutuz, etc
Ukiunganisha na ya mkubwa fella unafunika bombadier yetu
Hebu pigeni picha kwakunyooka hii ya upande-upande ni janja-janja sisi sio watoto wadogo.Wasafi leo wamejaza kama ilikuwa show ya bure
View attachment 450039
Mwaka huu mta tapatapa sanaHizo picha tano zote ni za mbele ni kama moja imegawanywa gawanywa, hebu chek hao jamaa wawili walio vifua waz mchek huyo jamaa mwenye tishet nyeupe yenye mstari mwekundu na huyo dem mwenye nyeus juu chini nyekundu. Hakuna nyomi hapo tunadanganyana.
Shem sina account yoyote zaidi ya Jf, nipe ushahidi Shem wangu.Shemeji pita mitandaoni huko kwa watu wetu wa press! Picha zipo kibao..
Kacheki kwa kifesi, issaazam, almaszambele, millardayo, lemutuz, etc
Na wata tepetepe.Mwaka huu mta tapatapa sana
Mmmmh hivi huyu msela ana familia?maana huu umri wa 50+ ni wa magonjwa ya kisukari na tezi dume.... kama hana kids basi imekula
Fiesta 2014 wadhamini walikua vodacom Kumbe?Picha na maktaba
Cc Fiesta 2014
Hahaha bado kwa vichwa maji walitaka apewe ukuu waa wilaya ubongoKama duniani kuna wazee wanajutia siku waliyopiga bao wakatunga mimba za watoto wao flanflan bado mzee malechela analaani siku hiyo bao la huyu kijana wake....fuc$#@k the day he was born a bastard
Best nasso zaidi ya mond maan kuna siku nilkua bush mzee alinijazia hatari uwanja wa mpira ulipgwa makuti-Clouds fm
-Vodacom Tz
-Mkesha wa X-mass
-Dar es salaam
Kwa factor hizi hata mwanangu best Nasso anajaza uwanja wa Taifa bila shida,tuachane na idadi ya watu tuambieni WCB wanafanya balaa gani leo maana idadi ya watu ilikua iko wazi kama nanliiu ya kuku duh mimi niko zangu La chaaz hapa nahisi JPM anasingiziwa kuhusu hali ngumu maana tumejaa.
She is my girl..Kwaio umelichukuliaje swala la @ Nifa kuchukua avatar yako.
Maana nimecheck avatar mbona zinalandana na mkuu The bold?
Hii show imebuma tuwe wakweli tu.Kwanini picha zimeunganishwa na sio moja moja? Cha kuchekesha zaidi picha zote zimepigwa eneo moja karibu na stage.
Ndio maana jana nilisema leteni picha za angle zote.
Hata hivyo kwa hali ya sasa mmejitahidi,sio mbaya sana.
has already been there and done that.Mmmmh hivi huyu msela ana familia?maana huu umri wa 50+ ni wa magonjwa ya kisukari na tezi dume.... kama hana kids basi imekula
Sasa kwanini wana-crop picha?Naskia jamaa amejaza, muitikio watu kibao mpaka tiketi zimeisha, zilienda kuprintiwa tena
Hadi dasara ataletwa hapo kuokoa jahaziHii shoo ni ya wasafi au clouds fm, nimewaona navikenzo sasa sijui na wao wako wasafi???
Best nasso zaidi ya mond maan kuna siku nilkua bush mzee alinijazia hatari uwanja wa mpira ulipgwa makuti