Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Natamani kujua ushawishi wa kanisa katoliki katika utawala na usalama wa dunia

Hii ndio taasisi ninayoikubali sana kwa kupanga mikakati ya miaka hata zaidi ya mia.
Inaushawishi almost dunia nzima na kwa kila mwanadamu direct au indirect kupitia dini shule na orders zake maarufu kama IHS
 
Kanisa katoliki lina nguvu ya kuongoza dunia, mfano mdogo: Kipindi kile Obama na mwenzi Mwingereza walivyokuwa wamekazania kuutetea ushoga, baba mtakatifu alimuita Obama, wakaa akamuonya kuhusu dhambi ya kuoana watu wa jinsia moja, ndio hapo Obama na wenzie wakapunguza kidogo kasi ya kuuhubiri ushoga.
We subiri utakuja kuchoka na roho yako
 
Hii ndio taasisi ninayoikubali sana kwa kupanga mikakati ya miaka hata zaidi ya mia.
Inaushawishi almost dunia nzima na kwa kila mwanadamu direct au indirect kupitia dini shule na orders zake maarufu kama IHS
Mkuu hyo IHS ndo nn?
 
Oh asante mkuu kwa hiyo inapotokea ukatoka ule moshi mweusi maana yake ni nini ? Hajapatikana sio ? Hajapatikana kwa misingi ipi ? Wanaopigiwa kura kuwa papa si wale Makadrinali ? Kwanini mmoja moshi utoke mweupe na mwingine mweusi ?
Kwa mfano mkiwa wawili mnatakiwa kushika nafasi flan, kura zilingane unafikiri hapo nani atakuwa kachaguliwa?
 
Kama ambavyo lilitawala dunia kipindi hiko litarudi tena kutawala dunia. Na hizi families ndio zitalirudisha utawala wao. Wanafanya kazi ya hili kanisa chini chini. Soon you will know about this. Just jaribu kuangalia matamko yatakayokuwa yanatolewa na Pope kuanzia now and you will see how many followers atapata. Si umeona juzi kasema Talaka ruksa!! Yaani maaguzi ya Mungu yanapangiwa cabinet duniani
Kama huelewi vitu omba uelezwe ukweli, kuhusu talaka au kuvunja ndoa usikurupuke kama huijui sheria ya ndoa. Hakuna chochote alichofanya juu ya sheria ya ndoa, inabaki kuwa palepale.
 
Hakuna kitu kizuri chochote juu ya kanisa katoliki utakachokisikia kutoka marekani.
Marekani INA siri zake nyingi sana, mambo mengine tushaanza kuyaona, ushoga, utoaji wa mimba, ndoa za jinsia moja. Haya yote yanapingwa na kanisa, marekani inachofanya ni kulichafua kanisa kuhusu mambo yasiyo ya msingi ili waweze kuweka mambo yao ya kipuuzi.
Hii leo watu wanaamini kuwa uislam ni ugaidi, nani ametufanya tuelewe hivyo kama sio propaganda chafu za marekani? Anafanya watu wafikiri kuwa hahusiki na hilo wakati ndio mpango wake wa kuitawala dunia.
Saivi imefika mahali mmarekani akisema kitu tunajua ni cha ukweli.
Okay ngoja tusubiri dunia kuwa Giza kuanzia Nov 16 maana NASA wamethibitisha.
 
Na hili ndio maana niliwaambia wakati wa uchaguzi kuwa lowassa hawezi kushinda it's not about kwamba yeye sio chadema au CCM hapana Ni kwasababu yeye Ni MPROTESTANT nchi hiinitatawaliwa na muislamu na mkatoliki mpka mwisho wa dahari!!
At the end of the day watatawala tena dunia only few watabaki fighting but ilishatabiriwa hata kwa kitabu cha Daniel kwa Ile sanamu kuwa ule utawala wa kuvaa mavyuma mwilini (Roma) watarudi but YESU atarudi kuvuruga huu utawala.
NB: ( msije na hisia za udini HAPA someni na muelewe na pia mkasome na historian bila kichwa chako kukieweka kwneye imani yoyote ndio utaelewa)
Utawala wa Kuvaa mavyuma ndio upi huo?, ROMAN EMPIRE? Maana unaonekana kana kwamba unachanganya Catholic church na Roman empire,
 
Mbukwenyi. Jf

Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au zaidi kutokana na kuongoza watu kutoka nchi tofauti duniani kitu ambacho sio rahisi kwa rais, lakini kwa lugha ya kikatoliki kiongozi huyo anaitwa Papa (pope) swali langu je nini nguvu ya kanisa hilo kwa tawala na usalama wa dunia? je mfumo upi wa serikali yake? wakuu nisaidieni

Kanisa Katoliki ndio taasisi pekee ya kale duniani inayoishi mpaka sasa na haionyeshi dalili zozote za kuporomoka. Dola na falme mbalimbali za dunia zimekuja, zimemea na kunyauka, na kuliacha Kanisa Katoliki na ujana wake ule ule.

Kanisa Katoliki pekee duniani lenye mnyororo wa uongozi usiokatika, kutoka Petro yule mvuvi maskini mpaka leo hii huyu Fransisko.

Ni Kanisa Katoliki pekee hapa nchini lenye raia mwenye uraia wa nchi mbili. Mwadhama Pengo husafiria pasipoti ya Vatikani badala ya Tanzania. Sio katiba wala sharia zinazoweza kumzuia.

Ni Kanisa Katoliki pekee ambalo lenyewe ndio la Kwanza kuwa na chuo kikuu duniani.

Ni Kanisa Katoliki pekee duniani ambalo limeweza kufanya kazi na tawala za kidikteta kama Hitler, tawala za ubaguzi wa rangi kama Afrika Kusinini, wajamaa kama Tanzania, Mabepari kama Kenya nk

Ni Kanisa Katoliki pekee ambalo linaweza kuukataa mwaliko wa rais wa nchi kama Kikwete na kuukubali mwaliko w Mwadhama kardinali kutembelea nchi husika.

Ni Kanisa Katoliki pekee ndilo linaamua Krismasi iwe tarehe 25 Desemba na sio vinginevyo. Na Tanzania tuwe na mapumziko Jumatatu ya Pasaka wakati hakuna sherehe au sikukuu inayoitwa hivyo.

Ukitaka kujua nguvu ya Kanisa Katoliki tafuta maana na maneno haya "Ecclesia in Unum, Sanctus, Catholicum et Apostolicum

nk .nk nk. nk.
 
Kanisa katoliki liko na influence kila sehemu
ndo maana Marekai walikuwa wanalipiga sana vita
Kennedy ndie Rais wa kwanza Marekani mkatoliki..
na hata kwenye kampeni zake aliwabembeleza sana wamarekani wamuamini
Hofu ya wamarekani wengi ni Rais mkatoliki kumsikiliza sana Pope na hatari zake

Kihistoria nchi zenye wakatoliki wengi zikipata Rais anesikiliza sna Vatican basi hata uhuru
wa wananchi huwa mashakani....

Kanisa katoliki lina historia chafu sana ya kulinda madikteta wakatoliki dunia nzima

na kutumiwa kwenye siasa za nchi fulani fulani mfano halisi Pope John Paul II
alivyotumika na Marekani huko Poland.....
Duh!yaani wamarekani hawautaki na kuuogopa ukatoliki na hata Kennedy aliwasihi wamuamini hawakumwelewa,tena wamarekani hao hao wasioupenda ukatoliki wamtumia pope jonh paul II mpoland against poland?!!!!poland ni nchi au kijiwe cha saigon?catholic church ni baraza ya kahawa huko gerezani?
 
Mbukwenyi. Jf

Wajuvi wa mambo wanijuze maana ninavyojua mimi kanisa katoliki duniani lina serikali yake katika mji wa Vatican nchini italia, na lina kiongozi wake mwenye wadhifa wa urais au zaidi kutokana na kuongoza watu kutoka nchi tofauti duniani kitu ambacho sio rahisi kwa rais, lakini kwa lugha ya kikatoliki kiongozi huyo anaitwa Papa (pope) swali langu je nini nguvu ya kanisa hilo kwa tawala na usalama wa dunia? je mfumo upi wa serikali yake? wakuu nisaidieni
They have the best intelligence service in the world. All the world intelligence services all combined collect 1/10th of what Vatican collects daily.
 
Uongozi mzima wa nchi ni wa watawa, hao ndiyo wanasomea sheria, afya, elimu, engineering, huduma za jamii na vinginevyo. Askari wanaomlinda Pope lazima wawe wakatoliki. wengine wataendelea.

This article is about the revolutions of 1917. For the revolution of 1905, see 1905 Russian Revolution.The Russian Revolution was a pair of revolutions in Russia in 1917, which dismantled the Tsarist autocracy and led to the eventual rise of the Soviet Union. The Russian Empire collapsed with the abdication of Emperor Nicholas II, and the old regime was replaced by a provisional government during the first revolution of February 1917 (March in the Gregorian calendar; the older Julian calendar was in use in Russia at the time). In the second revolution that October, the Provisional Government was removed and replaced with a communist state.

The February Revolution (March 1917) was a revolution focused around Petrograd (now Saint Petersburg), then capital of Russia. In the chaos, members of the Imperial parliament or Duma assumed control of the country, forming the Russian Provisional Government. The army leadership felt they did not have the means to suppress the revolution, resulting in Nicholas' abdication. The Soviets (workers' councils), which were led by more radical socialist factions, initially permitted the Provisional Government to rule, but insisted on a prerogative to influence the government and control various militias. The February Revolution took place in the context of heavy military setbacks during the First World War (1914–18), which left much of the Russian Army in a state of mutiny.
 
Korea Kaskazini yamtaja Trump kwa mara ya kwanza - BBC Swahili
Ukitaka kujua mambo ya hizi dini iwe Uislamu au Ukristo basi usiwe muumini wao kuna vingi utajifunza kwa uhuru mkubwa bila kuegemea popote

Hivi ushawahi kujiuliza wakati wa uchaguzi wa Papa ule moshi mweupe unaotoka kwamba amekubalika unatokana na nini ? Hivi kwanini wanao ruhusiwa kumchagua papa ni Makadrinali tu ?
Kama primary goal ni kumtumikia Mungu kwanini hawa Makadrinali wapo wachache sana duniani ? Nadhani hawafiki 300 Afrika ikiwa sijui na watatu
Hivi ni vigezo gani hasa vinatakiwa kuwa Kadrinali ? Unafikiria kwanini viliwekwa hivyo vigezo ili kila padri asifanikiwe kuwa Kadrinali ?
Haya makanisa ya dunia yana muingiliano mkubwa sana na serikali zetu za kidunia kuliko hata lengo lao la awali la kuwaleta wanadamu karibu na Mungu

Vivyo hivyo kwa dini zingine
Hili dhehebu ni watekelezaji Wa NWO period.
 
LPs[/MEET oLPko
[QUOTE="MSEZA MKULU, post: 18510673, member: 49261"]Hii ni Alama ya chama au jesuit order. Au society of Jesus. Pitia humu JF Intelligence Kuna nyuzi zimeeleza kiundani. Mfano Ile ya yeriko nyerere[/QUOTE]

[QUOTE="Sky Eclat, post: 18495678, member: 106478"]This article is about the revolutions of 1917. For the revolution of 1905, see [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/1905_Russian_Revolution']1905 Russian Revolution[/URL].The [B]Russian Revolution[/B] was a pair of [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Revolution']revolutions[/URL] in [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Russian_Empire']Russia[/URL] in 1917, which dismantled the [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Tsarist_autocracy']Tsarist autocracy[/URL] and led to the eventual rise of the [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_Union']Soviet Union[/URL]. The [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Russian_Empire']Russian Empire[/URL] collapsed with the abdication of [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/List_of_Russian_rulers']Emperor[/URL] [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Nicholas_II_of_Russia']Nicholas II[/URL], and the old regime was replaced by a [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Provisional_government']provisional government[/URL] during the first revolution of February 1917 (March in the [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Gregorian_calendar']Gregorian calendar[/URL]; the older [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Julian_calendar']Julian calendar[/URL] was in use in Russia at the time). In the second revolution that October, the Provisional Government was removed and replaced with a [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Communist_state']communist state[/URL].

The [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/February_Revolution']February Revolution[/URL] (March 1917) was a revolution focused around Petrograd (now [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Saint_Petersburg']Saint Petersburg[/URL]), then capital of Russia. In the chaos, members of the Imperial parliament or [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/State_Duma_of_the_Russian_Empire']Duma[/URL] assumed control of the country, forming the [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Russian_Provisional_Government']Russian Provisional Government[/URL]. The army leadership felt they did not have the means to suppress the revolution, resulting in Nicholas' abdication. The [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/Soviet_(council)']Soviets[/URL] (workers' councils), which were led by more radical socialist factions, initially permitted the Provisional Government to rule, but insisted on a prerogative to influence the government and control various militias. The February Revolution took place in the context of heavy military setbacks during the [URL='https://en.wikipedia.org/wiki/World_War_I']First World War[/URL] (1914–18), which left much of the Russian Army in a state of mutiny.[/QUOTE]
 
Hii ni Alama ya chama au jesuit order. Au society of Jesus. Pitia humu JF Intelligence Kuna nyuzi zimeeleza kiundani. Mfano Ile ya yeriko nyerere
Hiyo ni kifupi cha jina "Yesu" kwa kigiriki
(ΙΗΣOΥΣ), IHS= (iota-eta-sigma).
Hii ni Alama ya chama au jesuit order. Au society of Jesus. Pitia humu JF Intelligence Kuna nyuzi zimeeleza kiundani. Mfano Ile ya yeriko nyerere
 
"philos, post: 18515513, member: 34338"]Iesus Hominis Sanctus = IHS[/QUOTE]
Mweleze Mwalimu mkuu hivi ni vitu vilivyoasisiwa 1534 na muhispania loyola na ndio muasisi wa hiyo logo IHS. Na baadae kukubaliwa na kanisa kama zilivyokubaliwa order nyingine kwa manufaa ya kanisa na kueneza injiri baada ya kukataliwa Mara kadhaa.
 
Back
Top Bottom