KWELI WEWE NI GABEJIMbali na mapungufu ya kibadamu HAWA wote wanauzalendo
Wote ni maradical
Wote ni wanachukia Rushwa
Wote wanachukia uzembe , uvivu
Wote wanamsimamamo mikali
Wote wanahulka ya kusema ukweli.
Wote hawa ni wachapa Kazi hakika taifa letu pendwa la Tanzania litapaaa sana viongozi wote wazembe, wala rushwa ,mafisadi,na machawa, watakimbia nchi.Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
mmoja ni mwizi na ni jambazi kuuHaya
Amenyooka kuliko sgr huyuKabisa mkuu, hana utani na mambo ya singi juu ya taifa
Ni mtazamo tu mkuu 'Gabeji', pamoja na kwamba haya tunayo jadili humu kusema kweli ni pasua kichwa kuhusu mwelekeo wa taifa letu; ingawa wakati mwingine tunaya chukulia kama mzaha au utani utani vile!Sawa mkuu, nitaitoa
EEEeeeh!Lisu anaweza akamtia jela mpk mwenyekiti wake
Sawa mkuu nimekupata, matamanio ya wengi ya watanzia wanatamani nchi yao isonge mbele, ila wengi mazingira yanatubana sana, hatuna ujasili wa kutoka public na kusema, ndo maana wengi tumejificha huku, lakin pia wengine wanaogopa kupoteza maisha,vyeo, na kufungua,kutekwa, hata hao machawa ,nao wanatamani sana iwe hivyo,Ni mtazamo tu mkuu 'Gabeji', pamoja na kwamba haya tunayo jadili humu kusema kweli ni pasua kichwa kuhusu mwelekeo wa taifa letu; ingawa wakati mwingine tunaya chukulia kama mzaha au utani utani vile!