Pre GE2025 Natamani mmoja Kati ya Tundu Lissu, Boniface Mwabukusi na Paul Makonda

Pre GE2025 Natamani mmoja Kati ya Tundu Lissu, Boniface Mwabukusi na Paul Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
EEEeeeh!
Siwezi kamwe kushangazwa na hatua ya namna hiyo, Lissu akiichukua mradi tu isiwe ya uonevu na ifuate taratibu zote kwa haki. Kumekuwa na utapeli mwingi sana ndani ya nchi hii chini ya CCM.

Hawa badala ya kuwajibishana, wanapeana zawadi ya mahekalu na marupurupu mengi hata yasiyo stahili kuwepo. Majumba wanayo jengeana ni kama rushwa tu ili hao wanao jengewa wasiseme neno wakati aliyepo madarakani anafanya madudu yake.
Kabisa mkuu, tungempata Kiongozi kama Lisu machawa na wala rushwa wangekimbia nchi
 
Mbali na mapungufu ya kibadamu, hawa wote wana uzalendo
Wote ni maradical
Wote ni wanachukia Rushwa
Wote wanachukia uzembe , uvivu
Wote wanamsimamamo mikali
Wote wanahulka ya kusema ukweli.
Wote hawa ni wachapa Kazi hakika taifa letu pendwa la Tanzania litapaaa sana viongozi wote wazembe, wala rushwa ,mafisadi,na machawa, watakimbia nchi.Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
naunga mkono hoja Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
P
 
Back
Top Bottom