Natamani nikupende asilimia mia

Natamani nikupende asilimia mia

Legeza moyo na mambo mengine yanasovika kwa kuzungumza kwa Lengo la kusovu/ kuweka sawa!
Usikompliketi maisha kiivo kiasi cha kuumiza moyo wako!
🤣🤣wacha bhana…
Nilikuwa sijui
 
Mimi nakusamilia tu mkuu baba yake Chakorii!

Samaleko [emoji113]
Asante BL. Ngoja nikutakie mwaka mpya wenye heri, amani na mafanikio tele pamoja na vimalaika vyako; na wapendwa wako wote.

Mama E anakusalimia sana. Jana tulikuwa tunakuzungumzia hapa. She admires you a lot...free spirit.

We love you BL [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Shukuru Mungu itakua Umemkuta mpole nahisi!!
Atabafilika tu dear.

Acha mambo yenu niwaachie wenyewe japo too much makandokando sio poaaa!!
🤣🤣Kwa bahati mbaya ulichokiedit nimeshakisoma 🤣🤣.

My love maisha haya…
 
Asante BL. Ngoja nikutakie mwaka mpya wenye heri, amani na mafanikio tele pamoja na vimalaika vyako; na wapendwa wako wote.

Mama E anakusalimia sana. Jana tulikuwa tunakuzungumzia hapa. She admires you a lot...free spirit.

We love you BL [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Wabheja sana mkuu! Holiday Ndio inaisha hivooo nimeinjoy sio kidogo rafiki!!

Mama E loves you alot afu katulia hanaga mambo mengi kabisa nampenda yuko straight hakwepeshi akiona upuuzi wala hapendi kucheka na nyani😎!
Mfikishie salamu Zangu nampenda na kumkubali mnooo✌️
 
Back
Top Bottom