Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Inasikitisha ingawa inaonekana ni stori ya kutunga
 
Tuwe makini hapa, hii haifai kabisa , wanaweza kuumia wengi ambao hawajafanya makosa kabisa, vibaka wana roho mbaya sana hawana adabu wanaweza kukuibia na kupiga kelele wewe ndio mwizi, tutumie akili kama jamii tukifanya haya mambo ya kuua watu ovyo bila uhakika tutakuwa hatuna tofauti na hao vibaka
 
πŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…