Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Natamani sana Kumjua huyu 'Mwamba' aliyebuni hizi Mbinu Mpya za 'Kuua' Vibaka / Wezi Wasumbufu Uswahilini

Asilimia 20 ya watu huuawa bila hatia kabisa kwenye mob justice.

Unaweza kwa bahati mbaya ukawa unapita maeneo ambayo immediately uhalifu umefanyika, wanakukamata wakati unajieleza anajitokeza mtu huko hata hajui kilichoibiwa,kaibiwa nani na nani kaiba anachukua tofali na kumutwanga usoni.

Kuna jamaa mmoja aliwahi kumuua mtoto wake asiye na hatia kwa kukuta watu wanampiga mtu, na yeye akachukua jiwe kumutwanga kichwani kilikuwa na kigiza kuja kuangalia ni mtoto wake mwenyewe
Inasikitisha ingawa inaonekana ni stori ya kutunga
 
Tuwe makini hapa, hii haifai kabisa , wanaweza kuumia wengi ambao hawajafanya makosa kabisa, vibaka wana roho mbaya sana hawana adabu wanaweza kukuibia na kupiga kelele wewe ndio mwizi, tutumie akili kama jamii tukifanya haya mambo ya kuua watu ovyo bila uhakika tutakuwa hatuna tofauti na hao vibaka
 
Back
Top Bottom