Natamani sana zali la utekaji linipate itakuwa fundisho

Nchi imekua ya wamsujuduo sa100 tu.sisi wengine kazi tunayo
 
Tukana viongozi wote kwa mpigo, usiache hata chembe, tukana ote isipokua kj na mbepo maana hawa walifanya kazi kwa ajiri ya Tanzania na kazi zao zinaonekana daima...baada ya hapo washable simu subiri matokeo
 
Heri ufanye yako uachane na mambo ya serikali ,tatizo kila mtanzania anajikuta mwanasiasa na mwanaharakati
 
Nimebaki na alama ya ulizo kibao kwa fikra zangu
Shida nini tena mama?
Namtisha tu kidogo nikifika nampiga vibao vya makalio huku nikimwambia " usirudie tena " namuacha. 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…