tena watu wenyewe wawe mchele mchele km wale waliotaka kumteka deo yaani unawateka wewe halafu unawatembezea kichapo cha p didy wiki nzimaKila siku naomba na kutamani zali la kutekwa na wasiojulikuna linipate.
Yani huo mkono ntakavyoutembeza usipime ngumi za uhakika na helicopter kicks za kutosha.
Na kwaanzia hapo itakuwa fundisho na utekaji utakoma.
View attachment 3151179
little master Fake P Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Nchi imekua ya wamsujuduo sa100 tu.sisi wengine kazi tunayoWale inasemekana ni polisi na kuna uwezekano mkubwa walikuwa na cha moto pale, kama unavyosema big angefanya kitu kama angekuwa na kisu basi ingeweza kupelekea wao kutumia cha moto na madhara kuwa makubwa zaidi ikiwemo hata kifo. Halafu ingesaidia nini?
Wangapi wamekufa na bado mambo yanaendelea vilevile?
Hii nchi imekuwa ngumu sana, na mam yupo bize anakula misele huku ughaibuni
Karate Ina michezo mingi ni upi specificallyKarate na Judo
Nimebaki na alama ya ulizo kibao kwa fikra zanguUko wapi kijana?
Shotokan, TKD Karate a.k.a taekwondo, Shintaido, Shorin-Ryu... Hizo nimefuzuKarate Ina michezo mingi ni upi specifically
Tukana viongozi wote kwa mpigo, usiache hata chembe, tukana ote isipokua kj na mbepo maana hawa walifanya kazi kwa ajiri ya Tanzania na kazi zao zinaonekana daima...baada ya hapo washable simu subiri matokeoKila siku naomba na kutamani zali la kutekwa na wasiojulikuna linipate.
Yani huo mkono ntakavyoutembeza usipime ngumi za uhakika na helicopter kicks za kutosha.
Na kwaanzia hapo itakuwa fundisho na utekaji utakoma.
View attachment 3151179
little master Fake P Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Huyu mwamba alishindwa hata kutoboa pumbu ya mjinga mmoja?Kila siku naomba na kutamani zali la kutekwa na wasiojulikuna linipate.
Yani huo mkono ntakavyoutembeza usipime ngumi za uhakika na helicopter kicks za kutosha.
Na kwaanzia hapo itakuwa fundisho na utekaji utakoma.
View attachment 3151179
little master Fake P Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Heri ufanye yako uachane na mambo ya serikali ,tatizo kila mtanzania anajikuta mwanasiasa na mwanaharakatiWale inasemekana ni polisi na kuna uwezekano mkubwa walikuwa na cha moto pale, kama unavyosema big angefanya kitu kama angekuwa na kisu basi ingeweza kupelekea wao kutumia cha moto na madhara kuwa makubwa zaidi ikiwemo hata kifo. Halafu ingesaidia nini?
Wangapi wamekufa na bado mambo yanaendelea vilevile?
Hii nchi imekuwa ngumu sana, na mam yupo bize anakula misele huku ughaibuni
Oyaa shemeji amekuruhusu urudi jamvin na kuweka tena hii avatar picha yakoPale nyumbu wakiwa kwenye vikao vyao vya siri ndio wanaongea kwa kujisifu kama hivi, Tukio likitokea wanabaki kutoa macho tu.
Shida nini tena mama?Nimebaki na alama ya ulizo kibao kwa fikra zangu
Niwie radhi kama imekusababishia fedheha....nimeikuta mtandaoni nikaitumia kama meme.....Hiyo picha ni ya Baba yangu.
Mabangi hayo mkuuUtoto raha sana
Kiukweli kabisa ukiachana na Kyokushin karate naikubali mno shorin -ryu na kidoogo uechi -ryu.Shotokan, TKD Karate a.k.a taekwondo, Shintaido, Shorin-Ryu... Hizo nimefuzu
Don't worryNiwie radhi kama imekusababishia fedheha....nimeikuta mtandaoni nikaitumia kama meme.....
Mimi bwana naipenda gujorou na Jeet Kwan doKiukweli kabisa ukiachana na Kyokushin karate naikubali mno shorin -ryu na kidoogo uechi -ryu.