Natamani sana zali la utekaji linipate itakuwa fundisho

Natamani sana zali la utekaji linipate itakuwa fundisho

Mimi pia natamani maana Niko hapa nimefuzu mikanda yote ila napendelea kuvaa black na red kwa pamoja napiga ashiruuu moja tu ya taya nimeua hiyo siku jiji litasimama kwa saa likinicheki ninavyogawa kichapo wastani kwa idadi..
Nafurahi kuona watanzania baadhi waanajua sanaaa ya mapigano,mamaehh..ila hao waduwanzi hua wanaamgalia na mitaa ya kwenda kuna mitaa huwez fanya huo ushenzi kabisa mtaishia kua majivu na kigari chenu cha kipumbavu, kwa mtaa ule naona tu ulikua wa kiduwanzi..hima hima wabongo tujue sanaa ya mapigano tena mapigo yale ya kuua ndani ya sekunde kumi..au tuwe tunatembea na silaha hata kisu, cha kivita kile pia hizo unafundishwa namna bora zaid ya kutumia, kun sehem ukigusa basi utumbo na maini na vilivyomo vinamwagika
 
Tukana viongozi wote kwa mpigo, usiache hata chembe, tukana ote isipokua kj na mbepo maana hawa walifanya kazi kwa ajiri ya Tanzania na kazi zao zinaonekana daima...baada ya hapo washable simu subiri matokeo
Kung fu, karate n.k., haitaki hivyo..haifai kuutafuta ugomvi..ugomvi ndio.ukutafute na ukikutafuta basi toa hata roho ya mtu mamaeh.
 
Mkuu ni kuomba Mungu tu! Kwa kuwa wana roho za kinyama ukiwafikisha steji hiyo wanaondoa uhai wako kwa silaha.
 
Jamani tujifunze basi kutembea hata na visu au wembe. Mateja hapo Dar huwachakaza watu kwa wembe yaani Inakuwaje mtu unapesa halafu hutembei na silaha yoyote.
Tumekuwa watu wazembe wa ajabu. Miaka ya 90 huwezi mchikua mtu hivyo walivyomchukua huyo jamaa.
Vijana waliozawliwa miaka ya 90 ma 2000 wanakuja kukuchukua kweli ! Tumesahau hata ile mbinu yetu ya kufinya PUMBU. Yaani mtu akikuvamia unampiga teke la kwenye PUMBU au unamdaka pumbu unaziminya mpaka anye. Ktk watatu kufa na mmoja.
TAIFA LIMEKUWA LA MDEBWEDO.
 
Mmoja wao anauza maua pale Airport, kampashe wakufuate halafu tupate mrejesho.... usisahau SPY camera.
 
Nafurahi kuona watanzania baadhi waanajua sanaaa ya mapigano,mamaehh..ila hao waduwanzi hua wanaamgalia na mitaa ya kwenda kuna mitaa huwez fanya huo ushenzi kabisa mtaishia kua majivu na kigari chenu cha kipumbavu, kwa mtaa ule naona tu ulikua wa kiduwanzi..hima hima wabongo tujue sanaa ya mapigano tena mapigo yale ya kuua ndani ya sekunde kumi..au tuwe tunatembea na silaha hata kisu, cha kivita kile pia hizo unafundishwa namna bora zaid ya kutumia, kun sehem ukigusa basi utumbo na maini na vilivyomo vinamwagika
Wabongo wamewekeza kuangalia mipira na kubeti.Nchi hii ina watu wazembe matumbo makubwa nguvu hawana. Ikifika saa 11 jioni 3/4 ya vijana wapo hoi kwa mihadarati, pombe nk. Wahuni wakitaka kutuvamia waje jioni saaa 12 kushne nchi inaenda. Zamani shuleni kupigana ilikuwa ni moja ya hatua za ukuaji. Lazima upigane kabla hujamaliza drs la 7 labda ukubali kuonewa maisha yote ya shule.
 
Watekaji ni waoga sana. Wanakuja kundi kamwe hawezi kuja peke yake udili nae man to man. Man to man nature ndio inayoamua.
Maisha ya sasa bora tuanze kutembea gang kama zamanni.
 
Wanakuja kutokana ulivyo, big walienda kizembe walimchukulia poa, hawakufikiria akigoma zile kilo wanaweza kuzibeba, haya sio mambo ya kuombea mzee.

Kuwindwa ni jambo la hatari, utakaa kimachale ila kuna muda upo utakuwa dhaifu, ni kama mtu aliyegizani anamfuatilia wa kwenye mwanga
 
Nakutakia mafanikio mema.
Kareti, kungfu hamna kitu. Mfuatilie Israel Adesanya kabla hajawa maarufu.Alienda China na Thailand nk. Kule alikuwa anawachapa wachina mpaka poo. Imagine wachina wamefundishwa hayo madude tangu wachanga.
Ni hivi binadamu kiasilia anao uwezo wake sasa we njoo na kareti zako utarudi kwa master wako ukajifunze upya. Kuna watu wana nguvu anakusomba wewe na kareti zake. Take care.
 
Back
Top Bottom