Natamani sana zali la utekaji linipate itakuwa fundisho

Natamani sana zali la utekaji linipate itakuwa fundisho

We unadhani wanatumwa watu wazembe wazembe kuteka watu usikute na wenyewe wana kama ambacho wewe unacho + wengi + bunduki
 
Mimi bwana naipenda gujorou na Jeet Kwan do
Goju ryu ni kweli ni kati ya style nzuri pia ya karate umo ndani ndiyo kuna sanchin na Tensho ni moja ya style ambayo inazingatia sana breathing ila kama umeicheza KYOKUSHIN ni zaidi ya hiyo huo mzigo kwanzia kata, bunkai hadi sparring mwili lazima uwe timamu hasa.
 
Mnajuaga kuandika kwenye mitandao tu. Wakija watoto wadogo panya road wanne tu, mnajikojolea. 😀😀😀
In case you don't know mi ndo Simba road so usipende na usifurahie sana kunilinganisha na hao panya,
Right?
 
Eti na Mimi Nimefika post ya #25 ya huu Uzi bado nasoma. Ndio nashtuka nasoma vitu Gani? Kuna nyuzi ukiziona tu unajua huyu kashiba.
 
Usiombe wanaweza kukuvizia ndio umetoka kupiga vismart kama Saba hivi unayumba tu
Hahahahha,wanamteka wanaemjua kila kitu mpk silaha anayomiliki,uwezo wake wa self defence hata km mchawi wanakujua mapema,mlevi,Malaysia,nk.
So hayo unayoyasema wanakuwa waishakutangulia
 
Back
Top Bottom