RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Basi mkuu wewe utaishi maisha marefu, mm sipendi kwanza mwanamke anaongea sana, sipendi mtu ambae ukikaa muda wote hakuamini.Mi mbona ndio nilivyo mkuu, nilishasemaga siwezani na watu wastaarabu πππ
Mimi napenda hekaheka sitaki penzi lipoe, muda wote ni kuchachuana humo ndani..
Valentine baada yakutoka Job nilienda MICASA.Valentine ulikuwa wapi??
Wachaa haya chukua namba yangu uje arusha 0800000110 piga namba moja kuongea na unique flowerValentine baada yakutoka Job nilienda MICASA.
Haya asante, muda si mrefu nakupigia.Wachaa haya chukua namba yangu uje arusha 0800000110 piga namba moja kuongea na unique flower
RUSTEM PASHA soma hiyoooBabu mimi aninunulie plot Mbweni πππ
Ewaaaahh!! ππππRUSTEM PASHA soma hiyooo
Gharama ya Kiwanja Kwa pale Mbweni ni shilingi 150,000/square meter
Kwahiyo aandae kama milioni 90 Kwa Kiwanja cha 20X30 π
Da mau kwani na ww humo? πUtaniharibia mume usingekuja
Sijui ila wewe umenifanya nimeachwa ujue hilo kiserious tuache mataniDa mau kwani na ww humo? π
Hahaha afunguke vyema wamsaidie mkuuHuo ukorofi kamanda[emoji1787]
Umeachwa na nani da Mau?? Na kwann akuache kwasababu yangu?? Hebu niambie kwanza nimwambie shem arudi πππSijui ila wewe umenifanya nimeachwa ujue hilo kiserious tuache matani
Huyo lazima akimbie, mwisho wa Siku Jimbo litaachwa wazi Kwa Wazee tu πEwaaaahh!! ππππ
Babu, Lamomy mjuu wako kasema yeye hapendi mwanaume kama mimi Husband material na mwenye sifa ya big boy a.k.a pochi nene, yeye anataka Bad boy wale wahuniwahuni wanaompiga matukio. Kwahio Mimi nimeamua nitulie na Unique Flower .Huyo lazima akimbie, mwisho wa Siku Jimbo litaachwa wazi Kwa Wazee tu π
financial services unaitwa huku dada .Nampenda sanΓ financial services...sema huku ameadimika sanaa
UnatakiwaNiko hapa, abee?
Mkifika hapo hotelini msalimieni jamaa yangu anaitwa sospeter khened ikiwezekana nifanyieni namna ya kupata namba zake nilipoteza simu na sina namna ya kupata likizo kumtokea huko, mwambieni mbunge anamsalimia ataelewa ni nani.Ngoja niende kwenye Uzi wake, nikamtupie mistari Mzee mwenzangu
Fanyeni mpango mniazime na Suti za kuvaa wakati namwalika Kwa mtoko pale Hyatt regency hotel [emoji847]
Sasa wewe mbona unataka kuniwahi wakati mimi najipanga namna ya kumpiga sound mtoto.Usinitishe wanawake ni wetu sote. Tatizo kuwahiana tuu mkuu