Natamani urudi hata kwa dakika tano mke wangu

Natamani urudi hata kwa dakika tano mke wangu

Naumia si kwasababu Mungu amekuchukua bali ni kwakua sikupata kuwa mume wako katika kipindi chote cha miaka sita ya ndoa yetu. Bado nakumbuka meseji yako ya mwisho uliyonitumia uliniambia “Mume wangu njoo tu nyumbani, samahani kwa kukusumbua lakini nataka tu nikuone sijisikii vizuri!”

Niliisoma na ulipoona siijibu ulipiga simu, natamani hata ningepokea mimi na kusikia sauti yako kwa mara ya mwisho lakini nilimpa mwanamke mwingine akapokea.

Sijui kama ulijua lakini ulimuambia aniambie kwa heri. Nikijua ni vile vitisho vyako vya kila siku kuwa utaondoka nilipuuza na kuamua kulala huko huko mpaka saa sita usiku rafiki yangu mmoja alipokuja kunigongea usiku.

Nilizima simu na hakuna mtu aliyekua akijua nilipokua kasoro yeye hivyo alitafutwa na kuja kunipa taraifa, alikuja na kugonga kisha kuniambia tuondoke, hata hakunionea huruma aliniambia kuwa “Mke wako hayuko tena, amefariki!”

Niliishiwa nguvu sijui nini cha kufanya, nilirudi nyumbani na kuwakuta wenetu wadogo wakilia hawajui wanalia nini lakini walilia kwakua wanaona watu wengine wanalia.

Waliniona badala ya kunikumbatia walikua wananikwepa, walikua wanaogopa kwakua Mama yao hayupo tena. Mimi ni kama mgeni kwao, hawanijui na mimi siwajui. Mke wangu baada ya mazishi watu wote wameondoka.

Nimebaki mimi nawatoto tu, ndugu zangu wote wamerudi kuendelea na familia zao, michepuko yangu nayo hata hainitafuti tena, wale wanawake wote waliokua wanakupigia simu kukutukana hawanipigii tena simu.

Binti wa kazi uliyemuacha ameondoka siku mbili tu baada ya mazishi. Nakumbuka mara ya mwisho niliyokupiga nilikuambia kama umechoka ondoka uniachie wanangu.

Naona umechoka kweli umeondoka na kuniachia wanangu lakini sasa sijui hata niwapeleke wapi? Kila siku wanamuulizia mama, naumia zaidi kwani mimi wananiogopa, wananiangalia kama shetani wananiona kama natisha, hii ni kwasababu sikuwahi kuwa Baba yao, siku zote nilikua bize na starehe.

Nakukumbuka sana mke wangu ni miezi miwili tu tangu uondoke lakini naona kama miaka mia, kweli nilikukosea natamani hata urudi kwa dakika tano tu ili niwe mume wako nikuonyeshe namna ninavyojutia.

Point of no return,pole,dhambi mbaya sana mkuu,ndio maana Mungu alikataza,unaweza kuona unafaidi wakati unaifanya kumbe tayari shetani anachekela kashakuingiza kwenye mtego ambao yeye anajua iko siku utanaswa na huwezi tena kureverse the situation...
 
Michepuko inakupenda ukiwa na msingi imara wa akupendaye. ngoja atoweke nayo hutoweka yote.
 
Afu
Naumia si kwasababu Mungu amekuchukua bali ni kwakua sikupata kuwa mume wako katika kipindi chote cha miaka sita ya ndoa yetu. Bado nakumbuka meseji yako ya mwisho uliyonitumia uliniambia “Mume wangu njoo tu nyumbani, samahani kwa kukusumbua lakini nataka tu nikuone sijisikii vizuri!”

Niliisoma na ulipoona siijibu ulipiga simu, natamani hata ningepokea mimi na kusikia sauti yako kwa mara ya mwisho lakini nilimpa mwanamke mwingine akapokea.

Sijui kama ulijua lakini ulimuambia aniambie kwa heri. Nikijua ni vile vitisho vyako vya kila siku kuwa utaondoka nilipuuza na kuamua kulala huko huko mpaka saa sita usiku rafiki yangu mmoja alipokuja kunigongea usiku.

Nilizima simu na hakuna mtu aliyekua akijua nilipokua kasoro yeye hivyo alitafutwa na kuja kunipa taraifa, alikuja na kugonga kisha kuniambia tuondoke, hata hakunionea huruma aliniambia kuwa “Mke wako hayuko tena, amefariki!”

Niliishiwa nguvu sijui nini cha kufanya, nilirudi nyumbani na kuwakuta wenetu wadogo wakilia hawajui wanalia nini lakini walilia kwakua wanaona watu wengine wanalia.

Waliniona badala ya kunikumbatia walikua wananikwepa, walikua wanaogopa kwakua Mama yao hayupo tena. Mimi ni kama mgeni kwao, hawanijui na mimi siwajui. Mke wangu baada ya mazishi watu wote wameondoka.

Nimebaki mimi nawatoto tu, ndugu zangu wote wamerudi kuendelea na familia zao, michepuko yangu nayo hata hainitafuti tena, wale wanawake wote waliokua wanakupigia simu kukutukana hawanipigii tena simu.

Binti wa kazi uliyemuacha ameondoka siku mbili tu baada ya mazishi. Nakumbuka mara ya mwisho niliyokupiga nilikuambia kama umechoka ondoka uniachie wanangu.

Naona umechoka kweli umeondoka na kuniachia wanangu lakini sasa sijui hata niwapeleke wapi? Kila siku wanamuulizia mama, naumia zaidi kwani mimi wananiogopa, wananiangalia kama shetani wananiona kama natisha, hii ni kwasababu sikuwahi kuwa Baba yao, siku zote nilikua bize na starehe.

Nakukumbuka sana mke wangu ni miezi miwili tu tangu uondoke lakini naona kama miaka mia, kweli nilikukosea natamani hata urudi kwa dakika tano tu ili niwe mume wako nikuonyeshe namna ninavyojutia.

Haya mambo ya kuwa deep kwenye virus vy mzaha siyo mazuri. Siku mkifikwa tutaassume ni mzaha mzaha
 
Kuna wanaume wenzetu ni wakatili sana kwa wake zao na wamebahatika kupata wanawake wanyenyekevu na watiifu yaani akiongea nae hata kwenye simu ni vitisho na kauli ngumu ngumu,mtu anahela vizuri tu lakini mwanamke kachakaa anatia huruma ni full kutishiwa daa sio poa kabisa kama umeamua kuishi nae mjali huyo aliye naye hiyo michepuko ukipata shida yoyote mkeo ndio atayekuhangaikia sio mchepuko.
 
Dah me ndo namkosea wife wangu kila siku analia kwa ajili yangu
Ernhe Mungu nisaidie unirudishie akili zangu nimpende na kumjali mke wangu
Mchepuko sijui umeniroga yaan naona kabisa nakosea but kila nikitaka kumuacha na kubadilika nashindwa[emoji24][emoji24]
 
Dah me ndo namkosea wife wangu kila siku analia kwa ajili yangu
Ernhe Mungu nisaidie unirudishie akili zangu nimpende na kumjali mke wangu
Mchepuko sijui umeniroga yaan naona kabisa nakosea but kila nikitaka kumuacha na kubadilika nashindwa[emoji24][emoji24]Jipige kifuani sema mimi ni msenge
 
Dah me ndo namkosea wife wangu kila siku analia kwa ajili yangu
Ernhe Mungu nisaidie unirudishie akili zangu nimpende na kumjali mke wangu
Mchepuko sijui umeniroga yaan naona kabisa nakosea but kila nikitaka kumuacha na kubadilika nashindwa[emoji24][emoji24]
Jipige kifuani sema mimi ni msenge
 
Huyo ndio unadhani ataelewa kwa hizi tungo, huyo ni kama kenge, kusikia kwake, mpaka damu itoke masikioni. 😂

Labda yake nayo iwe fiction kama hii, ila kama ni kweli, hapa tunapigia mbuzi gitaa. 😂
Sometimes anatuongezea chumvi ili tupate ladha sidhani km ni bwege kiasi kile,,,😂😂😂ngoja aje
 
Naumia si kwasababu Mungu amekuchukua bali ni kwakua sikupata kuwa mume wako katika kipindi chote cha miaka sita ya ndoa yetu. Bado nakumbuka meseji yako ya mwisho uliyonitumia uliniambia “Mume wangu njoo tu nyumbani, samahani kwa kukusumbua lakini nataka tu nikuone sijisikii vizuri!”

Niliisoma na ulipoona siijibu ulipiga simu, natamani hata ningepokea mimi na kusikia sauti yako kwa mara ya mwisho lakini nilimpa mwanamke mwingine akapokea.

Sijui kama ulijua lakini ulimuambia aniambie kwa heri. Nikijua ni vile vitisho vyako vya kila siku kuwa utaondoka nilipuuza na kuamua kulala huko huko mpaka saa sita usiku rafiki yangu mmoja alipokuja kunigongea usiku.

Nilizima simu na hakuna mtu aliyekua akijua nilipokua kasoro yeye hivyo alitafutwa na kuja kunipa taraifa, alikuja na kugonga kisha kuniambia tuondoke, hata hakunionea huruma aliniambia kuwa “Mke wako hayuko tena, amefariki!”

Niliishiwa nguvu sijui nini cha kufanya, nilirudi nyumbani na kuwakuta wenetu wadogo wakilia hawajui wanalia nini lakini walilia kwakua wanaona watu wengine wanalia.

Waliniona badala ya kunikumbatia walikua wananikwepa, walikua wanaogopa kwakua Mama yao hayupo tena. Mimi ni kama mgeni kwao, hawanijui na mimi siwajui. Mke wangu baada ya mazishi watu wote wameondoka.

Nimebaki mimi nawatoto tu, ndugu zangu wote wamerudi kuendelea na familia zao, michepuko yangu nayo hata hainitafuti tena, wale wanawake wote waliokua wanakupigia simu kukutukana hawanipigii tena simu.

Binti wa kazi uliyemuacha ameondoka siku mbili tu baada ya mazishi. Nakumbuka mara ya mwisho niliyokupiga nilikuambia kama umechoka ondoka uniachie wanangu.

Naona umechoka kweli umeondoka na kuniachia wanangu lakini sasa sijui hata niwapeleke wapi? Kila siku wanamuulizia mama, naumia zaidi kwani mimi wananiogopa, wananiangalia kama shetani wananiona kama natisha, hii ni kwasababu sikuwahi kuwa Baba yao, siku zote nilikua bize na starehe.

Nakukumbuka sana mke wangu ni miezi miwili tu tangu uondoke lakini naona kama miaka mia, kweli nilikukosea natamani hata urudi kwa dakika tano tu ili niwe mume wako nikuonyeshe namna ninavyojutia.

Hadithi ya huzuni sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Na hayo ndio maisha ya wanandoa wengi, wanaume wengi huwachukulia wake zao for granted sana.
Kuna boya nae last month mkewe kaondoka ghafla kwa ajali, analia tu hata hajui pa kuanzia wakati mkewe alivyokuwa hai alimnyanyasa mnooo na michepuko isoisha.
 
Naomba iwe tungo tu isiwe ni halisia, maana imeleta hisia za kuumiza zaidi na kutafakarisha sana

Lakini hata kama ilikua ni kisa cha kweli, pamoja na kua maisha yetu kuja na kuondoka sio kwa kutaka kwetu bali aliye juu yetu.

Lakini huyo mama atakua amekosea mno kwa sababu ya hao watoto, mume ni bora lakini watoto ni bora zaidi kwa sababu wanamhitajia mno, yeye atakua labda ameona heri apumzike, lakini pumziko lake halitakuwa pumziko jema kwa sababu ya maumivu na mahangaiko wanayopitia wale watoto.

Kuna namna mtu anatoka duniani kila mtu anasema heri akapumzike, hapo kweli utapumzika kwa amani.

Lakini kwa hii situation ya huyu mama pumziko lake halitakuwa la amani.
Umeelezea kama unajua chanzo cha kifo!! Au ndio fasihi kila mmoja na tafsiri yake?
 
Back
Top Bottom