Natamani urudi hata kwa dakika tano mke wangu

Labda umletee ukimwi afe, ila kuna option mme akikushinda kisa umalaya wake usidubiri kufa kwa stress ondoka utapata akupendae
Sio wote wanaweza kuchukua maamuzi hayo. Wanakomaa hadi wanafia humo humo.
 
Yawezekana alikuwa anasumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu, mpaka mola akamchukua.
 
🤣🤣🤣🤣
 
Kama ni kisa cha kweli inasikitisha sana tubu dhambi zako Mungu wetu ni Mungu wa rehema na ni mwepesi wa kusamehe.
 
Wanawake wana vitimbi sana, ila kama umeshaamua awe mkeo mpe heshma, asitokee kenge yoyote akamvunjia heshma wewe ukiona na ukavumilia, mpende na haswaa penda familia yako, hao wanaokupa joto leo wapo kwa sababu tu na siku sababu hizo zikitoweka utaaibika
 
Ndiyo aoe sasa hiyo michepuko Kapata nafasi
 
Uzuri anaendelea kukua hivyo ipo siku atayaonja japo simwombei yamkute!
Kwa hawa hawa wanaume wa kibongo atayakuta tu, akikwepa hili tego basi itakuwa ni bahati yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…