... katika vyote ameona kulipwa "fidia" ndiko kutaikwamua Afrika? Kwa zaidi ya miaka 60 ya uhuru wa Afrika, bara hili limepokea mabilioni mangapi ya dola? Yameifikisha Afrika wapi? Badala ya ku-hit kiini cha tatizo, anajizungushazungusha tu kama kawaida ya viongozi wa Afrika.
Mwl. Nyerere alituasa, ili tuendelee tunahitaji vitu vinne tu - ardhi, watu, siasa safi, na uongozi bora - fedha (fidia) sio miongoni mwa mahitaji hayo. By the way, wasingekuja wazungu (na waarabu) Afrika ingekuwa na hali mbaya sana kuliko iliyo nayo sasa.