Natamani viongozi wote wa mataifa ya Afrika waiunge mkono kauli ya Nana Akufo Ado

Natamani viongozi wote wa mataifa ya Afrika waiunge mkono kauli ya Nana Akufo Ado

Tunabishana Yanga Simba kuanzia asubuhi hadi tunapoenda kulala halafu mara muamala umesoma😁😂
 
Naunga mkono hoja hii, ni muhimu Sana Afrika nchi za Ulaya kuilipa Afrika fidia walau kila mtu milioni 50 , kwa kuwafuta waafrika machozi ju ya uharibifu walio ufanya ndani ya Afrika.

(1) Kusombelea maliasili madini,pembe za ndovu malundo kwa malundo ndani ya Afrika na kuzipeleka Ulaya.
(2) Kuwafanyisha kazi ngumu mashambani , migidini na zisizo na ujira au heshima.
(3) Kuwa teka utumwani waafrika na kuwaoeleka uzunguni kwa biashara
(4) Kuwaua mababu zetu
Nk
(3)
Bora ya wakoloni sahivi tunauana sisi kwa sisi
 
Malipo ndo hayo beberu kawafumbua macho na maendeleo ya sayansi na teknolojia na ule ustaarabu na usomi wa kibeberu, huenda hadi leo tungekuwa kwenye maisha ya ujima au kwenda mbele kwa kujikongoja sana. Cha msingi hii dunia kila jamii ya watu wana vipawa tofauti tofauti kwa hiyo tunategemeana kwa kiasi kikubwa.
 
Back
Top Bottom