Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point tupu, hata kama tutapewa mali zote za Ulaya lakini baada ya miezi 6 tutarudi kule kule kwenye umaskini wa kutupwaHata tukilipwa litakuwa suala la muda tu,tutarejea katika umaskini kwa kasi ya ajabu.Tatizo la Afrika ni uongozi mbovu.
OverTutazinywea tu na Mademu yenye mizigo.
Waafrika kuweni chonjo hii Ni namna hawa viongozi wenu wanataka kupiga hela za mzungu.Ifike wakati Sasa Afrika tuungane Katika kutetea masilahi yetu. Linapokuja suala la Afrika lisiachwe liwe la mtu mmoja,au taifa moja.
Afrika tuoneshe kujitambua.View attachment 2325477
Bora ya wakoloni sahivi tunauana sisi kwa sisiNaunga mkono hoja hii, ni muhimu Sana Afrika nchi za Ulaya kuilipa Afrika fidia walau kila mtu milioni 50 , kwa kuwafuta waafrika machozi ju ya uharibifu walio ufanya ndani ya Afrika.
(1) Kusombelea maliasili madini,pembe za ndovu malundo kwa malundo ndani ya Afrika na kuzipeleka Ulaya.
(2) Kuwafanyisha kazi ngumu mashambani , migidini na zisizo na ujira au heshima.
(3) Kuwa teka utumwani waafrika na kuwaoeleka uzunguni kwa biashara
(4) Kuwaua mababu zetu
Nk
(3)
Juzi hapa wamepiga za COVID 19 hakuna la maana limefanyikaWaafrika kuweni chonjo hii Ni namna hawa viongozi wenu wanataka kupiga hela za mzungu.