Kabisa,yaani maisha yananipelekesha,nafanya kazi kwa bidii kutafuta mtaji lakini wapi,kwasababu dependants ni wengi na suwezi nikasema nisiwasaidie,maana ni ndugu zangu,naomba ajira TAMISEMI,wanachukua wa 2020,2021,wananiacha mimi,naomba sensa,wanapeana kimchongo,sasa hizo pesa eti zije,si zitaliwa tu.....?
Wao wawape nchi nyingine,ila huku,hapana kwakweli,mi sintafaidika kivyovyote vile,this country is corrupt,hata viongozi wake ni corrupt.... wanaila sana hii nchi,nilipofikia hata leo waseme ni mwisho wa dunia,niko tayari,tufe wooote.... labda tukiumbwa upya,kutakua usawa.