Kwa Afrika hii ni kuongeza tu listi ya mafisadi haitawasaidia wananchi.Mi nadhani lengo sio kutajirika,kikubwa hapo ni kurejesha fidia ya uharibifu na wizi walioufanya. Haiwezi kulipia machungu na maumivu waliuopitia waafrika ila ni inasaidia kuwajulisha watesi wetu kuwa walichokifanya hakikuwa sawa.
Waache waendelee kuikataa katiba mpya,siku wakiikubali nadhani tutafukua makaburiKabisa,yaani maisha yananipelekesha,nafanya kazi kwa bidii kutafuta mtaji lakini wapi,kwasababu dependants ni wengi na suwezi nikasema nisiwasaidie,maana ni ndugu zangu,naomba ajira TAMISEMI,wanachukua wa 2020,2021,wananiacha mimi,naomba sensa,wanapeana kimchongo,sasa hizo pesa eti zije,si zitaliwa tu.....?
Wao wawape nchi nyingine,ila huku,hapana kwakweli,mi sintafaidika kivyovyote vile,this country is corrupt,hata viongozi wake ni corrupt.... wanaila sana hii nchi,nilipofikia hata leo waseme ni mwisho wa dunia,niko tayari,tufe wooote.... labda tukiumbwa upya,kutakua usawa.
Ni kweliFidia ya Afrika inaweza kuwaingiza bankruptcy. Kati ya hao wote walio lipwa hakuna aliyefanyiwa hujuma kubwa kuliko Afrika.
Nanjilinji au nakapanya huko hazitafika !!Huo mgao wa malipo utatufikia kweli na sisi huku nanjilinji au ndiyo utapigwa juu kwa juu?
Nimecheka kwa sauti kubwa mpaka jamaa wamenishangaa πraia hamtopata hata 100.
Bila kubeza wazo lenyewe; lakini hata leo hii kukitolewa fidia hakuna chochote kitakachobadilika Afrika kwa akili za viongozi waliopo.Ifike wakati Sasa Afrika tuungane Katika kutetea masilahi yetu. Linapokuja suala la Afrika lisiachwe liwe la mtu mmoja,au taifa moja.
Afrika tuoneshe kujitambua.View attachment 2325477
Hapo ningeondoa hayo maneno ya mwisho tu; kuanzia kwenye "By the way..."Mwl. Nyerere alituasa, ili tuendelee tunahitaji vitu vinne tu - ardhi, watu, siasa safi, na uongozi bora - fedha (fidia) sio miongoni mwa mahitaji hayo. By the way, wasingekuja wazungu (na waarabu) Afrika ingekuwa na hali mbaya sana kuliko iliyo nayo sasa.
Subiri sensa ipite tuone kila kaya itapata kiasi gani cha mgao. This time hakuna cha vyama wala nini. Wakati mabibi na mababu zetu wanauzwa watemi walikuwa ndo wapanga bei hivyo kama umetoka ukoo wa watemi kaa mbali na mgao wetu.Kama ingekubalika natamani mgao ugawiwe kulingana percentage ya athari za ukoloni katika taifa husika
Athari zinapimwa je?Kama ingekubalika natamani mgao ugawiwe kulingana percentage ya athari za ukoloni katika taifa husika
Mlipwe kwa lipi wakati kila mwaka mnapewa misaada? Naona huyu mchana ameanza kuvimbiwa asali ya urais.πππ Wamewatesa Sana Babu zetu na athari zinaendelea kutesa kizazi na kizazi. Wameiba mali nyingi Sana
Duh !!Unaweza kushangaa hizo hela za fidia nazo zikapigwa na kwenda kuwekwa hukohuko Ulaya.
Hakuna msaada wowote wanaopewa Afrika,ni lugha fulani za kuaminishana upumbavu na kuendelea kuwanyenyekea wazungu. Hakuna misaada halafu iwe na masharti, misaada mingi inatugharimu.Mlipwe kwa lipi wakati kila mwaka mnapewa misaada? Naona huyu mchana ameanza kuvimbiwa asali ya urais.
Tutazinywea tu na Mademu yenye mizigo.Hata tukilipwa