Natangaza ndoa


Mkuu unakesha ukiwa umekaa au kusimama? unampenda kweli.
 
Mbona umeweka picha ya mke wangu?
Hilo ni pingamizi la kwanza na huo ni
ujambawazi kutaka ninyang'anya mwandani wangu

That is the love of my life
 
swali la mwisho kwa IVUGA.....................je ule uteja wa mambo ya kikubwa utaacha maana sasa utakuwa na jiko lako????????????????
 
PHP:
Hahahh Ivuga si nitakuwa narekebisha mambo ya honeymoon lol[IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG]

Mimi ninataka IVUGA anihakikishie kuwa isije Bibi Harusi ni Maria Roza....................................
 
Husn huo mchango baki nao kwnza, manake hii ndoa inaweza ikaahrishwa mda wowte kuanzia sshv. C umeona mapngamiz yalvyojitokeza???

hili lindoa bora liwe la mkeka.
Ivuga apange fumanizi watu tule mpunga wa fastafasta.
Maandalizi hatoyaweza.
 

..................Tutabanana hapa hapa

Na naweka pingamizi hadi kwa Mods kuanzia sasa Ivuga apigwe ban mpaka baada ya masaa 24......

Ukirudi Speaker huyoooooooooooooooo..........kinachobakia ni kubanana tu
 
swali la mwisho kwa IVUGA.....................je ule uteja wa mambo ya kikubwa utaacha maana sasa utakuwa na jiko lako????????????????
kula nishaacha zamani sana, na siwezi rudi tena kule
PHP:
Mimi ninataka IVUGA anihakikishie kuwa isije Bibi Harusi ni Maria Roza....................................[/QUOTE]

[FONT=Garamond][SIZE=4]yuko hapa atajibu mwenyewe[/SIZE][/FONT]
 

..................Tutabanana hapa hapa

Na naweka pingamizi hadi kwa Mods kuanzia sasa Ivuga apigwe ban mpaka baada ya masaa 24......

Ukirudi Speaker huyoooooooooooooooo..........kinachobakia ni kubanana tu

sio haki mzee
 
Mbona umeweka picha ya mke wangu?
Hilo ni pingamizi la kwanza na huo ni
ujambawazi kutaka ninyang'anya mwandani wangu

That is the love of my life

hahaha Afrodenz kumbe ushaolewa ..Ivuga katokea wapI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…