Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,956
wana jf natangaza ndoa
mwenye pingamizi aweza litoa
ndani ya saa 24 kuanzia sasa
na kama pingamizi hakuna
basi ndoa itakuwa imehalalishwa
na ujue kuwahi sio kupata
na naomba pingamizi lisiwe na jazba
kwani kaumbwa na mola
akampa urembo,utashi na hekima
kwa sababu yake siwezi hata kulala
Hahahh Ivuga si nitakuwa narekebisha mambo ya honeymoon lol[IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20465.gif[/IMG]
Husn huo mchango baki nao kwnza, manake hii ndoa inaweza ikaahrishwa mda wowte kuanzia sshv. C umeona mapngamiz yalvyojitokeza???
Mbona umeweka picha ya mke wangu?
Hilo ni pingamizi la kwanza na huo ni
ujambawazi kutaka ninyang'anya mwandani wangu
That is the love of my life
mmmmmmhhhhhhhhhh
hahhaha!! Roza sijakupata hapa, unamaanisha tunaenda wote honeymoon?Hahahh Ivuga si nitakuwa narekebisha mambo ya honeymoon lol:A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:
ushapata kadi mpaka sasa ivi bila hata mchangomimi sina pingamizi,, Ubarikiwe
acha mzaha speaker,kwanza wewe s upo dom?Mbona umeweka picha ya mke wangu?
Hilo ni pingamizi la kwanza na huo ni
ujambawazi kutaka ninyang'anya mwandani wangu
That is the love of my life
kula nishaacha zamani sana, na siwezi rudi tena kuleswali la mwisho kwa IVUGA.....................je ule uteja wa mambo ya kikubwa utaacha maana sasa utakuwa na jiko lako????????????????
PHP:Mimi ninataka IVUGA anihakikishie kuwa isije Bibi Harusi ni Maria Roza....................................[/QUOTE] [FONT=Garamond][SIZE=4]yuko hapa atajibu mwenyewe[/SIZE][/FONT]
mmmmmmhhhhhhhhhh
yeah,bora nimwambie ukweli baby
..................Tutabanana hapa hapa
Na naweka pingamizi hadi kwa Mods kuanzia sasa Ivuga apigwe ban mpaka baada ya masaa 24......
Ukirudi Speaker huyoooooooooooooooo..........kinachobakia ni kubanana tu
Speaker umechelewa. Mambo yote yameshatayarishwa. Refer kauli ya Ivuga alipotahadharisha:Mbona umeweka picha ya mke wangu?
Hilo ni pingamizi la kwanza na huo ni
ujambawazi kutaka ninyang'anya mwandani wangu
That is the love of my life
Speaker umechelewa. Mambo yote yameshatayarishwa. Refer kauli ya Ivuga alipotahadharisha:
"...na ujuwe, kuwahi sio kupata"
Mchango wangu mdogo huu hapa:
http://www.youtube.com/v/AHvyJmvKwhQ?version=3
yule niliachana naye sasa hivi nataka mtoto wa hapahapa JF ,JF ni kila kitu jamani kama hamuamini
Na yule aliyekutisha kukuua vipi?
MmmhhhNa yule aliyekutisha kukuua vipi?
Mbona umeweka picha ya mke wangu?
Hilo ni pingamizi la kwanza na huo ni
ujambawazi kutaka ninyang'anya mwandani wangu
That is the love of my life