Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu

Tatizo mnakimbilia kuoa wakati akili bado hazijakomaaa
 
ushauri wa bure,,mke wako hapaswi kufahamu kwa sasa kuhusu hiyo mimba ya mchepuko wako 😎🀝
Mjkifahamu itakuwaje na atafanya nini? Uanaume ni kuwa kauzu kwa mkeo, siyo unamuogopa mke.
 
Ushalogwa tayari hizo si Ushalogwa tayari hizo Sio Akili zako Na Huo Upendo Sio halisi ni wa madawa niulize Mimi naishi Tanga nawajua vizur watu wa huku ukichepuka Na mtanga lazima uvunje ndoa
 
Subiria Counteroffensive kutoka kwa mkeo.. Ngoja washirika wa mkeo wampe silaha za masafa marefu.. Uje ulie lie hapa..
 
Ukute uyo mwanamke nae ana jamaa ake anachepuka nae. Ukichepuka kwa mkeo nae ana mtu wake wa kuchepuka nae....πŸ˜€πŸ˜€tena hadi yas ukute kuna mchepuo unapewa
Dah tigo wamejitahidi kuwakwepa mko nao tu πŸ˜€
 
Kesi ya nyani nimempelekea tumbiliπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­πŸ˜­
Hahaha........kuwa na imani na Wazee πŸ€—
 
Babu nenda kalale.
Niko namalizia kuvuta Kiko yangu ndiyo nilale

Maana bila kufanya hivi, baridi litakuja kuniua Babu yenu, hivi Bibi yenu amesafiri πŸ˜œπŸ€—
 
Kwa experience yangu na huo utoaji wa taarifa hapa ma babaz mpo si chini ya watatu pole sana na hongera sana
 
Kama jeuri hiyo ndio Sawa na Kwa sababu anaelewa uko na mwenzio ni wakati sahihi kumshirikisha matokeo ya jeuri yake kwa kumwambia ujio WA mwanao...
Wanaume wengi tumekuwa wajinga siku hizi Kwa kuendekeza mateso ya wanawake na matokeo yake ni kufupisha maisha yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…