MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #61
Joka kuu haiwezekani nchi yenye watu zaidi ya 60m ikawa sawa na nchi yenye watu 1.9m. Kila kitu kikiwa sawa basi Zanzibar itakuwa tu kama mkoa sio nchi tena. Itapoteza utambulisho wake wote. Na mnaosema Muungano uvunjike hamjui thamani ya usalama uliopo. Unajuwa kwanini Urusi aliamua kumpiga Ukraine?..yanayotokea yanafanya watu wauchukie muungano.
..Watanganyika na Wazanzibar wakiwa na haki sawa, na fursa sawa ndani ya muungano, malalamiko yatapungua, kama sio kwisha kabisa.
Acha uongo...EPC+F ikitekelezwa Zanzibar, atakayelipa deni ni Tanganyika.
Joka kuu haiwezekani nchi yenye watu zaidi ya 60m ikawa sawa na nchi yenye watu 1.9m. Kila kitu kikiwa sawa basi Zanzibar itakuwa tu kama mkoa sio nchi tena. Itapoteza utambulisho wake wote. Na mnaosema Muungano uvunjike hamjui thamani ya usalama uliopo. Unajuwa kwanini Urusi aliamua kumpiga Ukraine?
Acha uongo.
Hiyo ni kutokana na matatizo ya Muungano aliyoyasababisha Nyerere kwa tamaa zake za kuliimarisha kanisa. Wazanzibar waachwe na Muungano ufe uone kama Zenj itaihitaji tanganyika?..Tanganyika ndiye mdhamini wa madeni ya Zanzibar.
Hiyo ni kutokana na matatizo ya Muungano aliyoyasababisha Nyerere kwa tamaa zake za kuliimarisha kanisa. Wazanzibar waachwe na Muungano ufe uone kama Zenj itaihitaji tanganyika?
Hilo la kujadili hoja akina Mbowe hawaliwezi. Wao ni ukabila na udini tu. Ndo maana haifai rais akatoka Kaskazini.Muungano mimi binafsi nauona umekaa kihuni sana, mwl alikurupuka sana kutokuweka mizania baina na nchi mbili, kwa hii hoja yako sina comment. Lakini siafiki mtu kusemwa vibaya kwa kuangalia asili yake, wamepita watanganyika wangapi ikulu na wakaiingiza nchi kwenye mikataba ya hovyo kwanini hatukukosea asili zao?
Mjadala wa bandari ungelenga zaidi kukosoa mkataba wenyewe badala ya kuanza kuwaatack watu personally.
Hilo la kujadili hoja akina Mbowe hawaliwezi. Wao ni ukabila na udini tu. Ndo maana haifai rais akatoka Kaskazini.
Kwani Mbowe kuhusu bandari alikosoa hoja tu?..wamesema mara nyingi wanapendekeza muungano wa serikali 3.
..nyinyi ndio wadini wakubwa maana kila mkikosolewa hamjibu hoja, mnasingizia dini.
Kwani Mbowe kuhusu bandari alikosoa hoja tu?
Hukumsikia akisema kuwa Wazanzibar wawili yaani Samia na Mbarawa wanauza ardhi ya Tanganyika?
Mbowe hafai hata kidogo.
Wala Samia hapaswi hata kulaumiwa. Nyerere wenu na uroho wake wa kunyakua Zanzibar bila ridhaa ya Wazanzibar ndo itawatafuna mpaka basi. Mwalimu Nyerere alimteua profesa Abdulrahman Babu mzanzibar kuwa Wazir wa kilimo Tanganyika mwa 1969 kwani ilikuwa wizara ya Muungano? Vunjeni Muungano tugawane mbao kama sheikh Ponda alivyoshauri basi...lakini sio sahihi Mbarawa kuongoza wizara isio ya muungano, na kuuza bandari za Tanganyika.
..ina maana Samia hajui kuwa ujenzi, uchukuzi, TPA, sio masuala ya muungano, na hayapaswi kusimamiwa na Waziri toka Zanzibar?
..anayepaswa kulaumiwa ktk hili ni Samia Suluhu, sio Freeman Mbowe.
Hii point yako inaonyesha wazi ni labda hujui au kwa makusudi umeamua kupuuza umuhimu wa muungano kwenye usalama. Kabla ya Muungano mwalimu Nyerere alishawahi kutamka kwamba anatamani angekuwa na uwezo avisogeze visiwa mbali zaidi na bara. Mabeberu nao walikuwa na wasiwasi wa Znz kutumika na maadui zao. Kwahiyo mabeberu walipoleta proposal kwa mwalimu wakakuta mwalimu nae ana jambo lake linalomsumbua kichwa hivyo muungano ukafanyika kwa haraka. Kuvunja Muungano ni hatari kuliko nyie CHADEMA mnavyodhani..Haki na utawala bora ndio vitakavyotuhakikishia usalama na kutuepusha na machafuko, sio muungano na Zanzibar.
Hii point yako inaonyesha wazi ni labda hujui au kwa makusudi umeamua kupuuza umuhimu wa muungano kwenye usalama. Kabla ya Muungano mwalimu Nyerere alishawahi kutamka kwamba anatamani angekuwa na uwezo avisogeze visiwa mbali zaidi na bara. Mabeberu nao walikuwa na wasiwasi wa Znz kutumika na maadui zao. Kwahiyo mabeberu walipoleta proposal kwa mwalimu wakakuta mwalimu nae ana jambo lake linalomsumbua kichwa hivyo muungano ukafanyika kwa haraka. Kuvunja Muungano ni hatari kuliko nyie CHADEMA mnavyodhani
Wala Samia hapaswi hata kulaumiwa. Nyerere wenu na uroho wake wa kunyakua Zanzibar bila ridhaa ya Wazanzibar ndo itawatafuna mpaka basi. Mwalimu Nyerere alimteua profesa Abdulrahman Babu mzanzibar kuwa Wazir wa kilimo Tanganyika mwa 1969 kwani ilikuwa wizara ya Muungano? Vunjeni Muungano tugawane mbao kama sheikh Ponda alivyoshauri basi.
Huwezi kukielewa wakati unaumwa magonjwa mtambuka(ugonjwa wa akili ukiwemo)Mbona mimi sijakielewa?
Nani alikuambia ninaumwa?Huwezi kukielewa wakati unaumwa magonjwa mtambuka(ugonjwa wa akili ukiwemo)
Utaekewaje na wewe huna akili?Mbona mimi sijakielewa?
Nenda kwenye maandamano wewe, acha kunisumbua sumbuaš¤£š¤£Utaekewaje na wewe huna akili?
Hakuna nchi ya Tanganyika. UKwani Mbowe kuhusu bandari alikosoa hoja tu?
Mbowe hafai hata kidogo.na
Hiyo serikali 3 ni mwanzo wa kwenda kuvunja muungano...chadema haipingi muungano.
..inapendekeza muungano wa serikali 3.
..nyinyi mnaodhulumu na kubagua Watanganyika ndio mnaotishia uhai wa muungano.
Muungano ukivunjika itakuwa poa ili wazanzibar wapumue na mali za wabara ziwe salama kama wanavyotaka chadema.Hakuna nchi ya Tanganyika. U
Hiyo serikali 3 ni mwanzo wa kwenda kuvunja muungano.