[emoji23][emoji23][emoji23] bwana wee, ila mimi quotes huwa nafuatilia labda iwe kwa bahati mbaya tu. Kwenye app sipati notification kwa hiyo huwa naenda kwenye browser[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndiyo mimi ninachofanya siku hizi, ila huwa nahofia kuna watu wanaweza kuwa wameniquote na ukizingatia notifications sipati.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekumbuka kuna siku ulipotea then ulivyorudi ukasema "naanzia nilipoishia" nilicheka, wakati kuna watu tulikuwa tumekuquote kule juu.
Bora hata wengine kama wewe na Khantwe huwa nawaona na kwingine, ila wale mwee mwee mwee ni kwa manati yaani.Thanks Zoë....
Hahah! Umenifurahisha sana, ila mbona wanazunguka sana huku sema tu hawana mbwembwe kama wakiwa kule....
Siunaona sasa 😀😀
#Kuwamakinisasa
Yeah, nilichogundua notifications ndiyo zinakwamisha sana mpango mzima.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zile tafiti konki
Pale ukipazoea tabu haionekani maana utaenda na spidi hio hio uliyoikuta ila tu uwe unapata notifications
Hivi ban zako huwa unapigwa nje ya kule eenh?? Unakuwaga na makosa gani mama?Sema nini akina mie tukitoka nje ya likes huwa tunaongozana na kivuli cha ban loading [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata wengine kama wewe na Khantwe huwa nawaona na kwingine, ila wale mwee mwee mwee ni kwa manati yaani.
Hivi ban zako huwa unapigwa nje ya kule eenh?? Unakuwaga na makosa gani mama?
😀😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheiii
#halafutuponjekabisa
Mimi kusema ukweli browser miaka buku ndiyo nimeshashindwa kutumia sijui kwanini, nikiingia kule sikai hata dakika mbili pananiboa nalog out.[emoji23][emoji23][emoji23] bwana wee, ila mimi quotes huwa nafuatilia labda iwe kwa bahati mbaya tu. Kwenye app sipati notification kwa hiyo huwa naenda kwenye browser
Teh, kuwa makini Bageshi. [emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheiii
#halafutuponjekabisa
Jukwaa gani hilo la celebrities au? Maana nilisikia we huwa unamponda Diamond hadi mashabiki zake wanakudiss![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] taratibu mrembo,kuna jukwaa hawanipendi,nikigusa tu wanalipuka mapovu hayo
Kama nilihisi vileNyingi napatia celebrity,ila nshamkamata anayenipaga hizo ban
Makosa: team hater
Jukwaa gani hilo la celebrities au? Maana nilisikia we huwa unamponda Diamond hadi mashabiki zake wanakudiss!
Kama nilihisi vile
Kwamba anayekupiga ban ni mod mmoja tu
Nilikua na plan za kwenda JM ila sidhan kama nitatoka tena hii kazi ikija
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi nimefurahi kukuona shem.Nipo mbona, kila mara nakuona. Pilika pilika tu ndio zinatunyima muda wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kande la mahindi mabichi.Ni makande, japo wengine maharage nayo huita githeri.
Na vile unakuwaga mgumu jamani[emoji134][emoji134][emoji134], bora hata vipapatio vina tunyama kidogo.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mguu mtamu mimi nakata kucha siweki
Afadhali, mpishi na mwosha vyombo yupo. Taabu inakuja "chakula kinachopikwa"[emoji134][emoji134][emoji134]Wallah usinipikie tu, bora nipike mwenyewe. Maana hata hivyo siwezi kuenjoy chakula nikiwa na stress za kuosha vyombo
Oooh! Poleni.