Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Mapenzi ya KIFILIPINO acha,,, jamaa yupo vizuri siku 2 unawaza hata wiki fresh mambo mengi sahivi MWENZIO KUNA INSH ANASIKILIZIA,,
 
Ni kwa sababu bado mdogo.

Hakuna mapenz hapo.
Ukishakuwa utaelewa
 
Kupeana utamu pia ni mapenzi
Kuna aina nying sana za mapenzi na kuna tabia tofauti tofauti za upendo
 
Huyu itakuwa ni moja ya wale wavulana wabaya(bad boys) wanaovuma humu jukwaani.

Anang'ata na kupuliza, kisha anakula.

Na vile wanawake mnapenda mateso, basi huchomoi.

Nadhani pia hao wavulana wabaya ndo wanasababisha single mothers.
🤣🤣🤣🤣 Wanawake wanapenda Sana mateso kwa kweli
 
🤣🤣🤣😁
 
Shida ni kwamba wakati mnatongozana hamtushirikishi,mapenzi yakipamba moto napo hamtushirikishi yakianza kuleta sintofahamu ndio tunawaona mkipiga kelele
 
Kwenye kikao cha wanaume huyo jamaa ninakaa nae siti ya mbele. Kwa hiyo nenda nae hivyo hivyo tu
 
Achana na mume wa mtu mkuu
 
Dogo kaa utulie..jipe muda hata wiki au mwezi umsahau...
Make naona utapata changamoto ya akili siku si nyingi
 
Wanawake na isue za simu mnakela sana.mind your bussines,uko free call or sleep,naye akuwa free the same,but naisi utakuwa below 30.
 
Huyo ndio Mwanaume sasa, mshikirie usimuache, huyo ni jemedari, inaonekana ulizoea wale kuchi kuchi hotae sasa umekutana na bundersiliga.
 
Njoo kwangu nitakutumia sms kila saa na kukupenda sana njooh sweet achana na uyo kibaka.
 
hivi ndivyo mwanaume anavotakiwa kuwa.. km anakupelekea moto vema na anatimiza majukumu yake sawa we unataka nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…