Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Nategemea hii ndio itakuwa story ya mwisho kuileta humu kumuhusu huyu mwanaume

Habari zenu wana JF

Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )

Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..

Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..

Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa

Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi

Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta

Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy

Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta

Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye

Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi

Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
TULIAMUA KWENYE KIKAO KUWA WANAUME WOTE TUTAFUTE PESA MAPENZI NI YA NDEGE WA ANGANI. PILI TULIKUBALIANA NI TA... MBILI YA TATU UNATOA WAZUNGU.TULICHOJIFUNZA KWA WANAWAKE KWA KARNE MOJA NI KWAMBA WANAWAKE HAWAFI MAPEMA ISUPOKUWA NI WANAUME.HIVO SASA TUNATAKA KUBADILI KADI YA MCHEZO.KUNA MAAZIMIO MENGINE NI SIRI YA KIKAO
 
Try to be less insecure and ego centric na kujiona wewe special sana, kuwa kila mara inabidi mwanamme aanzishe mawasiliano, mfikirie mwenzako pia kuwa na yeye ni special, na yeye kuna wakati unatakiwa wewe uanzishe mawasikiano.

Wanaume hawapo duniani kuwahudumia wanawake tu.
 
Try to be less insecure and ego centric na kujiona wewe special sana, kuwa kila mara inabidi mwanamme aanzishe mawasiliano, mfikirie mwenzako pia kuwa na yeye ni special, na yeye kuna wakati unatakiwa wewe uanzishe mawasikiano.

Wanaume hawapo duniani kuwahudumia wanawake tu.
Ila Hii imetokea kwake tu sijui natengeneza nini ila ni ile hali ya mimi kutamani kuona ananipenda na ananifurahia
 
Ila Hii imetokea kwake tu sijui natengeneza nini ila ni ile hali ya mimi kutamani kuona ananipenda na ananifurahia
Hiyo si mbaya ila uwe na balance na wewe, usione ni haki yako tu kupendwa na yeye ni kazi yake tu kupenda.

Mapenzi ni two way street.

Na pia, watu tofauti wana namna tofauti za kuonesha mapenzi. Jifunze kuelewa what are his love languages.
 
Hiyo si mbaya ila uwe na balance na wewe, usione ni haki yako tu kupendwa na yeye ni kazi yake tu kupenda.

Mapenzi ni two way street.

Na pia, watu tofauti wana namna tofauti za kuonesha mapenzi. Jifunze kuelewa what are his love languages.
Ooh Sawa tajitahidi
 
Habari zenu wana JF

Nimekuwa nikileta story ya huyu mwanaume ni kama huu ni uzi wake wa 4 ama wa 3 nikihitaji ushaurii kuhusu mahusiano yetu mimi na yeye.. ninafikiri Leo Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kumjadili humu na maamuzi nitayafaya kupitia huu uzi wa Leo Hii ( kuachana ama kubaki nae )

Huu mwezi unaenda wa 5 niko na huyu Kijana nashindwa kumsoma kabisa sijui ni mahaba yamezidi kwake ama nimeanza kupoteza kujiamini..

Nilileta kisa kuwa huyu Kijana anatabia ya kuni ghost kiaina kitu ambacho kinaniweka dilemma..

Kwa upande wangu sijui kama nitakuwa ninakosea ama niko sawa

Hipo hivi, kutokana na mahusiano niliyopita nilishazoea hiki kitu kwamba mwanaume ndio ana jukumu la kupambania penzi haswa kwenye upande wa mawasiliano.. nimezoea kupigiwa simu, kutumiwa sms na kujaliwajaliwa.. sasa huyu mtu niliempata sasa ni tofauti kabisaa hali inayonifanya nijisikie vibaya nihisi kama hanipendi

Nisiwe Muongo, huyu Kijana mara nyingi amekuwa akinitafuta yeye kunisalimia na kuongeaongea blablah.. mimi humtafuta mara chache sana na hiyo kama nikiona amenichunia sana ndio namtafuta

Kinachoninyima raha zaidii huyu jamaa yeye hapigagi Simu zaidii ya sms tu.. yaani kuchat, na siku ukiona amekupigia simu ujue ni siku mnaenda kuonana ndio atapiga simu kukuelekeza alipo ama mtakapoonana zaidii ya hapo hutopokea simu yake.. na Kama ukimpigia simu huwa hapokei atakutumia sms am busy

Jamani huyo ni mpnz gani ambae hamiss sauti ya mpnz wake, yaani husuniano letu tangu tuanze ni hivohivo.. sikatai anaweza kuwa ni mtu ambae hapendi kuongea na simu but mara mojamoja kuna shida gani kama tutaongea.. mimi sio kwamba siwezi kumtafuta ni naweza sana ila kuna yake mazingira siyaelewi kwake,, yaani nahisi kama hanipendi najipendekeza kwake , kwaiyo napata ugumu sana kuwa namtafutatafuta

Navowaambia Leo ni siku ya 2 hatujawasiliana… mimi kwakweli sijui ni kiburi ama ni nini nashindwa kumtafuta kabisaa akili yangu inaniambia kama ananipenda yeye ndio aniangaikie sio mimi kumuangaikia yeye

Na kila nikisema namuacha unakuta ananitafuta basi Kuna vitu ananiambia ambavyo vinanifanya nimuonee huruma, utasikia kuna vitu napitia tukionana nitakwambia basi naghairi ila ndio hivyo mpk now sijaonana nae kutokana na sababu za kikazi

Naombeni ushaurii kwa Hii changamoto ninayopitia… je ninachofanya Mimi ni sahihi kumuacha yeye aniangaikie kwanza,, je Kuna mahusiano kweli hapa au napotezewa muda
Kweli mwanaume anaekupenda anaweza kukaa hajakutafuta siku 3 wala haongeagi na simu na mpnz wake maana Hii imekuwa mpya kwangu
Upumbafu uliopo kwenye penzi ni kufikiria kufanyiwa wewe mema na wewe hufikirii kumfanyia mema

Fanya mema na usihesabu.

Siyo kila sauti inamisiwa kuna wanawake wanasauti za kharaha yaani ile kuisikia tu unakereka sauti nzito haijui kubembeleza

Unapopata mpenzi wa kiume kusudi lako wewe ni kumfanya apate utulivu wa akili na nafsi usipofanya hivo utaachwa tu au utapewa indicator ya kuachwa kama wewe huyo

Ukikataa ukweli utaumia mwanaume anayempa kipaumbele mwanamke ni yule tu humpa utulivu wa akili na nafsi aki ya baba bhuta mbazu ja kamama hahah
 
Back
Top Bottom