Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #81
Sawa kiongozi Asante sanais
izo izo marachache usirudie tena kuanzia leo , sisi pia tunafanya ayo mambo ushauri wangu punguza movement na uyo mwanamke, utakuja ingia matatizoni
😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaaah.
Duh kisa mke wako tu unatoa umauti wa binadamu mwenzako
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Si mnasemaga mume wa mtu sumu....
Mke wa mtu maziwa.....
SindioHalafu ukute yeye mwenyewe anachepuka!
Waza upuuzi tuKifuatacho ni marinda kuyapoteza
Nakushauri acha kutembea na vilainishi vya aina yyte kama ni kwenye gari au mfukoni maana nahisi vinaweza tumika kwa ajili yako muda wwte kuanzia sasaHii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Acha kuchezea uhai wakoHii nchi bhana, ukipata bahati ya kupendwa, nyota imekuwakia watu wanaanza shobo, majungu na wivu tu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Chief, huwa kuna streets rules na sheria za nchi, za nchi ndio ile mtu unasikia kafungwa, kapelekwa police n.kMkuu mbona umekimbilia kifo
Unaweza waza amenda nje kumbe yupo bongo anakunyemelea, acha ujinga kula wake za watu, si utafute wakoHii hali inakoelekea najiona kabisa nipo ktk msongo wa mawazo maana huyu mwanamke nimeanza kutembea nae tangu mme wake alipoondoka akaenda South Afrika na huu ni mwaka wa tatu sasa. Huwa anakuja na kuondoka ila ajabu ni kuwa sijui mpuuzi gn kamwambia huyu jamaa kuwa huku mke wako mpwayungu village anamtafuna. Sisi ngozi nyeusi niwahovyo sana unaacha kufuata maisha yako kucha kutwa kupeleka umbea na zaidi ya yote hufaidiki chochote.
ONYO la mwisho aliponipa alisema yeye kuwa South Africa haina maana hataki kuwa karibu na Familia ila tu nichangamoto za maisha hivyo yupo huko kutafuta chakula cha watoto ila akija naakakuta bado naendelea na mke wake atakuja kunifanya kitu mbaya Sana.
Nipo katika tafakuri nzito ila uzuri yupo nje ya nchi ingekuwa yupo Singida au Arusha ningeshaachana na mke wake mda mwingi sana kuepuka fedheha ya kufumaniwa ila kunipiga hawezi maana ni mwembamba sana hana mwili.
Faya kuna * za kihindi? Kuanzia muda gani wanajipanga barabarani?Achana na mke wa ntu tena mkimbie hasa ndugu utakula mbohoo ya makalio. Kuna K za maana tu kwa Wahaya hapo Mwananyamala ama Faya kuna ** za KIHINDI. Kama kakupa onyo mara 3 nakushauri uhame jiji.
Kila la kheri [emoji119]We Fata maisha yako