Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

Kuna mijitu mijinga humu yenyewe haijui chochote zaidi ya ushabiki wa kijinga, wap wanaamini palestina ndio mchokozi.wakati palestina anapigania uhuru wake.
Kama anapigania uhuru wake, tuambie Israel kwao ni wapi? Shida ya Palestinians ni dini, kwani wangekubali kuishi kwa pamoja na wayahudi shida ingetoke wapi?
 
Kuna mijitu mijinga humu yenyewe haijui chochote zaidi ya ushabiki wa kijinga, wap wanaamini palestina ndio mchokozi.wakati palestina anapigania uhuru wake.

Hasa haya hapa: MK254, Nkanini na buza buza huko yamejaa tele ati kuwa ni maisrael kuliko hata kina Yitzhak Rabin.
 
1. Ni wewe huyu niliyekuona hapa:

e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.


Kwenye Uzi huu:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

2. Kwa majina mnaitwa chawa, miye siyo mmoja wenu!

Kila siku mnanyanyua makalio lakini kipigo ni kile kile

main-qimg-17512da37a0b1e02107ce7cc1999f006
 
Kama anapigania uhuru wake, tuambie Israel kwao ni wapi? Shida ya Palestinians ni dini, kwani wangekubali kuishi kwa pamoja na wayahudi shida ingetoke wapi?

1. Two state solution hujapata hata kuisikia ndugu?

IMG_20240405_064225.jpg


2. Kwamba Trump ndiye huyo ila wewe bado tu unashupaza shingo?
 
1. Kumekucha!

2. Huku kuna watoa misaada kawauwa kwa makusudi, kule kuna jingine na Iran linatokotoka vilivyo; kavunja Geneva convention kwa kushambulia consulate ya wengine ugenini.

3. Alimradi mwana mkaidi kazini!

4. Sasa amri anayoielewa vyema imeshatoka; tena ya babaake kutokea white house ya Marekani: "Vita vikome mara Moja!!"

View attachment 2954110

5. Aungurumapo Simba mcheza nani?

View attachment 2954111

6. Kwamba kumbe watoa misaada wale wakiwa kwenye msafara wa magari matatu, yenye reflective logo (WCK) kubwa za wazi zinazojulikana; zikiwa juu na chini, mbele nyuma na pembeni; IDF wakijua wapo walipokuwa muda ule, waliwarushia makombora matatu kuwauwa; moja baada ya jingine!

7. Kwamba kumbe baada ya gari ya mbele kupigwa, mbili za nyuma zilifika kuwachukua wahanga, ambazo nazo zilikuja kupigwa moja baada ya nyingine; tena punde tu kila walipo maliza kuwaweka wahanga kwenye gari zilizobakia au iliyobakia?

8. Kwamba gari ya mwisho ilipigwa baada ya kuwa imekamilisha kuwachukua wahanga kwenye gari mbili zilizopigwa mwanzo?

9. Kwamba kumbe katika muda wote huo walikuwa kwenye mawasilisho ya moja kwa moja (real time), kuwa: "kulikoni mwatuuwa?"

10. Kwamba kulikuwa na umbali wa angalau 500m kutokea gari moja hadi nyingine baada ya kupigwa?

11. Looh! Ni mwenda wazimu pekee anayeweza kukubaliana na hadithi za Natenyahu za bahati mbaya.

12. Joe Biden anazo sababu zote za kukereka, kwani Kwa hakika ukimwendekeza mbwa atakufuata hadi madhabahuni!

Ama kwa hakika: "la kuvunda halina ubani."
Sasa kumpa mtu msaada wa silaha halafu unamwambia acha vita mara moja, nadhani ni aina nyingine ya wendawazimu
 
Nasisitiza kuwa VITA ni upumbavu mkubwa

1. Ni mwenda wazimu pekee anaweza kuchagua vita badala ya maelewano.

IMG_1567.jpg


2. Kulikoni dhuluma? Chanzo cha vita ni dhuluma.

3. Dhulma haukubaliki!

4. Babu zetu walilazimika kupigania Mau Mau, Maji maji nk wakikataa dhulma.
 
Kila siku mnanyanyua makalio lakini kipigo ni kile kile

main-qimg-17512da37a0b1e02107ce7cc1999f006

1. Jahazi linapoendelea kuzama:

IMG_20240405_064225.jpg


2. Kwa Mpalange pale, waisrael mnasikika: "hiiiiii ...iii!"

3. Kwa hakika mwisraeli mna mwakilisha!
 
Ila inashangaza sana, Israel imechanganyikiwa, vita ya Gaza miezi sita anapigana na Hamas halafu bado anarusha ndege kupiga balozi ya Iran.

Dah! Jamaa ni weupe vichwani. Hapo wanataka WW3 hao washenzi.

Wanasema

1. Alimradi mwana mkaidi kazini!

2. Mbwa ukimwendekeza atakufata hadi madhabahuni.

IMG_20240405_064132.jpg


3. Alipo sasa kalikoroga, muda wake wa kulinywa lote!
 
Asubiri kwanza Netanyahu afanyiwe opereshen ya tezi dume na Iran alafu ndo atoe wazo lake la vita kusitishwa
Mbona kama ayatollah ndio anafanyiwa operation sasa?!
Kile kipigo cha syria sio mchezo
 
1. Kumekucha!
2. Huku kuna watoa misaada kawauwa kwa makusudi, kule kuna jingine na Iran linatokotoka vilivyo; kavunja Geneva convention kwa kushambulia consulate ya wengine ugenini.
3. Alimradi mwana mkaidi kazini!
4. Sasa amri anayoielewa vyema imeshatoka; tena ya babaake kutokea white house ya Marekani: "Vita vikome mara Moja!!"
View attachment 2954110
5. Aungurumapo Simba mcheza nani?
View attachment 2954111
6. Kwamba kumbe watoa misaada wale wakiwa kwenye msafara wa magari matatu, yenye reflective logo (WCK) kubwa za wazi zinazojulikana; zikiwa juu na chini, mbele nyuma na pembeni; IDF wakijua wapo walipokuwa muda ule, waliwarushia makombora matatu kuwauwa; moja baada ya jingine!
7. Kwamba kumbe baada ya gari ya mbele kupigwa, mbili za nyuma zilifika kuwachukua wahanga, ambazo nazo zilikuja kupigwa moja baada ya nyingine; tena punde tu kila walipo maliza kuwaweka wahanga kwenye gari zilizobakia au iliyobakia?
8. Kwamba gari ya mwisho ilipigwa baada ya kuwa imekamilisha kuwachukua wahanga kwenye gari mbili zilizopigwa mwanzo?
9. Kwamba kumbe katika muda wote huo walikuwa kwenye mawasilisho ya moja kwa moja (real time), kuwa: "kulikoni mwatuuwa?"
10. Kwamba kulikuwa na umbali wa angalau 500m kutokea gari moja hadi nyingine baada ya kupigwa?
11. Looh! Ni mwenda wazimu pekee anayeweza kukubaliana na hadithi za Natenyahu za bahati mbaya.
12. Joe Biden anazo sababu zote za kukereka, kwani Kwa hakika ukimwendekeza mbwa atakufuata hadi madhabahuni!
Ama kwa hakika: "la kuvunda halina ubani."

Wamarekani waongo tu, wanafik hao.
 
Wamarekani waongo tu, wanafik hao.

1. Ni waongo lakini hili la watu wao 7, dawa imewaingia na waisiraeli wote wakiwamo wa kwetu Buza, walipo wanatweta kwa kihoro.

2. Unajua baada ya dakika chache tu ya mkoromo wa Joe mwisraeli mmoja atakuwa kasikia vyema mno, kuliko hata maelezo.

3. Tayari bandari ya Ashdod iliyokuwa imefungwa miaka na miaka imefunguliwa kuanza kuhudumia; fikiria tena ni kuhudumia Gaza kaskazini!

4. Kulia kushoto, 7 wale watamgharimu Natenyahu milele.
 
Hehehe ustadhi mbona kama unapiga nyeto maana nimesoma mstari wa kwanza nikashindwa kuendelea, hizo njaa za mfungo wa muarabu zinawaharibu akili sana nyie wavaa dera/kanzu......kipigo kiko pale pale, kwa taarifa yako Biden na Netanyahu wamekubaliana tu suala la misaada.... ila kipigo ni kile kile...
Mvaa kanzu mwingine huyu hapa.
 

Attachments

  • IMG_2517.jpeg
    IMG_2517.jpeg
    417.3 KB · Views: 2
1. Ni waongo lakini hili la watu wao 7, dawa imewaingia na waisiraeli wote wakiwamo wa kwetu Buza, walipo wanatweta kwa kihoro.

2. Unajua baada ya dakika chache tu ya mkoromo wa Joe mwisraeli mmoja atakuwa kasikia vyema mno, kuliko hata maelezo.

3. Tayari bandari ya Ashdod iliyokuwa imefungwa miaka na miaka imefunguliwa kuanza kuhudumia; fikiria tena ni kuhudumia Gaza kaskazini!

4. Kulia kushoto, 7 wale watamgharimu Natenyahu milele.

Usidanganyike. Bandari imefunguliwa ili Wapalestina waswagwe waondokee huko kwa njia ya bandari wakatupwe nchi za mbali na hapo, haikufunguliwa kwa sababu za kuwasaidia.

Wamarekani ni wanafik na serikali zote kuanzia za Kiarabu mpaka Wamarekani na Ulaya, mpaka huku kwetu zimeshikwa na mazayuni au vibaraka wa mazayuni.

Wapalestina wataokolewa na Allah tu, lakini si Mmarekani hata kidogo.
 
1. Tofautisha kusema vita kusimama na vita kusimama sasa; ndugu mwisraeli tokea pande za Buza kwa Mpalange pale!

2. Kwani wewe hutaki vita kwisha ndugu?
Nataka wewe na maswahiba zako mchabangwe hadi muone nyotanyota!Mmezidi kudekadeka.
 
Nataka wewe na maswahiba zako mchabangwe hadi muone nyotanyota!Mmezidi kudekadeka.

1. Si tulikubaliana kuwa hapa ulikuwa ukiwaambia wale wahusika wenyewe; yaani marehemu?

IMG_20240405_122721.jpg


2. Kwamba kwa kuwa miye na weye hatuna maswahiba huko, hivyo utajielekeza kuwafikishia ujumbe wako wahusika moja kwa moja?

3. Kulikoni tena kuanza kuzisahau vows zako?

IMG_20240405_122823.jpg


4. Vipi mrejesho ungali hujapata bado?
 
1. Si tulikubaliana kuwa hapa ulikuwa ukiwaambia wale wahusika wenyewe; yaani marehemu?

View attachment 2954436

2. Kwamba kwa kuwa miye na weye hatuna maswahiba huko, hivyo utajielekeza kuwafikishia ujumbe wako wahusika moja kwa moja?

3. Kulikoni tena kuanza kuzisahau vows zako?

View attachment 2954441

4. Vipi mrejesho ungali hujapata bado?
Mnazugwa.Kaeni kwa utulivu.
 
Back
Top Bottom