Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe USA wakiongea maneno yanayowafurahisha ni wanaume1. Udaku utawahusisha wanaume wa shoka hawa?
View attachment 2954115
2. Au ndiyo wale waisrael wa buza mko kwenye kuugulia Maumivu?
View attachment 2954135
3. Kikinuka waungwana huchutama!
4. Kwamba anayeamuru vita kusita humwoni?
Bado hujasemaUkiwasikia hivyo hao mashetani kimarekani ujuwe wao na vibaraka wake ndiyo wameandaa washambulie.
Waongo sana nguruwe hao.
Usidanganyike. Bandari imefunguliwa ili Wapalesgtina wasagwe waondokee huko kwa njia ya bandari wakatiupwe nchi za mbali na hapo, haikufunguliwa kwa sababu za kuwasaidia.
Wamarekani ni wanafik na serikali zote kuanzia za Kiarabu mpaka Wamarekani na Ulaya, mpaka huku kwetu zimeshikwa na mazayuni au vibaraka wa mazayuni.
Wapalestina wataokolewa na Allah tu, lakini si Mmarekani hata kidogo.
Mnazugwa.Kaeni kwa utulivu.
Ukiwasikia hivyo hao mashetani kimarekani ujuwe wao na vibaraka wake ndiyo wameandaa washambulie.
Waongo sana nguruwe hao.
1. Jahazi linapoendelea kuzama:
View attachment 2954215
2. Kwa Mpalange pale, waisrael mnasikika: "hiiiiii ...iii!"
3. Kwa hakika mwisraeli mna mwakilisha!
1. Jahazi linapoendelea kuzama:
View attachment 2954215
2. Kwa Mpalange pale, waisrael mnasikika: "hiiiiii ...iii!"
3. Kwa hakika mwisraeli mna mwakilisha!
1. Two state solution hujapata hata kuisikia ndugu?
View attachment 2954207
2. Kwamba Trump ndiye huyo ila wewe bado tu unashupaza shingo?
1. Kwani Natenyahu anasema je, hata akichungulia dirishani nyumbani kwake tu?
View attachment 2954204
2. Yeye kama wewe kama MK254 na wale waisrael wa buza watakuwa wanajisemea: "hiiiiiiii ...ii!"
1. Ni wewe huyu niliyekuona hapa:
e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.
f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.
kwenye Uzi huu wa madude ya pande za kwetu?
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko
2. Kwa majina mnaitwa chawa, miye siyo mmoja wenu!
1. Kwamba umesoma mstari wa kwanza tu ukajisemea "hiiiiii ..iii!"
View attachment 2954112
2. Kwa hakika isingekuwa vinginevyo!🤣🤣
Hapo MK254, Moisemusajiografii na wenzao watakuwa ni mwendo wa kupita juu kwa juu wakijisemea hiiiiii..Ii!