Natenyahu maji ya shingo, Marekani yamwamuru kusitisha vita mara Moja!

Ukiwasikia hivyo hao mashetani kimarekani ujuwe wao na vibaraka wake ndiyo wameandaa washambulie.

Waongo sana nguruwe hao.
 
1. Udaku utawahusisha wanaume wa shoka hawa?

View attachment 2954115

2. Au ndiyo wale waisrael wa buza mko kwenye kuugulia Maumivu?

View attachment 2954135

3. Kikinuka waungwana huchutama!

4. Kwamba anayeamuru vita kusita humwoni?
Kumbe USA wakiongea maneno yanayowafurahisha ni wanaume
Ila wakiwa against na nyie ni mashoga?
Sasa naelewa kwanini wachina wanasema islam is a mental illness need to be cured
 

1. Wamarekani wanafiki sana, yes; lakini hiki kimewanukia!

Your browser is not able to play this audio.


2. Kombe halifumikiki tena mwana kharam kama mbwa, wamemwendekeza na sasa kawafuata hadi madhabahuni.

3. Watake wasitake, hiki kimeumana!
 
Mnazugwa.Kaeni kwa utulivu.

1. Kama Huku ni kuzugwa?

2. Kuzugwa huku ni kwema sana; kama vipi, mwendo ukiwa huu, tunafarijika mno!

Your browser is not able to play this audio.


3. Kwa hakika kama ndivyo, tutasema: "kazi iendelee."


Your browser is not able to play this audio.
 
Ukiwasikia hivyo hao mashetani kimarekani ujuwe wao na vibaraka wake ndiyo wameandaa washambulie.

Waongo sana nguruwe hao.

1. Ninaamimi kwenye hili kimenuka:

Your browser is not able to play this audio.


2. Sababu kuu walio binadamu, hatimaye nao wameuwawa.

3. Sasa wameelewa (the hard way) nini maana yake mauwaji ya kijinga.
 

Masaa 48 yameisha, badala ya kushambulia Israel bado mnanyanyua haya mavitu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…