Tetesi: NATO na USA kufanya maamuzi magumu kuiokoa Dunia na WW3

Tetesi: NATO na USA kufanya maamuzi magumu kuiokoa Dunia na WW3

🤣🤣🤣🤣 Hizi ndoto nyingine bhana! Haya kakojoe urudi kulala
Ndoto za mchana hizi. Kwa kinachoendeleq pale Urusi na Ukraine hakuna ambaye yuko tayaro itokee tena vita Israel na Iran maana mtikisiko utakuwa mkubwa sana
 
Unapenda USA apambane na Russia lakini haiwezekani Marekani na NATO kupambana na Urusi. Ya kusikitisha ni kwamba mpaka sasa dunia haijajua ni nini kinaendelea pale Kapustin Yar massive underground military base. Inakadiriwa ina ukubwa wa maili 400 za mraba. Imejengwa kuweza kustahimili mlipuko wa kombora lolote lililopo sasa duniani na la vizazi vijavyo.

Inasemekana ndio mahali penye teknolojia za juu kabisa ulimwenguni na haya yanayojulikana na NATO juu ya Urusi ni asilimia 5 na asilimia 95 yamefichwa humo Kapustin Yar.

Puttin aliwahi kusema Taifa au nchi inayotaka kupigana na Russia ijitathmini zaidi ya moja mpango wake maana zitatukika silaha ambazo toka duniani iumbwe haziwahi kufikirika kuwepo duniani. Hio ni siri iliyopo pale KAPUSTIN YAR
[emoji1787]
 
Kawaulize warusi wanaompiga putini ndani ya nchi yake watakwambia jinsi isivyovumilika kiuchumi kwa warusi
Unajua kuliko Forbes? Utajiri wa Ma Oligarch wa kirusi umeongezeka, Vikwazo vimewaongezea utajiri badala ya kuwapunguzia.

 
What about German? The european economic super power!

BERLIN, May 25 (Reuters) - The German economy was in recession in early 2023 after household spending in Europe's economic engine finally succumbed to the pressure of high inflation.
Ulisema uchumi wa Urusi unaperform vizuri, sasa umehamia Germany. Be organized, siyo kurukaruka.

Kama kuna vita vinavyoshirikisha haya mataifa makubwa au mataifa ya Ghuba ambayo yanazalisha mafuta kwa wengi, kila Taifa linaguswa, negatively au positively.
 
Usijibu kwa mahaba, fuatilia takwimu za uchumi wa Urusi kwa sasa, tena kutoka vyombo vya habari vya Urusi.

Uchumi wa Urusi unaanguka japo siyo kwa speed waliyotegemea nchi za Magharibi.

Sarafu ya Urusi nayo inazidi kuanguka baada ya mwakajana kupanda kwa kiwango cha juu kuliko sarafu zote Duniani. Hiyo ilitokana na Urusi kuyalazimisha mataifa yote yaliyokuwa yananunua mafuta na gas ya Russia, lazima yafanye malipo kwa sarafu ya Urusi.

Sasa kilichotokea ni mataifa ya Magharibi kuacha kununua mafuta na gas ya Urusi. Mauzo ya mafuta ya Urusi yameanguka kwa 41%, na hivyo hata mahitaji ya sarafu ya Urusi hayapo tena.

Mnunuzi mkuu wa mafuta ya Urusi, India, naye amewekewa masharti ma nchi za Magjaribi. Hataruhusiwa kuuza products zozote za mafuta kwa nchi za Magharibi kwa sababu zitakuwa zimetokana na mafuta ya Russia. India nayo sasa ipo njiapanda kwa sababu soko kubwa la products za mafuta ni Ulaya Magharibi.
Juzi tu imekua Reported Saudia ananunua Barel 174,000 kwa Siku Toka Urusi, na Saudi huyo huyo anauza Ulaya mafuta yake

Kinachoendelea Ulaya ni wananunua Mafuta yale yale ya Urusi ila kwa bei mara 2 ama mara 3 ya hela ya mwanzo.


Kuhusu Uchumi wa Urusi ndio umeshuka asilimia 2, ila ukumbuke Mamia ya Mabilioni usd Dollars ya Urusi yamechukuliwa na Kutaifishwa, yote hayo hayajaathiri Uchumi, Estimation mwaka huu unapanda kwa 0.7% na mwakani 1.7% hivyo sanction zote hizo zimedunda.

Pia ma Oligarch wengi wa Urusi utajiri wao unapaa mno,

There are 105 Russian billionaires on Forbes’ 2023 World's Billionaires List with a collective net worth of $474 billion, up from 83 worth a combined $320 billion in March 2022. (In contrast, America's 735 billionaires lost $200 billion between March 2022 and 2023, while China’s richest are down by $300 billion; net worths for the list were measured using stock prices and exchange rates from March 10, 2023.)

Mtu kama Abramovich walichukua mali zake utajiri ukashuka hadi 6.9B usd ila sasa hivi umeshapanda hadi 9B ndani ya mwaka tu.

So hizi Stori za kusema uchumi wa Urusi umeathirika ni za Kujifariji tu ila Huko Ulaya ndio hali tete.
 
Mtengenezaji wa silaha, anapotengeneza silaha anajitahidi iwe bora zaidi kuliko nyingine zote. Lakini uhalisia haupo hivyo, kwa sababu na wenzako wanafikiria namna ya kupambana na hiyo silaha.

Wakati wa vita ya NATO dhini ya Slobodan Milosevic wa Yugoslavia, NATO walitumia ndege zilizonunuliwa US za latest version zilizoitwa Invisible. Ziliitwa invisible kwa sababu mtengenezaji ambaye ni US alisema haiwezi kuonekana kwenye mitambo yoyote ya radar, lakini jeshi la Yugoslavia lilifanikiwa kuidungua moja.

Urusi wanasema kuwa makombora yao ya hyppersonic hayawezi kudunguliwa na mitambo yoyote ya ulinzi wa anga, tayari Ukraine wameweza kulidungua moja katika 6 yaliyorushwa na Urusi.

Na hiyo hypersonic haielezei ubora bali speed pekee. Kombora linaloongoza kwa hatari ni LGM-30 Minuteman III. Hilo linaongoza kwa destruction na precision.

Na anti-hypersonic system inayoongoza kwa ubora wa kutungua makombora ya hypersonic ni The Arrow 3 or Hetz 3, ya Israel.

Ukraine downs Russian hypersonic missile with US Patriot system

LIVE

Open the menu



News|Russia-Ukraine war

Ukraine downs Russian hypersonic missile with US Patriot system

Air-launched ballistic missile that can reach speeds of up to Mach 10 is capable of carrying nuclear or conventional warheads.

Video Duration 01 minutes 02 seconds01:02

Published On 6 May 20236 May 2023

Ukraine downed a Russian hypersonic missile over the capital Kyiv using a newly acquired US Patriot defence system in what would be a first in its ability to intercept one of Moscow’s most modern weapons.

The Kinzhal missile is one of the latest and most advanced Russian weapons. Its military says the air-launched ballistic missile has a range of up to 2,000km (1,250 miles) and flies at 10 times the speed of sound, making it hard to intercept.

A combination of hypersonic speed and a heavy warhead allows the Kinzhal to destroy heavily fortified targets, such as underground bunkers or mountain tunnels.
Mkuu hii habari haina ukweli sababu baada ya hii habari Marekani wenyewe walikiri Patriot imepigwa, sasa kama Ukraine walifanikiwa Kutungua Hypersonic kwanini Patriot imepigwa? Kuna mpaka Video mtandaoni zinaonesha live Patriot inapiga tu bila mpangilio kisha kunaonekana mlipuko mkubwa kwenye patriot.
 
Waislamu wengi duniani wana uadui mkubwa na Iran zaidi ya chochote....chunguza....

Waislam wengi huwenda ni marafiki wa MAREKANI zaidi ya Iran....chunguza [emoji1787][emoji1787]
Saudi ndio ana Ugomvi na Iran ila Mataifa mengi ya Kiarabu ni Neutral ama marafiki na Iran.
 
Sawa....

Kwa hiyo masunni walio wengi duniani hawana hasama na hao Iran?!!!
Inategema na Nchi, kuna Nchi kama Bahrain wana Shia wengi ila haziendi na Iran, ila kuna Nchi za Sunni kama Qatar zinaenda na Iran.

Qatar, Kuwait, Jordan, Algeria, Libya, Lebanon, Oman, Syria, UAE na Yemen wanashirikiana na Iran.
 
Inategema na Nchi, kuna Nchi kama Bahrain wana Shia wengi ila haziendi na Iran, ila kuna Nchi za Sunni kama Qatar zinaenda na Iran.

Qatar, Kuwait, Jordan, Algeria, Libya, Lebanon, Oman, Syria, UAE na Yemen wanashirikiana na Iran.
Well ...

Hebu angalia fungu la nchi hizo nchi za mwisho ulizoweka hapo chini....je ndani yake hazina mashia wengi zaidi zaidi wa masuni ?!!![emoji1787]
 
Russia ikisnxa kutandikwa na mkiiona inashindwa vita mnakuja na porojo za kila namna safari kiburi cha mrudi lazima kielekkwe na Putin lazima afungashwe virago

Alivyoligema atalinywa

No retreat no surrender hiyo ndio slogan ya Ukraine
.
Screenshot_20230429-122759.jpg
 
Back
Top Bottom