NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

Ukranians na Russian ni kitu kimoja, wanatoka kwenye same roots, Kiev huu mji mkuu wa Ukraine zamani ulikuwa ndio makao makuu ya Russia kabla ya Moscow, CIA wamekuwa wakisambaza propaganda na chuki kwa Ukranians waichukie Russia, CIA wametumia billions of dollar kuhakikisha hawa ndugu wa damu hawapatani kabisa.

USA amekuwa aki enjoy sana kuona nchi zikitengana kwa muda sasa kwa ajili ya maslahi yake binafsi, Putin anajua nini anafanya, ulaya pale Russia anaogopwa kwa umuhimu wa gas yake.

Ukraine inaweza kumegwa tena kisela na ulaya wakaweka mkia kati kati ya miguu, pale ulaya nani ana uchumi mkubwa? ni Germany sasa Germany ni koloni la Russia kwa miaka 49 na pia mabomba ya gas(nord stream) ya Russia yanaingia Germany ndio yanasambaza gas kwingine nchi za ulaya na sasa wanajenga bomba la pili licha ya USA kupiga kelele.

Germany ana maslahi mapana na Russia, kama mkali wao aliyeshikilia euro anamuogopa Russia, waliobaki wana nini cha kufanya?
France yenyewe ilipigwa na Germany mpaka wakafuatwa Paris WW2, UK ilichapwa vibaya sana mpaka Uncle Sam akamkomboa lakini Russia aliichakaza Germany toka mashariki akawa wa kwanza kuingia Berlin.

Ukraine itamegwa tu kama Palestine inavyomegwa kionevu na Israel halafu USA haongei, lakini Ukraine ikimegwa anaongea, sasa dawa ni kumegeana kibabe tu.
 
Ukranians na Russian ni kitu kimoja, wanatoka kwenye same roots, Kiev huu mji mkuu wa Ukraine zamani ulikuwa ndio makao makuu ya Russia kabla ya Moscow, CIA wamekuwa wakisambaza propaganda na chuki kwa Ukranians waichukie Russia, CIA wametumia billions of dollar kuhakikisha hawa ndugu wa damu hawapatani kabisa.

USA amekuwa aki enjoy sana kuona nchi zikitengana kwa muda sasa kwa ajili ya maslahi yake binafsi, Putin anajua nini anafanya, ulaya pale Russia anaogopwa kwa umuhimu wa gas yake.

Ukraine inaweza kumegwa tena kisela na ulaya wakaweka mkia kati kati ya miguu, pale ulaya nani ana uchumi mkubwa? ni Germany sasa Germany ni koloni la Russia kwa miaka 49 na pia mabomba ya mafuta(nord stream) ya Russia yanaingia Germany ndio yanasambaza mafuta kwingine nchi za ulaya na sasa wanajenga bomba la pili licha ya USA kupiga kelele.

Germany ana maslahi mapana na Russia, kama mkali wao aliyeshikilia euro anamuogopa Russia, waliobaki wana nini cha kufanya?
France yenyewe ilipigwa na Germany mpaka wakafuatwa Paris WW2, UK ilichapwa vibaya sana mpaka Uncle Sam akamkomboa lakini Russia aliichakaza Germany toka mashariki akawa wa kwanza kuingia Berlin.

Ukraine itamegwa tu kama Palestine inavyomegwa kionevu na Israel halafu USA haongei, lakini Ukraine ikimegwa anaongea, sasa dawa ni kumegeana kibabe tu.
Na usisahau aliyemaliza vita zote mbili za dunia alikuwa ni USA.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
wewe usiye mshabk hebu toa maoni yako.
Kwa kfupi hata wewe ni mshabk wa urus ndo maana umekmbilia kujbu kuptia nlchoandka ukzngatia umeweka pcha ya putin hapo naiona unadhan mwny ufahamu atashndwa kujua we ni mshbk wa upande upi. Labda mwendawazmu.
Sio kila anayekuquote ni mshabiki na siyo kila anayekukosoa hayupo upande wako picha ni picha na ushabiki ni ushabiki na kwa kuprove kuwa wewe ni wendawazimu mimi sina huo ushabiki maandazi wa namna yenu.
 
USA kwa wababe wenzake anaishiaga kubwekabweka na kukimbilia vikwazo, ila akikuta mlevi wa mataputapu anajipigia muda wowote anaoamua
Hapo umepatia vilivyo mkuu, kwa taatifa yako - jioni hii Biden na majenerali wake wameufyata hawapeleki tena meli zao za kivita kwenye peninsula ya Crimea - naona onyo la Waziri wa Ulinzi wa Urusi kwamba Meli za USA zikitia pua ndani ya Crimea territorial waters zita end up at the bottom of the sea, ni mara chache Wizara ya ulizi ya Urusi kutoa onyo kali, sina Shaka USA Navy Admirals wanajua fika kwamba meli zao za kivita haziwezi ku-survive a telling blow kutoka kwenye formidable Russian coastal mobile missile defense systems type K-300P Bastion-P.
 
Apigane na China, Urusi au Korea kaskazini atachukua nn? Ni bonge la hasara.
Ona ulivyo empty! Ardhi ya Urusi pekee ina utajiri mkubwa alafu bado Urusi hiyohiyo inabana maslahi ya USA.

Jibu unalo kwamba hadhubutu kusogeza pua huko ulikotaja sio kwamba hawezi pata malighafi.
 
Anachofanya Urusi hata Hitler alianza hivyo hivyo,mwishoe akajitanua na kuota mapembe. Kama hujui kuwa Ulaya wanalichukulia hili jambo seriously subiri uone moto wake. Nchi kama Poland, Romania,Norway na Sweden wanalichukulia kwa uzito mkubwa sana.
Watafanya nini sasa? Urusi sikiliza tangu enzi za USSR alisha jiandaa kwa vita tena sio vita ndogo hapana ni vita kubwa kabisa,

Na ndo maana silaha zake nyingi anazo milik si za vita ndogondogo hizi bali ni vita kubwa,

Acaha na Vita kuu ya Pili ya Dunia ambapo techinolojia ilikuwa ndogo.

Vita yoyote ya Ulaya au NATO na Urusi itapigwanwa mlangoni mwa kila nchi, Sasa niamvie ni nchi ipi ya Ulaya iko tiyari kuona Atomic zinaangushwa kwenye aridhi yao?

Hahaaa hao ni Mikwara tena hao ni viongozi, Wananchi ndo kabisa hawataki kusikia kitu War, Raia wa Ulaya hata Marekani hakuna anaye taka kusiki kitu Vita
 
Kwq
Kwani kuwa Mshabiki Ni dhambi Mkuu?
Hapana si dhambi mkuu, lakini kuna tofauti kubwa kati ya mshabiki na mchambuzi.

Mshabiki anasukumwa na na hisia na mihemko kwenye kuliongeleaa jambo kwa jinsi anavyopendezwa nalo.

Mchambuzi anatumia akili na uhalisia wa jambo kama linavyoonekana kulifikisha kwa hadhira kwa lengo la kuwapa taarifa iliyo sahihi.
 
I
Likija swala la vita isee ..... Russia ni hatari ........lile ni jesh la mtu mmoja
Hapana si dhambi mkuu, lakini kuna tofauti kubwa kati ya mshabiki na mchambuzi.

Mshabiki anasukumwa na na hisia na mihemko kwenye kuliongeleaa jambo kwa jinsi anavyopendezwa nalo.

Mchambuzi anatumia akili na uhalisia wa jambo kama linavyoonekana kulifikisha kwa hadhira kwa lengo la kuwapa taarifa iliyo sahihi.

Sawa Mkuu Kikulacho kwenye mada yangu Ni wapi mimi nilijiandika Kama mchambuzi wa habari hasa za kimataifa?

Maana wewe umeanza kwa kuniambia "wewe sio mchambuzi Bali Mshabiki",
Sioni pahala nilipojiita mchambuzi.

Hata hivyo sillalamiki,
Ila Mimi nimeandika mtazamo wangu tu.
 
Haku
Na usisahau aliyemaliza vita zote mbili za dunia alikuwa ni USA.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sidhani,hapa kila mtu Ana maoni yake.

Wapo na vitabu vipo vinadai aliemaliza ww2 Ni Soviet Union, na wanakuambia yeye ndio alieingia Kwanza katika ngome ya Hitler yaani Berlin,hili halina ubishi.

Na huko Urusi Kuna sherehe kila mwaka inaitwa Victory day, viongozi wengi wa dunia huhudhuria sherehe hizo,kukumbuka kuangushwa kwa utawala wa hitler.

Naweza kusahihishwa.
 
Sawa Mkuu Kikulacho kwenye mada yangu Ni wapi mimi nilijiandika Kama mchambuzi wa habari hasa za kimataifa?

Maana wewe umeanza kwa kuniambia "wewe sio mchambuzi Bali Mshabiki",
Sioni pahala nilipojiita mchambuzi.

Hata hivyo sillalamiki,
Ila Mimi nimeandika mtazamo wangu tu.
Sawa ndugu inawezekana ukawa ni mtazamo wako lakini hili jukwaa ni la watu makini walio makini kwenye siasa za kimataifa, wanapoingia humu jukwaani wanatarajia kukutana na hoja makini ili wazidi kujiongezea maarifa na thamani ya muda wao kuwapo hapa jukwaani.

NB;
Unaonekana ni mtu makini na mwenye weledi kwenye siasa za kimataifa. Ukiweka emotions pembeni utakuwa mchambuzi bora sana hapa jukwaani.
 
Sawa ndugu inawezekana ukawa ni mtazamo wako lakini hili jukwaa ni la watu makini walio makini kwenye siasa za kimataifa, wanapoingia humu jukwaani wanatarajia kukutana na hoja makini ili wazidi kujiongezea maarifa na thamani ya muda wao kuwapo hapa jukwaani.

NB;
Unaonekana ni mtu makini na mwenye weledi kwenye siasa za kimataifa, ukiweka emotions pembeni utakuwa mchambuzi bora sana hapa jukwaani.
Ha ha ha haa.

Asante ila ukimpata mchambuzi yoyote wa masuala yoyote ambae Hana upande nitaarifu.

Linapokuja Suala la Urusi na Marekani kuzozana kila mtu anakua na upande wake. Na hi kutokana na misimamo ya nchi mbili hizo.
Ni toka enzi za Cold War.

Hali hii ipo hivyo hata kwa Mitandao ya kijamii ya nje.
 
Urusi haina busara. Ukraine ni sovereign country, shida ni nini akiamua kujiunga na NATO? Kwa nini achaguliwe marafiki na urusi?
 
Ha ha ha haa.

Asante ila ukimpata mchambuzi yoyote wa masuala yoyote ambae Hana upande nitaarifu.

Linapokuja Suala la Urusi na Marekani kuzozana kila mtu anakua na upande wake. Na hi kutokana na misimamo ya nchi mbili hizo.
Ni toka enzi za Cold War.

Hali hii ipo hivyo hata kwa Mitandao ya kijamii ya nje.
Ni vigumu sana kujadili jambo bila kuwa na upande kwa sababu, lakini mchambuzi mahiri anajitahidi kuficha kabisa muegemeo wa emotions zake na hata kama ikitokea zikajionyesha atakuwa na hoja zenye nguvu kulinda na kutetea jambo hilo.
 
Sawa na Zanzibar iseme ipo tayari kuungana na Kenya vipi Tanzania bara itakubali?
Ukraine haijaungana na Urusi. Kama unazungumzia Soviet union ilishavunjika, kila nchi ikaamua hatma yake, kutia ndani East German, Poland nk ambazo ziko huru kujiunga na yeyote zimtakaye. Reference yako ya Ukraine na Zanzibar haishabihiani.
 
Back
Top Bottom