NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

NATO wanatishia, Urusi hatishii atavamia kweli na inaweza kutokea Vita kweli

Nenda shule ukasome. Tanzania ina rasilimali nyingi sana lkn bado masikini. Sembuse atakuwa Urusi wako? Urusi anawekea vikwazo na Marekani na siyo UN. Kasome First world 1 & 2, Great depression, Neo colonialism kisha malizia na Capitalism & Socialism

Ndiyo ujue umuhimu wa kwenda shule.
Ona ulivyo empty! Ardhi ya Urusi pekee ina utajiri mkubwa alafu bado Urusi hiyohiyo inabana maslahi ya USA.

Jibu unalo kwamba hadhubutu kusogeza pua huko ulikotaja sio kwamba hawezi pata malighafi
 
Ni vigumu sana kujadili jambo bila kuwa na upande kwa sababu, lakini mchambuzi mahiri anajitahidi kuficha kabisa muegemeo wa emotions zake, a hata kama ikitokea zikajionyesha atakuwa na hoja zenye nguvu kulinda na kutetea jambo hilo.
Au njia nyingine badala ya kuficha hisia Ni Bora kuchambua kwa kusema ukweli mtupu huku roho ikiwa inamuuma.
 
Basi ukoloni bado upo kama nchi huru hairuhusiwi kujiamulia mambo.
Unajua Hadi leo Cuba imewekewa vikwazo na Marekani na washirika wake kwa sababu Cuba nchi huru kabisa iliamua tu kufuata Siasa za kikomunisti.

Marekani haijapenda .Ukomunist.imeiwekea Cuba vikwazo miaka zaidi ya 50.

Unasemaje kwa Hilo.
 
Basi ukoloni bado upo kama nchi huru hairuhusiwi kujiamulia mambo.
Naomaba nikukumhushe kitu unachokijua naona umesahau.

Marekani na Urusi Ni maadui wakubwa Sana hapa duniani.

Ikitokea nchi jirani mmoja wa Urusi akamkaribisha Marekani Ni janga kubwa Sana,Urusi itamuandama Sana huyo Jamaa.

Na jirani wa Marekani akamkaribisha Urusi,Marekani atamuandama Sana hiyo nchi.

Na kibaya zaidi maadui wote Hawa wawili wanatamani Sana kuwa na urafiki na majirani wa adui.hii iko hivyo miaka nenda miaka Rudi.
 
Kujihami gani kwa kuvamia Nchi huru?
Frank Wanjiru,najua kuwa unajua Nia na malengo ya Marekani katika ukanda wa Balkan na nchi zilizojitenga na Umoja wa Kisoviet.
Najua kuwa unajua Marekani na washirika wake wana Nia ovu juu ya Urusi.

Najua kuwa unajua makubaliano ya NATO na Urusi ya kutokuongeza wanachama wa NATO kuelekea Mpakani na Urusi.
Najua kuwa unajua kuwa Marekani na Urusi na maadui wakubwa.

Najua kuwa unajua Urusi hawawezi kuivamia nchi yoyote bila sababu za maingi na mahsusi.

Kusema ukweli kubali kataa Marekani Hana Nia nzuri katika uhusiano wake na Ukraine na Urusi analijua Hilo dunia inalijua hilo wewe unajua Hilo na Mimi najua Hilo.

Sasa Urusi anajua zaidi yetu sote.

Urusi hawezi kuivamia Ukraine bila sababu nasema.

Mkuu Frank Unaamini Irani Ni Taifa huru?

Unaamini Korea Kaskazini Ni Taifa huru?

Unaamini Cuba Ni Taifa huru?

Je kwa Nini Marekani haruhusu matifa haya yajimilikie silaha za nyukilia kwa ajili ya Ulinzi wao?

Kwa Nini Marekani haruhusu Korea Kaskazini hata kujaribu makombora yake ya masafa marefu au hata kufanya mazoezi ya kijeshi ndani ya ardhi yake kwa ajili ya Ulinzi wake?

Wakati Marekani anaweza kufanya mazoezi ya kivita na nchi yoyote?

Irani ni nchi huru kwa Nini Israel hawataki nchi huru ya Irani imiliki silaha ya nyukilia?.

Ikumbukwe nchi zenye nyukilia Ni India, Pakistan,China , France,Japan,UK,UsA,Russia na Israel.

Hizi zote Ni nchi huru Zina silaha za Nuke.lakini Nchi huru za Cuba,Iran na Korea ya Kaskazini Ni marufuku.

Sasa ukipata majibu ya hayo maswali (na ninajua kuwa majibu unayo),ndio utajua kwa Nini Urusi haitaki Ukraine na wenzake wajiunge na NATO
 
Anachofanya Urusi hata Hitler alianza hivyo hivyo,mwishoe akajitanua na kuota mapembe. Kama hujui kuwa Ulaya wanalichukulia hili jambo seriously subiri uone moto wake. Nchi kama Poland, Romania,Norway na Sweden wanalichukulia kwa uzito mkubwa sana.
Kwa hiyo wanachofanya Urusi ni vibaya..lkn wanachofanya NATO kumzunguka urusi na kutaka kuingia kabisa mlangoni kwake ni sawa sio??Mfano wewe ndo Rais wa Urusi ungefanyaje?
 
Nenda shule ukasome. Tanzania ina rasilimali nyingi sana lkn bado masikini. Sembuse atakuwa Urusi wako? Urusi anawekea vikwazo na Marekani na siyo UN. Kasome First world 1 & 2, Great depression, Neo colonialism kisha malizia na Capitalism & Socialism
Ndiyo ujue umuhimu wa kwenda shule.
Ivi we akili za kufananisha Tanzania na Urusi umezitoa wapi?..Urusi anatengeneza kila kitu kwenye nchi yake, mpaka ndege wanatumia za kwao...ndo maana wana uwezo wa kuvimbiana na Marekani kwa sababu wapo juu mpaka kwenye technology.

Kwa uelewa wako unajua Marekani anamuwekea Urusi vikwazo gani zaidi ya vikwazo vya wana diplomasia...maana kwenye uchumi sio watu wanaofanya biashara pamoja...kwenye sekta ya miundombinu napo sio marafiki.
 
Shule ni muhimu sana. Kuna mfano na mlinganisho. Nimetolea mfano na siyo mlinganisho.

Kwa akili yako ndogo, unaweza kuilinganisha Tanzania na Urusi?

Nikisema unafanana na Barack Oback kwa sura haimaniishi una kila kitu kama Obama. Sijui ulisoma shule ya wapi ww mwana Jf.

Urusi anatengeneza kila kitu, mbona hajamfikia Marekani kwa uchumi? Urusi ni silaha tu ila kwa suala la uchumi, Urusi atasubiri sana kwahiyo bado Marekani anamzidi Urusi ndiyo maana anawekewa vikwazo

Ivi we akili za kufananisha Tanzania na Urusi umezitoa wapi?..Urusi anatengeneza kila kitu kwenye nchi yake,,, mpaka ndege wanatumia za kwao...ndo maana wana uwezo wa kuvimbiana na Marekani kwa sababu wapo juu mpaka kwenye technology.
 
Shule ni muhimu sana. Kuna mfano na mlinganisho. Nimetolea mfano na siyo mlinganisho.

Kwa akili yako ndogo, unaweza kuilinganisha Tanzania na Urusi?

Nikisema unafanana na Barack Oback kwa sura haimaniishi una kila kitu kama Obama. Sijui ulisoma shule ya wapi ww mwana Jf.

Urusi anatengeneza kila kitu, mbona hajamfikia Marekani kwa uchumi? Urusi ni silaha tu ila kwa suala la uchumi, Urusi atasubiri sana kwahiyo bado Marekani anamzidi Urusi ndiyo maana anawekewa vikwazo
Kwa iyo we shida yako unataka uchumi wao uwe kama Marekani? Kuna kitu gani ambacho Marekani wana fanya alafu Urusi wakashindwa kufanya pamoja URUSI uchumi wake tofauti na Marekani.

Kuhusu vikwako anawekewa au wanawekeana?
 
Shule ni muhimu sana. Kuna mfano na mlinganisho. Nimetolea mfano na siyo mlinganisho.

Kwa akili yako ndogo, unaweza kuilinganisha Tanzania na Urusi?

Nikisema unafanana na Barack Oback kwa sura haimaniishi una kila kitu kama Obama. Sijui ulisoma shule ya wapi ww mwana Jf.

Urusi anatengeneza kila kitu, mbona hajamfikia Marekani kwa uchumi? Urusi ni silaha tu ila kwa suala la uchumi, Urusi atasubiri sana kwahiyo bado Marekani anamzidi Urusi ndiyo maana anawekewa vikwazo
Mzee kumbe bado hz nchi hujazijua vzr, pamoja na marekan kuwa na uchumi mkubwa ila anuogopa RUSSIA vibaya coz hawa jamaa wana teknology kubwa za silaha kuna zingne had USA haoni ndani. Kuprove hili that's y NASA inategemea vituo vya RUSSIA Kwenda anga la mbali fuatilia miji ya RUSSIA inaitwa STAR CITY & CARPUSTIN YARD

RUSSIA ni hatare sema tu WESTERN MEDIA ZINA I VICTIMIZE
 
Kwa iyo we shida yako unataka uchumi wao uwe kama Marekani? Kuna kitu gani ambacho Marekani wana fanya alafu Urusi wakashindwa kufanya pamoja URUSI uchumi wake tofauti na Marekani.

Kuhusu vikwako anawekewa au wanawekeana?
That's y Putin akiwekewa vikwazo uta sikia anasema "vikwazo unavoniwekea havitakuwa na impact kwangu tu Bali hata kwako" coz pamoja na USA kuwa na uchumi mkubwa but kiteknolojia anamtegemea RUSSIA especially teknolojia ya ANGA ZA MBALI.
 
Naijua vizuri sana. Russia yupo vizuri kwenye silaha na Marekani pia. Haitatokea Marekani kupigana vita na Russia japo Russia anatamani sana pamoja mshirika wake China.

Soma historia ya First world war 1 & 2 na Great depression. Ndiyo utajua USA kwanini alikuja kuwa superpower. Kabla ya Vita vya dunia Uingereza, German na France walikuwa superpower countries. Nini kilitokea? Hicho ndicho hataki USA akipitia kamwe
Mzee kumbe bado hz nchi hujazijua vzr .......pamoja na marekan kuwa na uchumi mkubwa ila anuogopa RUSSIA vibaya coz hawa jamaa wana teknology kubwa za silaha kuna zingne had USA haoni ndani .......kuprove hili that's y NASA inategemea vituo vya RUSSIA Kwenda anga la mbali fuatilia miji ya RUSSIA inaitwa STAR CITY & CARPUSTIN YARD

RUSSIA ni hatare sema tu WESTERN MEDIA ZINA I VICTIMIZE
 
Anachokifanya Putin kwa Rusia ni sawa na alichoanza kufanya Magufuli kwa Tanzania kua yeye ndo yeye na bila yeye nchi hakiwezi kufanya mazuri. Kwa vile yeye siyo mchanga akitoweka ataiacha Rusia kwenye shida tena.

Hajifunzi kwa mpinzani wake USA ambae mifumo ndo inazungumza siyo mtu.
 
Anachokifanya Putin kwa Rusia ni sawa na alichoanza kufanya Magufuli kwa Tanzania kua yeye ndo yeye na bila yeye nchi hakiwezi kufanya mazuri. Kwa vile yeye siyo mchanga akitoweka ataiacha Rusia kwenye shida tena.
Hajifunzi kwa mpinzani wake USA ambae mifumo ndo inazungumza siyo mtu.

Nakubaliana na wewe kwa point hii.
 
Anachokifanya Putin kwa Rusia ni sawa na alichoanza kufanya Magufuli kwa Tanzania kua yeye ndo yeye na bila yeye nchi hakiwezi kufanya mazuri. Kwa vile yeye siyo mchanga akitoweka ataiacha Rusia kwenye shida tena.
Hajifunzi kwa mpinzani wake USA ambae mifumo ndo inazungumza siyo mtu.
laiti ungejua kuwa Putin ndo aliyeirejesha RUSSIA kuwa powerful country, usingeongea hivo

USA alipandikiza marais mbalimbali walioivunja USSR na kuivuruga kabisa RUSSIA kwenye military powerful countries. Mfano GORBACHEV, BUT UJIO WA PUTIN NDIO UMEIJENGA TENA RUSSIA KAMA UNAVOISIKIA NOW
 
laiti ungejua kuwa Putin ndo aliyeirejesha RUSSIA kuwa powerful country ....usingeongea hivo

USA alipandikiza marais mbalimbali walioivunja USSR na kuivuruga kabisa RUSSIA kwenye military powerful countries ......mfano GORBACHEV, BUT UJIO WA PUTIN NDIO UMEIJENGA TENA RUSSIA KAMA UNAVOISIKIA NOW
Hoja yangu imejikita kwa Putin kutengeneza mifumo imara kama mpinzani USA na iwe na uwezo wa kupandikiza viongozi huko USA na kwingineko siyo yeye kua ndo kila kitu...ikitokea akifa leo ndo tena RUSIA irudi ilikotoka? nisome vizuri tena.
 
Hoja yangu imejikita kwa Putin kutengeneza mifumo imara kama mpinzani USA na iwe na uwezo wa kupandikiza viongozi huko USA na kwingineko siyo yeye kua ndo kila kitu...ikitokea akifa leo ndo tena RUSIA irudi ilikotoka? nisome vizuri tena.
Mkuu kwani hujawahi sikia tuhuma za Russia kuingilia uchaguzi wa USA kumsupport TRUMP .......na ukiconect dot ni kwamba trump alianza kuivuruga USA sema tu CIA waliona mbali wakampiga chin second term MAMBO YANAYOONESHA TRUMP KUWA KIVURUGE

1. Kijitoa kwny mikataba ya kibiashara na nchi za pacific and Latin america

2 Kipind cha TRUMP ndipo China ilikua zaid kiuchumi zaid ya marais wengne

2: alitishia kuivunja NATO kitu ambacho hakijawah hata kuwa ndoto ya rais hata mmoja wa USA.....Pia kumbuka NATO ndo adui mkubwa wa RUSSIA

3: Alijitoa kuwa sponsor wa WHO kitu ambacho USA hatak coz anataka dunia imtegemee yeye

4:alitaka kuleta vita na IRAN kitu ambacho ingekua hatar pale middle east baada ya kumuua kasim soleman PIA kwa Korea kaskazin

5:Kwenye reign yake hakukuwa na uhusiano MBOVU na RUSSIA kama ilivyosasa kwa BIDEN

That's y up to now CIA wanaamin TRUMP alikua ni mtu aliye supportiwa na Putin ........nadhan utakua umepata concept kidogo mkuu
 
Back
Top Bottom