Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Natoa huduma za kushughulikia masuala mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wafanyakazi hasahasa wa serikali pia na wa sekta binafsi kwa uchache, kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma).

Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.

Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama wizara ya mambo ya ndani,wizara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa,kupeleka barua za kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao(loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini,kufuatilia kwa wale waliostaafu mafao yao kwa kupeleka viambatanisho husika kwenye mifuko waliokua wanachangia, kufuatilia hati za viwanja n.k

Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.

Asanteni.
Mawasiliano:0765920855
Mimi na madai yangu ya nipo wizara ya maji nahitaji kumuona DG wa RUWASA
 
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wafanyakazi hasahasa wa serikali pia na wa sekta binafsi kwa uchache, kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma).

Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.

Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama wizara ya mambo ya ndani,wizara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa,kupeleka barua za kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao(loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini,kufuatilia kwa wale waliostaafu mafao yao kwa kupeleka viambatanisho husika kwenye mifuko waliokua wanachangia, kufuatilia hati za viwanja n.k

Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.

Asanteni.
Mawasiliano:0765920855
Mimi na madai yangu ya nipo wizara ya maji nahitaji kumuona DG wa RUWADA
 
Mimi na madai yangu ya nipo wizara ya maji nahitaji kumuona DG wa RUWASA
Mkuu,kama unataka kumuona,inamaana ni jambo linalokulazimu wewe mwenyewe kuwepo eneo husika,hivyo unashauriwa uwasiliane na wizara husika kwa namba zao,uombe appointment,bilashaka watakusaidia.
 
Unaweza kuepuka gharama mbalimbali kama za malazi,usafiri,muda n.k Kwa kufanya maamuzi sahihi ya kufanya mawasiliano na Dodoma messengers kwa 0765920855,endapo una jambo lisilokulazimu wewe kufika Dodoma na kulitatua tatizo husika.Utahudumiwa kwa gharama nafuu na kwa wakati.
 
Wikendi hii tujitahidi kufanya mawasiliano Ili ewe mhitaji wa huduma kama leseni za madaktari pale Baraza la Madaktari Tanganyika(Kambarage Tower),vyumba na nyumba za kuishi,wine n.k uwekwe kwenye orodha ya wateja watakaohudumiwa kuanzia jumatatu.Karibu uhudumiwe.
 
naomba ukanifanyie interview utumishi bei gani
Mkuu,tunachofanya ni kukusaidia Kwa kile ambacho hakikulazimu wewe kuwepo eneo la tukio,mfano;upo Dar au Zanzibar,unahamia Dodoma,ilikua unahitaji utafutiwe chumba au nyumba ya kuishi ukifika Dodoma,sisi tunakuuliza specifications za nyumba au chumba ukitakacho then unatafutiwa bila ya wewe kuwepo,mfano mwingine ni kama umenunua kitu Dodoma,huna mtu wa kwenda kuhakiki kitu husika,wewe unafanya mawasiliano unapewa taarifa sahihi ya hicho kitu,kinakaguliwa na wewe kupewa mrejesho,kuliko kuingia gharama za wewe kufika huko uliko na kufika sehemu kilipo hicho ukitakacho,mbali na mifano niliyokutolea kutokana na uzoefu uliopatikana katika utoaji wa huduma,pia kuna wale wanaohitaji zabibu hasa msimu wa zabibu,hivyo husafirishiwa,na kuipata ikiwa well packed,wanachofanya wao ni kulipa gharama za usafiri na huduma,badala ya wao kusafiri na kuifuata moja Kwa moja mashambani.Karibu uhudumiwe.Kwa suala la usahili,bilashaka unahitajika mwenyewe,sidhani kama unatakiwa umuagize mtu.
 
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku (Dodoma) au sehemu husika kama wapo hapahapa Dodoma.
Kwa kufanya hivyo, huwa wanaokoa gharama za usafiri na malazi na badala yake, huchangia kiasi cha fedha, nikishamaliza kuwashughulikia hayo matatizo na kuridhika na huduma niliyoombwa kuifanya.

Mfano wa huduma ambazo mara kadhaa huambiwa niwashughulikie ni kama kwenda kwenye Wizara mbalimbali kama wizara ya mambo ya ndani,wizara ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa,kupeleka barua za kuomba uanzishwaji wa viwanda vya vilipuzi, pia kwenda bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu kuomba statements za mikopo yao, kwa wale wanaokuwa na lengo la kumaliza madeni yao(loan liquidation), kufuatilia barua za wale walioachishwa kazi na wameomba kurudishwa kazini,kufuatilia kwa wale waliostaafu mafao yao kwa kupeleka viambatanisho husika kwenye mifuko waliokua wanachangia, kufuatilia hati za viwanja n.k

Endapo wewe ni mmoja wa wale wanaohitaji huduma zenye kushabihiana na nilizotolea mfano hapo juu na hata kuuliza tu, karibu PM au hapahapa, kama utakuwa na la kuuliza.

Asanteni.
Mawasiliano:0765920855
Brilliant idea. Kuwa muaminifu tu
 
Endelea kuwasiliana na Dodoma messengers,uwekwe kwenye orodha ya watakaohudumiwa kuanzia mwanzo wa wiki inayoanza kesho.
 
Tuwasiliane kwa wakati hasa Kwa wale wanaohitaji kuchukuliwa leseni pale MCT,kwani foleni Kwa leo jumatatu ilikua kubwa sana.Namba ni ileile ambayo ni +255765920855 kwa kupiga kawaida au Kwa whatsapp.Muhimu andaa barua yako na picha ya kitambulisho,leta kazi.
 
Huna haja ya kusafiri all the way kutoka Kigoma,Tabora,Mwanza na sehemu nyingine Tanzania,hasa kwa kazi isiyokulazimu wewe kuwepo Dodoma Ili kuikamilisha,unachotakiwa kukifanya,ni kuwasiliana na Dodoma messengers ili uhudumiwe kwa gharama nafuu.Kupitia Dodoma messengers,utaokoa gharama za malazi,chakula,usafiri n.k.
Namba ni zilezile,yaani +255765920855,ukitutuma,tunakukamilishia na tunakufikishia mrejesho.
 
Endelea kufanya mawasiliano,uwekwe kwenye orodha ya wale wanaoendelea kuhudumiwa huku wakiwa huko waliko.
 
Back
Top Bottom