Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Nenda kawaibie nyota zao mafala haoHabari za mda huu siku ya Leo nimetoa wa maulidi Kwa masikini yeyote nimechinja ng'ombe 25 Kwa ajili ya masikini hakikiesheni mnafika maana mnanjaa sana na Kwa wale wanawake ambao mnahitaji mitaji Leo mkifika nitawapa mitaji sababu hao wanaume zenu ni masikini wameshindwa kuwahudumia Mimi ndio nitakua mme wenu wa dharura jaribuni masikini Leo
Siibi nyota ya mtu nasiaidia masikiniNenda kawaibie nyota zao mafala hao
Wewe ni hohehahe mchawi, usiye na adabu wala nidhamu. Masikini wapo ili Mungu adhihirishe kuwa yeye ni Mungu wa wote, mpaji na mgawaji mkuu ni yeye.Siibi nyota ya mtu nasiaidia masikini
Tafuta hela masikini weweWewe ni hohehahe mchawi, usiye na adabu wala nidhamu.
Hana akili huyo njaa inamsumbuaHata kama unaiba nyota nadhani sina
Masikini ni wewe na ukoo wako. Zaidi ya bank za Tz ni nchi gani nje ya bara la Africa una hazina zako?Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweMasikini ni wewe na ukoo wako. Zaidi ya bank za Tz ni nchi gani nje ya bara la Africa una hazina zako?
Tafuta hela masikini weweUnateseka ukiwa wapi
Tafuta hela masikini weweHuyu jamaa mbona kaja kuichafua taswira ya JF
Masikini ni wewe ambaye boss wako anakuita pundaTafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweMasikini ni wewe ambaye boss wako anakuita punda
KabisaSasa na wewe unaonekaka
Kichaa kwa kubishana na kichaa! Stop this mnampa airtime
Tafuta hela masikini weweVile hujui ufanyalo,