Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Kosa siyo la Lissu; ni la CHADEMA. Tangu Slaa aoandoke wakasahau kujenga network ya mikoani wakabaki na kazi ya uanaharakati Dodom, Arusha na Dar es Salaam. Sasa Lisu kwa kupitia ripoti za uanaharaki za kwenye mtandao akaamini kuwa njia ni nyeupe kumbe imejaa matope tu. Hao akina Trippi na Amsterdam hawatamsaidia lolote; Tanzania siyo Zimbabwe.
 
CCM tangu enzi ya mwalimu nyerere lazima mnamsifu aliyeko madaraka,akitoka tu mnakimbilia kwa anaye kuja Tena ili kutafuta madaraka. Hamjali maisha ya watanzania na hamtaki mtawaliwe ili muda ndio huu
 
Kwa upande wangu umemkosoa Lissu kishabiki lkn ujumbe wako kwa mwenye kuelewa basi anatakiwa aelewe,Lissu anatakiwa awasemee wafanyakazi hali wanayopitia kwa ss,wanafunzi waliomaliza vyuo,wastaafu naamini kwenye sera zake asipoonyesha uadui kwa watesi wake basi hata ndani ya ccm atavuna kura nyingi
 
CCM tangu enzi ya mwalimu nyerere lazima mnamsifu aliyeko madaraka,akitoka tu mnakimbilia kwa anaye kuja Tena ili kutafuta madaraka. Hamjali maisha ya watanzania na hamtaki mtawaliwe ili muda ndio huu
Kwa bahati mbaya nimejikuta naangalia ufunguzi wa kampeni yao, ninaona aibu, nyuso zao zimekaa simanzi japo wanamsifu na kuabudu yule jamaa
 
Niko bush sehemu yenye tatizo la network, sipati habari kwa mtiririko mzuri. Ila nashauri sana kwa sasa tuko kwenye kampeni, Lisu anapaswa kufanya siasa za kupata uungwaji mkono wa umma zaidi kuliko siasa za madhila aliyopitia. Nashauri sana Lisu azungumzie mahitaji ya wananchi kwa 80%, kisha madhila yake na ya upinzani ayaongelee kwa 20% tu.

Kushinda pambano la ngumi sio uwezo wa kurusha ngumi nzito pekee, bali ni kurusha ngumi nzito zenye pointi. Ni vyema Lisu asitumie approach aliyoitumia wakati anasaka wadhamini, bali atumie approach ya kuweka mahitaji na shida za wananchi kwanza. Inatakiwa hata akishindwa awe ameacha ahadi za uchonganishi, ambazo zitawafanya kutekeleza hata kama hawapendi.
 
Mpe Onyk JPM,huu sio uchaguzi wa kutafuta bingwa wa kujaza fomu bali mwakilishi wa wananchi!Huu upumbav wanaofanya wa kuengua wapinzani haukubaliki!
 
Kampeni za ndugu lisu kama za ugomvi na vinyongo hivi.

Alitakjea kuonesha kuwa yeye ni mtu asiye na vinyongo,yeye ni mtu poa.

Angefanya kampeni za kirooho safi kabisa.

Tunachohitaji kusikia ni wewe unafaaje kuwa raisi ?

Na sio kwamba wewe kunyanyaswa kwako basi unastahiki kuwa raisi.

Unaweza kunyanyaswa na bado ukawa hustahiki kuwa raisi hata chembe.

Unachotakiwa kutuonesha ni kuwa wewe utafanya nini kwa wengine ili uraisi ukustahiki na sio wengine wanafanya nini kwakonwewe.
 
Well Said. Tukio la risasi alichukua almost robo tatu ya muda. Tunataka atuambie kwa nini tumpe kura. Binafsi nilisema nampa kura yangu ila jana kaniangusha kabisa. Kura yangu bora nimpe Babu Rungwe.
Mpe Magufuli bana, kwann uipoteze kura yako
 
Et unatoa onyo [emoji3][emoji3][emoji3]

Nchi ina vichaa wengi sana..
 
Back
Top Bottom