Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Magufuli hana lolote sitaki kujutia baadae akifanya ujinga wake. Hapa anasema akishinda kazi yake ya kwanza itakuwa kujenga uwanja mkubwa Dodoma. Wanadodoma wanahitaji Uwanja mkubwa au maji kila kaya ?
Utakuwa hujaitendea haki nchi yako, kama unataka tufike mbali, basi Magufuli anatufaa sana mkuu.
 
Siku upinzani ukiacha kujikite kwenye malalamiko na kujiegemeza katika sera watakua tayari kuingia Ikulu.

Siku wakigundua kwamba UNAPOKUA NA HASIRA HUTAKIWI KUTOA MAAMUZI watakua wamepevuka kujua si kila kitu unachokijua lazima umsimulie mwenzio.

NIONAVYO MIMI
Kuna uwezekano mkubwa hawa Jamaa wakaona aibu itakayowakumba 28102020 ni kubwa hivyo wakaamua kutafuta sababu za kususia Uchaguzi.

Zitto Kabwe
Alijitahidi kujenga mfumo imara wa kupata kura nyingi Ila naona ameanza kuyumbishwa na hawa wavaa magwanda ya kaki
 
KOSA KUBWA ILIKUWA KUTEUA MAJERUHI AU MANUSURA WA KIFO,KUTOKA HOSPITALI HADI JUKWAANI KUTAKA URAISI NA SIO KUUOMBA URAIS.

YEYE ANAHISI KILA MTU NCHI HII NI DADA AU KAKA YAKE WA DAMU HIVYO ANASIKITIKA SANA NDUGU YAKE KUUMIZWA.HIVYO ATAPIGIWA KURA KWA HURUMA BILA SERA.
 
Niko bush sehemu yenye tatizo la network, sipati habari kwa mtiririko mzuri. Ila nashauri sana kwa sasa tuko kwenye kampeni, Lisu anapaswa kufanya siasa za kupata uungwaji mkono wa umma zaidi kuliko siasa za madhila aliyopitia. Nashauri sana Lisu azungumzie mahitaji ya wananchi kwa 80%, kisha madhila yake na ya upinzani ayaongelee kwa 20% tu.

Kushinda pambano la ngumi sio uwezo wa kurusha ngumi nzito pekee, bali ni kurusha ngumi nzito zenye pointi. Ni vyema Lisu asitumie approach aliyoitumia wakati anasaka wadhamini, bali atumie approach ya kuweka mahitaji na shida za wananchi kwanza. Inatakiwa hata akishindwa awe ameacha ahadi za uchonganishi, ambazo zitawafanya kutekeleza hata kama hawapendi.
Swadaktaa
 
Well Said. Tukio la risasi alichukua almost robo tatu ya muda. Tunataka atuambie kwa nini tumpe kura. Binafsi nilisema nampa kura yangu ila jana kaniangusha kabisa. Kura yangu bora nimpe Babu Rungwe.
Mnaumia sana akizungumzia madhira yaliyomsibu eh? Uzinduzi wa ilani ya CDM bado.
 
Unatoa onyo kama nani? Yaani wewe mtu wa mitandaoni ni wa kumpa onyo Lissu? Unajitambua Kweli? Lissu si saizi yako wala hawezi kujua kama kuna mtu kama wewe duniani. cha msingi kaa kwako kula ugali wa sukuma wiki ulale.Acha mboyoyo zisizo na msingi kwa Taifa.
 
Niko bush sehemu yenye tatizo la network, sipati habari kwa mtiririko mzuri. Ila nashauri sana kwa sasa tuko kwenye kampeni, Lisu anapaswa kufanya siasa za kupata uungwaji mkono wa umma zaidi kuliko siasa za madhila aliyopitia. Nashauri sana Lisu azungumzie mahitaji ya wananchi kwa 80%, kisha madhila yake na ya upinzani ayaongelee kwa 20% tu.

Kushinda pambano la ngumi sio uwezo wa kurusha ngumi nzito pekee, bali ni kurusha ngumi nzito zenye pointi. Ni vyema Lisu asitumie approach aliyoitumia wakati anasaka wadhamini, bali atumie approach ya kuweka mahitaji na shida za wananchi kwanza. Inatakiwa hata akishindwa awe ameacha ahadi za uchonganishi, ambazo zitawafanya kutekeleza hata kama hawapendi.
Mkuu uneongea kiutu uzima.
Shida ninayoiona mimi kwa Chadema...ni kama chama hakiko pamoja kwenye hizi harakati.
Ukiangalia kwa umakini utaona uongozi kama vile umemwacha mgombea aamue mwenyewe atazungumza nini.

Upande wa mgombea(Lissu) anaonekana kama vita ya mtu mmoja, ..asiyeambilika/kushaurika.
Anayeamini katika yeye mwenyewe tu..hili ni tatizo kubwa sana.
 
Back
Top Bottom