Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ww jamaa unaongea upumbavu mpaka nataman Ungekuwa karibu yangu nikupe kelebu moja matataHuyo hana imani, ila kwa uwezo wa mungu kupitia mwamposa bas atapona
Okoka, Yesu anakupenda.Ila siyo kupitia hayo maigizo ya Mwamposa.
Mwambie mama mkwe atumie juisi ya karoti na mbegu za maboga kwa wiki tatu halafu leta mrejesho hapaMama mkwe anaugua kansa,anamwezi tangu aje hapa kaenda kwa mwamposa na kakutana nae kushikwa kichwa zaidi ya mara tatu ila mambo ni zero, juzi kaambiwa kina kongamano komboa familia kaja na gia akauze kiwanja apate pesa ya huko, nawangalia na wife alafu na baki hiiiiiii
Kauliza kama kuna ndugu, rafiki au jirani yako kilema aliyepona?Basi kumbe mwamposa ni mtu sahihi
Swali zuri mnooooWewe ulikuwa kilema umepona?
Swali kuna unayemjua kapona?Wengine wanabisha kwakuwa Ni wachawi au washirikina au hajawai kufuatilia miujiza inavyofanyika
Mwamposa hawezi kuwalipa wote wanao toa ushuhuda na ingekuwa ivyo wanaonunuliwa wangeshasema ukweli kwamba wamenunuliwa ili watoe ushuhuda
Eti wote wana magogo mapyaKwenda kupata uponyaji Ni hiari na Imani ya mtu sio Jambo la lazima wote wawe na Imani...
Ukiwaambia wakupe picha ya kiwete mmoja ili watu wafatilie wajue kama kweli alikuwa kiwete then akapona wanaanza kuleta danadanaUkichunguza kwa umakini, utagundua hayo magongo yote ni mapya, na yanafanaa! Kwa muktadha huo, unapata majibu sahihi Mwamposa ni tapeli tu kama walivyo akina Masanja Mkandamizaji.
Ok, leta jina na picha ya mlemavu mmoja tu tufatilie kama ni kweliKila mtu anasema utapeli ila ukimuulza utapeli kivipi anakuwa hana fact,
Siku wa Afrika tutakapoelimika, let me waitKama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Mkuu naikumbuka sana hiiHao waliojifanya vilema bomb lingetupwa hapo wangekimbia kabla ya kutibiwa kiujanja ujanja na mpigaji
Nakumbuka kuna jamaa hivi hivi alikuwa anawapanga watu waje kama vilema huko Kenya
Mwisho alipotapeli wengi akahama kwa Malaya wa Bar ila nao alipowatapeli waliita waandishi wa Habari
Jamaa waliingia kwenye show na baadae kina Dada wale walipoanza kuigiza wakabadili Gia na kumkashifu mchungaji
Endeleeni kuburuzwa na matapeli
Hayo huwa hawayachongi, yaani yako store kama vile alivyo na vit vya kukalia.Magongo yote yanaaonekana kuchongwa muda mfupi kabla ya kutano.
Alete picha ya mtu mmoja tu hata kama yeye hamjui sisi tutamtafuta.Lete ndugu Yako au mtu unaemjua ambae alkuwa kilema na amepona
Ndiyo maana mimi naomba picha ya mmoja tu aliyeponaUnadhani hata ukienda Songea utawaona hao walioponywa? Huwa nashangaa watu kwa nini wanapigwa kirahisi namna hii.
Umetumwa siyo siri. Ila wajinga ndio waliwao nendeni mkaliwe mpaka mbakiwe na mifupa.Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081