Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Iviii wewe mtoa mada akili yako fyatuuuu,,,,

Kusoma hujui hata picha uoni.... Inamaana uko uliko uko hao walemavu wako wa aina moja tu.... kwa nilivyo kategemea nilitegemea kuwaona walemavu wa aina tofauti tofauti mfano mlemavu wa akili,Macho,mikoni,miguu nk.....

Sasa hapo wewe ukiangalia kwa haraka-haraka ujiulizi k2....

Walemavu wote wa aina moja...


wewa si-bure kichwani hazimo na tena ninawasiwasi na wewe naisi UNATUMIA KICHWA CHA CHINI KUFIKIRIA BADALA YA_______________.....!!!!
 

Attachments

  • 20221014_175243.jpg
    20221014_175243.jpg
    545.8 KB · Views: 12
Mungu akubariki! Endelea kuamini..tunae Mungu mwenye Enzi yote nguvu na uweza wake ni hakika kabisa.

[emoji1479].
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Ha ha haaa, mburura hawatakuja kuisha. Mtaji wa fake pastors ni mburura kama hizi
Hizi mimi naita mbuzi!

Dhumuni la Mungu kuweka viongozi wa kiroho katikati ya watu wake toka mwanzo lilikuwa ni ili wawakumbushe watu namna nzuri ya kujiandaa na maisha baada ya kifo ila hawa fake pastors wanachokazana siyo kuwaambia watu wasizini,wasiibe wasioneane kijicho au kusemana vibaya wao wanawaambia wajiandae kupokea magari huku kazi hawana,wanawaambia wapokee nyumba hata bei ya misumari hawaijui wengine wanaambiwa pokea mtoto huku vizazi walishavitoa kwenye matukio ya utoaji mimba.

Mtu anajiita mtumishi wa Mungu lakini anakuhubiria mafanikio ya kidunia toka mwanzo wa ibada mpaka mwisho wa ibada mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka hakuna alipokukumbusha usitende dhambi yeye ni utapandishwa cheo,kazi uliyoomba utapata hakwambii kasaidie watoto yatima na wasiojiweza huko mitaani yeye ni "toa sadaka injili isonge mbele,toa sadaka kwenye madhabahu ya bwana ndo utabarikiwa” anafunga hesabu anaondoka kesho tena hivyo hivyo hakwambii ni kwa namna gani hayo yatakufaa baada ya maisha ya duniani?

Na ni wajanja,huwakuti kujenga sehemu kwamba hapa ndo pakuabudia maana wanajua siku ”wapigwaji” wakiamka hakuna wa kuingia humo wao wanafanya kwenye viwanja vya serikali wakifunga hesabu yao ya siku kesho tena hivyo hivyo wakichuja wanaenda kwenye fursa nyengine huku ”wapigwaji" wakihamia kwengine kupigwa.
 
Back
Top Bottom