Kwa hao wote kuna unayemfaham in person alikuwa kilema na kapona??Kama kichwa cha habar hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Maamposa ndiye mtumishi anayetumika na mungu kuponya watu.
Uliposema wachawi nikaelewa. Mbona waganga wapo na wanashughulika na uchawi.Kuhusu vilema kutembea sina ushahd ila mambo ya ardhi nina ushahidi kbs na wale waliofungwa kichawi kufunguliwa ushahid mi ninao...
Mkuu amini unachoamini, ila mwamposa ametumwa na mungu
Magongo umeyaona?Kilema gani na kipofu unayemjua hapo Songea unayejua kwamba ametembea au kuona? Tutajie jina tu,sisi wengine wa hapahapa Songea
Yesu alikwenda hospitali?Kwanini hawa manabii wasifanye miujiza muhimbili kitengo.cha mifupa au milembe pale watu waokoe gharama. Hilo tu liwe live tv na radio zote+social media. Nami nitajiunga bila kupinga.
Hayo yalikusanywa toka kwa vilema ndio mana wameshika wahudumu mkuu,huna factFact ya kwanza, Magongo yote yanafanana na ni mapya.
Fact ya pili, waliobeba Magongo sio wahusika ni wahudumu. Ndio maana mtu mmoja amebeba Magongo mawili au matati.
Mkuu twende kwa fact, kama huna fact basi muamini mwamposa.Wewe Ni muongo. Mara ya kwanza ulisema ulikuwa humuamini ila jinsi unavyomtetea ni Kama ni shemasi wake tokea zamani.
mbona ni magongo tu wale wa viti hawajajaWote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
View attachment 2387086
.Mimi nilikua simwamini ila sku moja kwa macho yangu nimeona jogoo anapupa na kufa baada ya kumwagiiwa maji ya bombani ambayo aliombea usiku. Alafu haijapita siku mbili nikaona tena kwa jirani kunguru alitua dukani kamwagiwa kafa na nilimtoa mwenyewe. Haya mambo bora tukae kimya tuu.
Watasema umetumwaMimi nilikua simwamini ila sku moja kwa macho yangu nimeona jogoo anapupa na kufa baada ya kumwagiiwa maji ya bombani ambayo aliombea usiku. Alafu haijapita siku mbili nikaona tena kwa jirani kunguru alitua dukani kamwagiwa kafa na nilimtoa mwenyewe. Haya mambo bora tukae kimya tuu.
Mkuu twende kwa fact, kama huna fact basi muamini mwamposa.
MAFARISAYO na MIDEVU YAO hapa hayataamini
Fatilia chanel ya rise and shine utajuaNamuamini Mungu siwezi kumuamini binadamu mwenzangu.
Utabakia kusema hivyo hivyo..injili inasonga mbele..na wengi wanafunguliwa na kuponywa.
#MaendeleoHayanaChama
Fatilia chanel ya rise and shine utajua
Acha ujinga inamaana hujui hata Kristo alisema mkiamini mnaweza tenda matendo makubwa zaidi..au unawekea mipaka miujiza..chochote kinaweza kutumia kupitishia mujiza..mafuta yalitumika kama upako..pia kirsto alisha mponya kipofu kwa kumpaka tope machoni pake na kumwambia akanawe kisha akaona.
Acheni uhafidhina.
#MaendeleoHayanaChama