Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Unataka facts...Huyo Mwamposa kama anafanya uponyaji kama ule wa Yesu kwa nini asipite katika Ma hospitali, wodini na kwenye vyumba vya wagonjwa mahututi ICU aponye hao vilema unaowasema? Kwa nini anataka sifa kwamba yeye ni mponyaji wakati hawezi kuponya wagonjwa waliovunjika miguu kwa Ajali mifupa iungane na watembee?? Huyo Mwamposa ni tapeli na mfanya biashara wa dini? Narudia tena Mwamposa ni Tapeli kama matapeli wengine tu na wajinga ndio waliwaoYani utapeli kivipi? Taja fact
Yesu ni nani? Siku ya mwisho ipi? Unataka useme watu wa mwamini Mwamposa kama Yesu? Who is Mwamposa? Yeye kama nani? Kwa mamlaka gani aliyonayo ya kuponya watu?... Toa utapeli wako hapa kwendaaaaa...Siwashangai,hata yesu kuna watu hawakumuamini mbaka siku ya mwisho .
Sina ndugu wakaribu wala jamaa ambao ni viwete...so sina huo ushahidi.
Wewe kama unao leta hujauziwa.
#MaendeleoHayanaChama
Ndiyo maana nasema hao ni matapeli kwani hakuna ushahidi hata wa mtu mmoja aliyekuwa kiwete then akatembea. Nimeomba hata picha tu ya mmojawapo then mimi nitafute details zake lakini weshindwa kuweka, watu wanapigwa pesa kijinga sanaSina ndugu wakaribu wala jamaa ambao ni viwete...so sina huo ushahidi.
Wewe kama unao leta hujauziwa.
#MaendeleoHayanaChama
Hapa nakuunga mkono hata kwnye biblia Yesu bada ya kufufuka aliwatokea watumishi wake lakini Tomaso hakuwepo..Ndiyo maana nasema hao ni matapeli kwani hakuna ushahidi hata wa mtu mmoja aliyekuwa kiwete then akatembea. Nimeomba hata picha tu ya mmojawapo then mimi nitafute details zake lakini weshindwa kuweka, watu wanapigwa pesa kijinga sana
Utasikia ''amefufuliwa'' , utaona magongo ya walemavu kama hayo, lakini katu hutaona mtu unayemfahamu ambaye alikuwa mlemavu halafu anatembea au mtu aliyefariki halafu akafufuka. Huwa nasema hawa watu ndiyo wanafanya watu wazidi kukata tamaa na imani za dini kwa sababu hii hali ya kudanganya haiwezi kuendelea hivi muda wote. Kuna kipindi watu wengi watakuja kushitukia.
Mimi nimewarahisishia kuwa wanipe picha ya huyo aliyepona hata kama hawana ya befofe then mimi nifanye uchunguzi wangu na kuja na details za huyo jamaa kama kweli alikuwa kiwete lakini bado wameshindwa hata hilo tuHapa nakuunga mkono hata kwnye biblia Yesu bada ya kufufuka aliwatokea watumishi wake lakini Tomaso hakuwepo..
Alipokuja kuambiwa akabisha hadi aone na kweli Yesu akaja akamwambia Tomaso alete vidole vyake aweke sehemu za misumari na mkono wake atie ubavuni alipochomwa mkuki..
Hapo ndipo Tomaso akaamini Yesu kafufuka....
Sasa sie wana jamvi tusioamini tunaomba picha ya kiwete mmoja aliyepona ya before and after afu tufatilie background ili tuamini kama Tomaso kwny biblia.
Kama Yesu ali mprove wrong Tomaso nawewe tu prove wrong hapa ndugu mtumishi
Wagonjwa ndio wanahitaji daktari na wala hakuna daktari anayehitaji wagonjwa..kumbuka uponyaji ni imani kwanza ya yele anayetaka uponyaji..hilo liweke akilini.Unataka facts...Huyo Mwamposa kama anafanya uponyaji kama ule wa Yesu kwa nini asipite katika Ma hospitali, wodini na kwenye vyumba vya wagonjwa mahututi ICU aponye hao vilema unaowasema? Kwa nini anataka sifa kwamba yeye ni mponyaji wakati hawezi kuponya wagonjwa waliovunjika miguu kwa Ajali mifupa iungane na watembee?? Huyo Mwamposa ni tapeli na mfanya biashara wa dini? Narudia tena Mwamposa ni Tapeli kama matapeli wengine tu na wajinga ndio waliwao
Weee hizo bangi zako zimewasaidia nini hata kuwatia moyo hao wahitaji na wenye matatizo ambao wanakimbilia kwa mtume na nabii mwamposa.Biashara zenu za mafuta zimebuma mnaanza kuleta huku jamvini? wajinga wakubwa nyie kiwete gani OG aliwahi kutembea acheni ujuha , kwani kuchongesha magongo na kufanya usanii shing ngapi? kama yeye mwamba ande mochuari akafufue mtu , hizi sanaaa zinawapoteza wengi sana. STUPID fellows
Wewe ambaye sio tapeli ulishawahi kumnunulia mlemavu hata gongo la kutembelea au ndio unafiki na wivu wa kike umekujaa.Ndiyo maana nasema hao ni matapeli kwani hakuna ushahidi hata wa mtu mmoja aliyekuwa kiwete then akatembea. Nimeomba hata picha tu ya mmojawapo then mimi nitafute details zake lakini weshindwa kuweka, watu wanapigwa pesa kijinga sana
Nakushauri fika kwenye hayo makongamano na mikutano ushuhudie live acha kujiongelesha nyuma ya keyboard.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yamekuwa hayo tena, kumbe huna picha hata ya mtoa ushuhuda hata mmoja!!!!
Achen utapeli fanyeni yaliyo ndani ya uwezo wenu na siyo haya ya kuhadaa umma eti viwete wamepona wakati picha ya kiwete hata mmoja huna
Never ever, bora nije kwa ishu zingine, ila siyo mambo ya miujiza fake eti kiwete katembea, ndiyo hapo mnapoanza kuonekana matapeli.Nakushauri fika kwenye hayo makongamano na mikutano ushuhudie live acha kujiongelesha nyuma ya keyboard.
Wivu wa kike utawaua ninyi wahafidhina.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna unayemfahamu hapo?Wote hawa wamelipwa?
View attachment 2387085