Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

GIBBETHON BIBLE CODE
Sina jengo linaloitwa kanisa hii ni ibada ya online tunafanya ushirika kupitia kutamka hizi code lengo ni kufikia watu zaidi ya billion 1. Kuna code za kila aina chaguo ni lako na zina lengo la kukupa mbinu za kifikra na miujiza za kukabiliana na changamoto unazokutana nazo.

BIBLE CODE
Ni code ambazo zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.

IBADA YAKO YA KILA SIKU ITAKUGHARIMU DAKIKA 2 TU SEHEMU YOTE ULIPO WE TAMKA FOUNDATION BIBLE CODE
  1. Sehemu yeyote ulipo we tamka foundation bible code kila siku kwa mda wa dakika 2 tu na utakua umeshafanya ibada yako ya siku
KUOMBEA MAHITAJI YAKO
  1. Unatamka code unayotaka kimoyo moyo kwa mda wa dakika 15 kila siku unakua tayari umeshafanya ibada yako na ukitaka kuzidisha mda wa kuomba uamuzi ni wako
  2. Kama jambo ni la dharura hakikiaha unatamka code mda wote mpaka mzigo utakapoondoka
  3. Swala la kufunga uamuzi ni wako

JINSI BIBLE CODE INAVYOFANYA KAZI
  • Unazijataja kimoyo moyo kwa siri kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata hitaji lako
  • Kwa wale wagonjwa msiache kutumia dawa za hospitalini na matibabu tumieni vyote kwa pamoja
  • Bible code hazitumiki kulipiza kisasi au kumfanyia mtu ubaya, kutapeli au kuvunja sheria za nchi
  • Bible code sio tiketi ya wewe kutokufanya kazi hakikisha unazitumia na unafanya kazi
  • 0713520180 bali kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
  • Utaendelea kubakia kwenye kanisa lako unalosali sababu sina kanisa au mpango wa kufungua kanisa au hata-kama ni muislamu, mhindu utaendelea kubakia kwenye dini yako
  • Watu wa dini nyingine ambayo sio wakristo mnarusiwa kutumia hizi bible code
MUNGU KUJIBU MAOMBI BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE
  • Mungu hajibu maombi kama unavyotaka bali anajibu anavyoona ni sahii kwako. Kuna watu baada ya kutamka hizi code Mungu ameshajibu maombi yao ila hawajajua kwa sababu wanataka Mungu awajibu kama wanavyotaka wao., jambo la kukumbuka ifanyie kazi fikra iliyokuja baada ya kutamka hizi code usiipuuzie hilo ndo jibu lako
  • Mungu anajibu maombi in an ugly way, awkward way na kwa namna usiyotarajia na usiyoipenda ila in long run utaona ile picha uliokua unaitaka kuiona kwenye hitaji lako
  • Mungu ni mara chache sana anatumia miujiza na ishara kujibu maombi yako., Ni mara nyingi sana na kawaida kutumia fikra zetu kujibu maombi yetu.
"Don’t stop praying because you don’t see results immediately"
Pole ila nafikiri utakuwa na matatizo ya kiakili kuamini Biblia au Qur'an
 
Kichwa unatumia kama kifuniko cha shingo madhara utaonea wapi
We ni mshamba tu wanaume wenzako wanatafuta fulsa we baki hapo na majungu yako kumbuka majungu sio mtaji

Kama umeshindwa prove baya alilofanya mleta uzi we ni mshamba na limbukeni-We endelea kuumia huku wenzako wakitafuta fulsa

Unatamchukia mtu kwa sababu ya hisia zako tu
 
We ni mshamba tu wanaume wenzako wanatafuta fulsa we baki hapo na majungu yako kumbuka majungu sio mtaji

Kama umeshindwa prove baya alilofanya mleta uzi we ni mshamba na limbukeni-We endelea kuumia huku wenzako wakitafuta fulsa

Unatamchukia mtu kwa sababu ya hisia zako tu
Punguza kujieleza andika comment fupi. sijasoma upuuzi wako
 
Punguza kujieleza andika comment fupi. sijasoma upuuzi wako
Usikasirike wenzako wakitafuta fulsa ukiendelea hivyo utakua mchawi alafu bado ni kijana mdogo

Kuna sehemu yeyote amekuambia umtumie ela hapana huo utapeli unatoka wapi
 
BIBLE CODE NI BURE HAZIUZWI
Bible code nazoshare huku zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.
 
Hata Yesu walimwambia ana mapepo
Ila wewe u dhahiri kabisa. Nahisi hii ID ya Mfalme Zumarid au utakuwa mmoja wa zile zombie zake. Kwa miaka dahari ya kusoma Biblia na ktumika mbele za Mungu. Sijawahi kukutana na hiki kitu. Hiki ni cha mapepo, acha kupotosha. Hatudanganyiki ng'ooooooo huku JF.
 
Ila wewe u dhahiri kabisa. Nahisi hii ID ya Mfalme Zumarid au utakuwa mmoja wa zile zombie zake. Kwa miaka dahari ya kusoma Biblia na ktumika mbele za Mungu. Sijawahi kukutana na hiki kitu. Hiki ni cha mapepo, acha kupotosha. Hatudanganyiki ng'ooooooo huku JF.
Kwani kuna sehemu nimekulazimisha uamini nachoamini
 
Pepo tu wewe tena ndio Jini Maimuna na unatusumbua humu. Hakuna Ukristo wa namna hiyo. Pepo hilooooooooooooooooooooooo🗑 🚮 🗑 🚮 🗑 🚮 🗑 toa uchawi wako hapa. Hutuwezi ng'ooooooo
Hiyo umesema wewe wivu unakusumbua
Mda utaongea
 
Hiyo umesema wewe wivu unakusumbua
Mda utaongea
Hahaaaaaa kwa muda wote niliokaa humu duniani na.kutumika ndani ya Kanisa toka Lutheran miaka ya 1980 to 1990's chini ya Hubert Hafferman na toka 1998 TAG chini ya watumishi Mbalimbali tangu akina Kulola hadi sasa Mzee..... sijawahi ina kitu kama hiki ndani ya Ukristo. Tuondolee uchawi wako lwa Gia ya Ukristo. We ungesema unatumia Uganga kutatua matatizo na sio Biblia. Hapo ndio kwenye tatizo na wana JF.
 
Hahaaaaaa kwa muda wote niliokaa humu duniani na.kutumika ndani ya Kanisa toka Lutheran miaka ya 1980 to 1990's chini ya Hubert Hafferman na toka 1998 TAG chini ya watumishi Mbalimbali tangu akina Kulola hadi sasa Mzee..... sijawahi ina kitu kama hiki ndani ya Ukristo. Tuondolee uchawi wako lwa Gia ya Ukristo. We ungesema unatumia Uganga kutatua matatizo na sio Biblia. Hapo ndio kwenye tatizo na wana JF.

Marko 3:22-30

22 Walimu wa sheria waliotoka Yerusalemu walikuwa wakisema, “Amepagawa na Beelzebuli, mkuu wa mashetani; na ni kwa uwezo wa Beelzebuli anawafukuza mashetani.”

 
Songa mbele ndugu, kazi yako ni njema, haya mambo kwa wengine ni msaada kwa wengine ni upuuzi.
Ukifuatilia hakuna sehemu yeyote pale kuna masharti ya ajabu moja ya jambo ambalo si la K-Mungu angalia masharti yake mara nyingi huwa ni ya ajabu ajabu

Kitendo cha kutamka code kimoyo moyo kwa siri kwa dakika 15 nalo linaonekana sharti la ajabu
 
Back
Top Bottom