Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Sipokei sadaka au zawadi yeyote ile kama unataka kutoa sadaka baada ya kutumia bible code na Mungu kukupa suluhisho la changamoto yako katoe kanisa unalosali,
0713520180 sio kwa ajili ya kupokea sadaka au zawadi yeyote bali kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
Naona uzalendo umekushinda.... 🤣 🤣 🤣
Haya bana tutatuma sadaka...
 
Bible code number 162:- REPE REPE LESE MENE
Kazi yake:- kuomba kibali kwa Mungu kurudisha wafu walioenda kuzimu badala ya mbinguni
(Mathayo 27:52)​
  • Waliochukuliwa misukule
  • Ambao ni mateka kuzimu
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa kibali
(Majina matatu ya marehemu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Wakikuchelewesha ukakutana na jalala hutapona tena
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimisha
Mbona wengi wetu tunafanya kazi tunalipwa mishahara
Tanzania ni nchi ngumu sana mtu akiona una-namna utatengeneza hela basi ni kosa ndo maana ni ngumu sana kupata wabunifu jamii yetu ni ya hovyo sana

Usikarikie watu ambao wanatafuta fulsa na wewe tafuta
 
Naona uzalendo umekushinda.... 🤣 🤣 🤣
Haya bana tutatuma sadaka...
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimisha
Mbona wengi wetu tunafanya kazi tunalipwa mishahara
Tanzania ni nchi ngumu sana mtu akiona una-namna utatengeneza hela basi ni kosa ndo maana ni ngumu sana kupata wabunifu jamii yetu ni ya hovyo sana

Usikarikie watu ambao wanatafuta fulsa na wewe tafuta
 
Nilipoona una whatsapp group nikajua tayari njaa imekuuma.
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimisha
Mbona wengi wetu tunafanya kazi tunalipwa mishahara
Tanzania ni nchi ngumu sana mtu akiona una-namna utatengeneza hela basi ni kosa ndo maana ni ngumu sana kupata wabunifu jamii yetu ni ya hovyo sana

Usikarikie watu ambao wanatafuta fulsa na wewe tafuta
 
What wrong kwa yeye kuwa na reward na kile anachofanya kwani amekulazimisha
Mbona wengi wetu tunafanya kazi tunalipwa mishahara
Tanzania ni nchi ngumu sana mtu akiona una-namna utatengeneza hela basi ni kosa ndo maana ni ngumu sana kupata wabunifu jamii yetu ni ya hovyo sana

Usikarikie watu ambao wanatafuta fulsa na wewe tafuta
Ubunifu au upuuzi?
 
Back
Top Bottom