Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 110:- MEPE MEPE MEPE TEKELI
kazi yake;- kufanya sayari izunguke ambayo haizunguki
(Mwanzo 1:4)​
  • Neptune
  • Uranus
  • Pluto
  • Others
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatu na sayari uliyoichagua-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na sayari aliyoichagua-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 111:- MEPE MEPE MEPE PERESI
Kazi yake;- kutengeneza ozone layer kwenye sayari ambazo hazina na itakua na kazi ya ku-tengeneza oxygen na kufanya gravitational force kutumika na binadamu
(Mwanzo 1:6-8)​
Mungu atakupa theoretical na methods za kutengeneza ozone layer kwenye sayari unayotaka na itakua inafanya kazi zifuatazo​
  • Mercury ozone layer
  • Venus ozone layer
  • Mars ozone layer
  • Neptune ozone layer
  • Uranus ozone layer
  • Pluto ozone layer
  • Others
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina yako matatu na sayari uliyoichagua-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na sayari aliyoichagua-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 112:- PERESI MEPE MEPE MEPE
Kazi yake;- Kumuomba Mungu kujua theory na method zilizotumika kwenye uumbaji
(Mwanzo 1:14-18)​
  • Nyota
  • Sayari
  • Backholes
  • Milkway
  • Meteors
  • Moon
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokushushia ufahamu na kuhuisha fikra zako
(Majina yako matatu na aina ya space object uliyoichagua iwe ni nyota, backholes, sayari, mwezi n.k unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

  1. Kumuombea mtu mwingine-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokushushia ufahamu na kuhuisha fikra zako
(Majina yake matatu na aina ya object aliyoichagua iwe ni nyota, backholes, sayari, mwezi n.k unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 62:- TEKE TEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kufanya bubu aongee
(Luka 11:14, Marko 7:37)​
  • Watoto wadogo waliofikia umri wa kuongea na hawaongei
  • Mtu mzima bubu kuongea
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka atakapoongea au kama haiwezekani Mungu atakupa sababu
(Majina matatu ya mtoto wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka atakapoongea na kama haiwezekani Mungu atakupa sababu
(Majina yake matatu unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Alafu unavyosema mimi ni tapeli ebu nionyeshe sehemu niliyokutapeli huwezi tu mtuhumu tu hajakufanyia ubaya ni tanzania tu utakutana na hii hali

Mimi natumia biblia kutatua changamoto wala sio aibu au kuogopa chochote sababu hakuna baya nalofanaya
Sio lazima akuonyeshe ulipofanya utapeli ila kwa njia hizo unajua tu moyoni mwako lazima kuna wajinga watakuja maana umeshaweka namba na wakija huko utamalizana nao hukohuko maana kuna mtu atafanikiwa kwa michongo yake ,yeye atahisi ndio ujinga wa teketeketeli mara sekeseke sekeli lazima atarudisha shukran ya pesa wakija mia mia mbili hujatoboa?na wakiwambia wajinga wenzao si ushapiga pesa

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Sio lazima akuonyeshe ulipofanya utapeli ila kwa njia hizo unajua tu moyoni mwako lazima kuna wajinga watakuja maana umeshaweka namba na wakija huko utamalizana nao hukohuko maana kuna mtu atafanikiwa kwa michongo yake ,yeye atahisi ndio ujinga wa teketeketeli mara sekeseke sekeli lazima atarudisha shukran ya pesa wakija mia mia mbili hujatoboa?na wakiwambia wajinga wenzao si ushapiga pesa

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo unataka matatizo ya mtu binafsi aje ayasemee huku akili za wapi
Kwamba ni ujinga mda utaongea na ntakukumbusha si-tupo hapa
 
Bible code number 22:- NENELI NENELI NENELI NENELI
Kazi yake;- kumlinda mke wako
(Mwanzo 20:1-14)​
  • Dhidi ya watu wenye hela
  • Dhidi ya watu wenye mamlaka
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka kiu itakapoondoka
(Majina matatu ya mke wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 06:- MENE MENE PETELI PETELI
Kazi yake;- kumthibiti mtoto mtukutu aliyekushinda na aliyeshinda wazazi wake
(Mithali 22:06, Mithali 23:13)​
  • Mtoto aliyeanza kutumia madawa ya kulevya
  • Mtoto ambaye mda mwingine hakai nyumbani
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka utukutu utakapoondoka
(Majina ya mtoto matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 113:-MENE MENE TEKELI TEKELI
Kazi yake;- kujua theory na method za regeneration medicine
(Yohana 18:10)​
  • Kutengeneza artificial organs
  • Kurudisha extinction animals
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina la kiungo alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa ufahamu na kuhuisha fikra zako
(Unatamka kiungo-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 114:- MENE PERESI TEKELI KEKELE
Kazi yake;- kujua animal linguistics
(Mwanzo 3:1-5)​
  • Alphabet
  • Phonetics
  • Phonology
  • Morphology
  • Syntax
  • Semantics
  • Pragmatics
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina la mnyama alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa ufahamu na kuhuisha fikra zako
(Jina la mnyama-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 122:- MENE PERESI TEKELI KEKELE
Kazi yake;- kujua animal linguistics
(Mwanzo 3:1-5)​
  • Alphabet
  • Phonetics
  • Phonology
  • Morphology
  • Syntax
  • Semantics
  • Pragmatics
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina la mnyama alafu zinafuata code mpaka kiu itakapoondoka
(Jina la mnyama) (unatamka bible code)
TANZANIA [emoji1241] NI NCHI TAJIRI CHAPA KAZI
 
Bible code number 54:- PENE MENE MENE PENE
Kazi yake;- Kukupa mbinu za kifikra za kukabiliana na uongozi mbovu
(Waamuzi 17:6, Waamuzi 21:25)
Uongozi mbovu iwe ni kwenye familia, ofisini au mahali popote pale
  • Kiongozi mla rushwa
  • Kiongozi asiyefuata sheria
  • Kiongozi anayeonea walioko chini yake
  • Kiongozi mdini
  • Kiongozi mwenye upeo mdogo

UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka kimoyo moyo mda wowote mpaka kiu itakapoondoka
(Unataja majina ya kiongozi mbovu)(unatamka bible code)
Mwandiko na Taswira ya Mwakasege inanijia kila nikisoma hizi codes!!
 
Back
Top Bottom