Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 54:- PENE MENE MENE PENE
Kazi yake;- Kukupa mbinu za kifikra za kukabiliana na uongozi/kiongozi mbovu
(Waamuzi 17:6, Waamuzi 21:25)​
Uongozi mbovu iwe ni kwenye familia, nchi, kampuni, n.k na usimchukie., mfano ni;-​
  • Kiongozi mla rushwa
  • Kiongozi anayeonea walioko chini yake
  • Kiongozi mdini
  • Kiongozi mwenye upeo mdogo
  • Kiongozi dikteta na asiyefuata taratibi zake binafsi

UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu za kuishi naye kiakili.
(Unataja majina ya kiongozi mbovu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 99:- MENE MENE PENE PENE
Kazi yake;- kupata suluhisho la kisera la tatizo/matatizo ya kiuchumi yanayoikabili nchi
(2 Wafalme 7:6)​
Utapata sera mpya itakayoweza kukubaliana na changamoto zifuatazo​
  • Unemployment
  • Poverty
  • Inflation
  • Sluggish economic growth
  • Income inequalities
  • Public debt
  • Low taxation
  • Others
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata hio sera ambo ni suluhisho ya changamoto husika
(Tatizo la kiuchumi kwenye nchi husika-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
I CREATE AS I SAY, HOCUS POCUS, I LET (*****) HAPPEN QUICKLY ABRA - CADABRA, SEMA HUKU UKIVUTA PUMZI NDANI NA KUIACHIA POLE POLE , DHAMIRIA ISSUE YAKO KWA SIKU SABA UONE KITUKO!...
 
I CREATE AS I SAY, HOCUS POCUS, I LET (*****) HAPPEN QUICKLY ABRA - CADABRA, SEMA HUKU UKIVUTA PUMZI NDANI NA KUIACHIA POLE POLE , DHAMIRIA ISSUE YAKO KWA SIKU SABA UONE KITUKO!...
Hizi code sizibuni zipo kwenye biblia sema huwezi ziona kwa macho ya kawaida yaani it is not a guessing game
 
Bible code number 100:- TEKELI TEKELI TEPE TEPE
Kazi yake;- kukupa mbinu za kukabaliana na mgogoro wa kisiasa unaoutesa nchi
(Luka 17:1-4)​
Mungu ataondoa tatizo au atakupa namna ya kulisitiri tatizo Ila litaendelea kuwepo​
  • Baada ya uchaguzi
  • Maandamano yaliyogeuka vurugu
  • Kugombania madaraka
  • Migogoro ya kikabila
  • Migogoro ya kidini
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata suluhisho la huo mgogoro
(Jina la nchi na aina ya changamoto ya kisiasa nchi inayopitia-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 101:- TEPE MENE TEKELI TEPE
Kazi yake;- kukupa mbinu za kukabiliana na mgogoro wa kisiasa wa nchi mbili uliogeuka vita
(Mithali 7:25-27)​
Mungu ataondoa tatizo au atakupa namna ya kulisitiri tatizo Ila litaendelea kuwepo​
  • Kugombania mipaka
  • Kugombania eneo
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata suluhisho la huo mgogoro
(nchi mbili ambazo zipo kwenye mgogoro wa vita-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 102:- TEPE MENE TEKELI PERESI
Kazi yake;- kukupa mbinu za kukabiliana na ujambazi uliokithiri kwenye nchi au sehemu ya nchi
(Isaya 33:7-24)​
Mungu ataondoa tatizo au atakupa namna ya kulisitiri tatizo Ila litaendelea kuwepo​
  • Ma-gang ya wauza madawa ya kulevya yana-nguvu kwenye eneo flani la mji au nchi
  • Vikundi vya kidini mfano wa jihad vinanguvu sana katika eneo flani la nchi
  • Vikundi vya waasi vinavyomiliki au kuwa na nguvu eneo flani la nchi
  • Matukio ya ubakaji na mauji yanaposhamiri katika eneo flani au nchi nzima kwa ujumla
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata suluhisho la kisera la kukubaliana na huo ujambazi na ualifu
(Nchi iliyoathirika na uhalifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(aina ya uhalifu)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Eneo la nchi liloathirika na uhalifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(aina ya uhalifu)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 78:- TEKELI TEKELI LENE MENE
Kazi yake;- kufunga milango ya bahari iliyofunguka
(Mithali 8:29, Ayubu 38:8)​
  • Kuongezeka kwa bahari kunakotishia kupotea kwa kisiwa au eneo la nchi
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa ruhusa ya kukubali au kukataa
(Kutaja eneo bahari ilipozidi-kutamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 54:- PENE MENE MENE PENE
Kazi yake;- Kukupa mbinu za kifikra za kukabiliana na uongozi/kiongozi mbovu
(Waamuzi 17:6, Waamuzi 21:25)
Uongozi mbovu iwe ni kwenye familia, nchi, kampuni, n.k na usimchukie mfano ni;-
  • Kiongozi mla rushwa
  • Kiongozi anayeonea walioko chini yake
  • Kiongozi mdini
  • Kiongozi mwenye upeo mdogo
  • Kiongozi dikteta na asiyefuata taratibi zake binafsi

UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu za kuishi na kiongozi mbovu kiakili
(Unataja majina ya kiongozi mbovu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 103:- SETE MENE TEKELI PERESI
Kazi yake;- kukupa namna ya kukabiliana na unaowadai na wamegoma kukulipa
(Mambo ya walawi 6:1-7, 8-13)​
  • Kama unayemdai anafanya maksudi kutokukulipa Mungu ataachilia moto ndani yake ambao utamfanya akulipe
  • Kama hana uwezo wa kukulipa Mungu atakupa namna ya kulifanya hilo deni kuwa irrelevant huku ukimsubiria akulipe
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa mbinu
(Unataja majina matatu ya unayemdai-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 104:- TESE MENE TEKELI PERESI
Kazi yake;- kukupa namna ya kukabiliana na hali ya utapeli iliyokutokea
(Zaburi 68:5-6)​
  • Mungu atakupa nguvu na namna ya kukabiliana na utapeli uliokukumba
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu akupe mbinu ya kukabiliana nayo
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Unataja majina matatu ya aliyetapeliwa-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 63:- MENE MENE LEPE LEPE
Kazi yake:- kukupa furaha ya asili
(Filipi 4:4)​
  • Kama uko kwenye depression itakusaidia kupata furaha
  • Kama upo kwenye ukiwa itakusaidia kupata furaha
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka furaha itakapokuja
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Unataja majina matatu ya mtu unayetaka awe na furaha- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 105:- MENE MENE TEKELI PERESI
Kazi yake;- kupambana na shetani anayetawala mahali kupitia viti vya enzi
(Ufunuo 12:7-9, Ufunuo 13:1-10)​
  • Hatua ya kwanza ni kuomba Mungu akuonyeshe kiti/vitu vya enzi shetani anavyomiliki mahali
  • Kuna mawili Mungu anaweza kukupa ruhusa ya kumiliki hivyo viti au vikaendelea kubaki kwa shetani mpaka kusudi lake lifakapotimia ila atakupa namna ya kukabiliana nacho au navyo
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapoketi kwenye kiti
(Unatamka kiti/viti vya enzi anavyomiliki shetani katika mahali husika-unatamka mara tatu tu kw siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 106:- SETE SETE PERESI SETE
Kazi yake;- Kukabiliana na upinzani mkali ulioibuka baada ya wewe au mtu unayemjua kuwa kiongozi kwenye ngazi flani
(Isaya 31:4)​
Mungu atakupa uvumilivu na mbinu za kukabiliana na kuwashinda wapinzani wako pasipo-kuwafanyia ubaya wowote ule​
  • Kwenye familia
  • Kwenye ukoo
  • Kwenye kampuni
  • Serekalini
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu za aman za kukabiliana nazo
(Unataja majina matatu ya kiongozi-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 107:- PENE PENE PENE PENE
Kazi yake;- Kumuondoa shetani kwenye kiti ulichorithi kutoka kwa mtangulizi wako
(Yoshua 14:11-12)​
  • Kuketi pamoja na Roho mtakatifu na roho ya hekima kwenye hiko kiti cha enzi
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapo-mwondoa shetani kwenye kiti cha enzi
(Unatamka jina la kiti ulichorithi-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Unataja jina la kiti mtu mwingine aliyerithi-mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 108:- TEKELI MEPE MEPE MEPE
Kazi yake;- Namna ya kukabiliana na maadui walioibuka baada ya wewe kupata mafanikio
(Ayubu 1:10)​
  • Usiwachukie wala usiwaze kuwafanyia ubaya
  • Mwisho wa siku wao ndo watakaoaibika
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu ya kukabiliana nao kwa amani
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

(Unataja majina matatu ya mtu unayetaka kumuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
MUNGU KUJIBU MAOMBI BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE
  • Mungu hajibu maombi kama unavyotaka bali anajibu anavyoona ni sahii kwako
  • Mungu anajibu maombi in an ugly way, awkward way na kwa namna usiyotarajia na usiyoipenda ila in long run utaona jinsi ulivyotaka Mungu akujibu maombi yako
  • Mungu ni mara chache sana anatumia miujiza na ishara kujibu maombi yako., Ni mara nyingi sana anatumia fikra zetu kujibu maombi yetu.,
  • Kuna watu baada ya kutamka hizi code Mungu ameshajibu maombi yao ila hawajajua kwa sababu wanataka Mungu awajibu kama wanavyotaka wao., jambo la kukumbuka ifanyie kazi fikra iliyokuja baada ya kutamka hizi code usiipuuzie hilo ndo jibu lako
 
Bible code number 53:- MEPE MEPE MEPE MENE
Kazi yake;- kufungua kizazi kilichofungwa kwenye nchi au eneo la nchi
(Hosea 4:10)​
Kama tatizo la kupungua kwa watu ni kubwa sana na limeanza kuathiri hali ya uchumi​
  • Inabadilisha sheria ya ulimwengu wa roho iliyofunga kizazi katika nchi au eneo husika
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapofungua kizazi
(Jina la nchi au eneo-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 109:- MEPE MENE MEPE MEPE
Kazi yake;- ku-ignite fussion activities kwenye nyota zilizolala
(Mwanzo 1:3)​
Mungu atakupa theoretical na method za ku-ignite fussion activities kwenye nyota unayotaka​
  • Jupiter
  • Saturn

UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa ufahamu
(Unatamka jina la nyota/stars-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom