Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu ulioshindikana
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini yanawezayakawa
  • Aggresive cancer
  • Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
  • Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
  • Magonjwa ya moyo
  • Na mengine mengi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 115:- TEKELI MENE MENE PERESI
Kazi yake;- Mungu kuhuisha fikra zako kwenye drug development (pharmaceutical)
(2 wafalme 20:7)​
Hakikisha unasoma kwa bidii​
  • Novel drugs
  • Ameliorate failed and abandoned therapeutics compound
  • Drug reposition for approved drugs
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(aina ya jambo unalotaka kufanya kwenye drug development na ugonjwa uliochagua-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka majina yake na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na aina ya jambo analofanya kwenye drug development-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 09:- LENE MENE TEKELI MENE
Kazi yake;- kuondoa sumu ya kulogwa mwilini mwako
(Mathayo 26:26-28)
Kama umelogwa Mungu ataondoa sumu ya kulogwa iliyoko mwilini kwako na inayokutesa
  • Unaangalia kama sumu ya kulogwa ipo mwilini kwako pasipo kujua
  • Aliyelogwa amekua mgonjwa
  • Aliyelogwa amekua kichaa
  • Kuondoa kitanzi cha chuma ulete
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu akujulishe umelogwa ama haujalogwa
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu mwingine-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka aliyelogwa atapona
(Unataja majina matatu ya aliyelogwa-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 116:- LELE LELE LELELI LELELI
Kazi yake;- Mungu kuhuisha fikra zako juu ya protein
(Mwanzo 1:11-12)
Hakikisha unasoma kwa bidii
  • Predict protein mutation
  • Unlocking protein sequence mechanism
  • Unlocking protein folding mechanism
  • De-novo protein
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(aina ya jambo unalotaka kufanya kwenye protein-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka majina yake na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na aina ya jambo analofanya kwenye protein-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 117:- MENE LENE PERESI PERESI
Kazi yake;- Mungu kuhuisha fikra zako kwenye science ya genes
(Mwanzo 1:24-27)​
Hakikisha unasoma kwa bidii​
  • Classification of genes
  • Predict mutation of genes
  • Predict next generation of genes
  • Genes compatability with therapeutics compounds
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(aina ya jambo unalotaka kufanya kwenye genes-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka majina yake na code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo-huisha fikra zako
(Majina matatu ya unayemuombea na aina ya jambo analofanya kwenye genes-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 118:- LESE MENE TEKELI MENE
Kazi take;- kurudisha kivuli nyuma katika madaraja ya ahazi kwa mgonjwa aliyeko mahututi ili mauti imchukue
(2 wafalme 20:9-11)​
  • Kama una-mgonjwa ameteseka na anataka kufa usimfanyie assisted suicide bali omba Mungu arudishe kivuli chake nyuma
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina la mgonjwa na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka kwenye fikra zako Mungu atakubali au atakataa
(Majina matatu ya mgonjwa-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 119:- LENE TEKELI TEKELI TEKELI
Kazi take;- kupeleka kivuli mbele katika madaraja ya ahazi kwa mgonjwa aliyeko mahututi ili aendelee kuishi
(2 wafalme 20:9-11)
  • Kama una-mgonjwa yuko mahututi na unataka aendelee kuishi
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka kwenye fikra zako Mungu atakubali au atakataa
(Majina matatu ya mgonjwa-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Imekua fasheni skuhizi waganga wa kienyeji kuhamia kwenye uchungaji[emoji28]
 
GIBBETHON BIBLE CODE
Sina jengo linaloitwa kanisa hii ni ibada ya online tunafanya ushirika kupitia kutamka hizi code lengo ni kufikia watu zaidi ya billion 1. Kuna code za kila aina chaguo ni lako na zina lengo la kukupa mbinu za kifikra na miujiza za kukabiliana na changamoto unazokutana nazo.

BIBLE CODE
Ni code ambazo zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.

IBADA YAKO YA KILA SIKU
  1. Unatamka code unayotaka kimoyo moyo kwa mda wa dakika 15 kila siku unakua tayari umeshafanya ibada yako na ukitaka kuzidisha mda wa kuomba uamuzi ni wako
  2. Kama jambo ni la dharura hakikiaha unatamka code mda wote mpaka mzigo utakapoondoka
  3. Swala la kufunga uamuzi ni wako

JINSI BIBLE CODE INAVYOFANYA KAZI
  • Unazijataja kimoyo moyo kwa siri kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata hitaji lako
  • Kwa wale wagonjwa msiache kutumia dawa za hospitalini na matibabu tumieni vyote kwa pamoja
  • Bible code hazitumiki kulipiza kisasi au kumfanyia mtu ubaya, kutapeli au kuvunja sheria za nchi
  • Bible code sio tiketi ya wewe kutokufanya kazi hakikisha unazitumia na unafanya kazi
  • 0713520180 kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
  • Utaendelea kubakia kwenye kanisa lako unalosali sababu sina kanisa au mpango wa kufungua kanisa
  • Watu wa dini nyingine ambayo sio wakristo mnarusiwa kutumia hizi bible code
MUNGU KUJIBU MAOMBI BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE
  • Mungu hajibu maombi kama unavyotaka bali anajibu anavyoona ni sahii kwako. Kuna watu baada ya kutamka hizi code Mungu ameshajibu maombi yao ila hawajajua kwa sababu wanataka Mungu awajibu kama wanavyotaka wao., jambo la kukumbuka ifanyie kazi fikra iliyokuja baada ya kutamka hizi code usiipuuzie hilo ndo jibu lako
  • Mungu anajibu maombi in an ugly way, awkward way na kwa namna usiyotarajia na usiyoipenda ila in long run utaona ile picha uliokua unaitaka kuiona kwenye hitaji lako
  • Mungu ni mara chache sana anatumia miujiza na ishara kujibu maombi yako., Ni mara nyingi sana na kawaida kutumia fikra zetu kujibu maombi yetu.
"Don’t stop praying because you don’t see results immediately"
Unawezaje
 
GIBBETHON BIBLE CODE
Sina jengo linaloitwa kanisa hii ni ibada ya online tunafanya ushirika kupitia kutamka hizi code lengo ni kufikia watu zaidi ya billion 1. Kuna code za kila aina chaguo ni lako na zina lengo la kukupa mbinu za kifikra na miujiza za kukabiliana na changamoto unazokutana nazo.

BIBLE CODE
Ni code ambazo zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.

IBADA YAKO YA KILA SIKU
  1. Unatamka code unayotaka kimoyo moyo kwa mda wa dakika 15 kila siku unakua tayari umeshafanya ibada yako na ukitaka kuzidisha mda wa kuomba uamuzi ni wako
  2. Kama jambo ni la dharura hakikiaha unatamka code mda wote mpaka mzigo utakapoondoka
  3. Swala la kufunga uamuzi ni wako

JINSI BIBLE CODE INAVYOFANYA KAZI
  • Unazijataja kimoyo moyo kwa siri kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata hitaji lako
  • Kwa wale wagonjwa msiache kutumia dawa za hospitalini na matibabu tumieni vyote kwa pamoja
  • Bible code hazitumiki kulipiza kisasi au kumfanyia mtu ubaya, kutapeli au kuvunja sheria za nchi
  • Bible code sio tiketi ya wewe kutokufanya kazi hakikisha unazitumia na unafanya kazi
  • 0713520180 kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
  • Utaendelea kubakia kwenye kanisa lako unalosali sababu sina kanisa au mpango wa kufungua kanisa
  • Watu wa dini nyingine ambayo sio wakristo mnarusiwa kutumia hizi bible code
MUNGU KUJIBU MAOMBI BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE
  • Mungu hajibu maombi kama unavyotaka bali anajibu anavyoona ni sahii kwako. Kuna watu baada ya kutamka hizi code Mungu ameshajibu maombi yao ila hawajajua kwa sababu wanataka Mungu awajibu kama wanavyotaka wao., jambo la kukumbuka ifanyie kazi fikra iliyokuja baada ya kutamka hizi code usiipuuzie hilo ndo jibu lako
  • Mungu anajibu maombi in an ugly way, awkward way na kwa namna usiyotarajia na usiyoipenda ila in long run utaona ile picha uliokua unaitaka kuiona kwenye hitaji lako
  • Mungu ni mara chache sana anatumia miujiza na ishara kujibu maombi yako., Ni mara nyingi sana na kawaida kutumia fikra zetu kujibu maombi yetu.
"Don’t stop praying because you don’t see results immediately"
Hiyo ndio hekima...Mungu atubariki ..
 
Bible code number 11:- KESE KESE MENE KESE
Kazi yake;- kujua mwanaume/mwanamke uliyekua naye kwenye mahusiano kwa mda huu anafaa kuingia naye kwenye ndoa na kutengeneza familia
(Mathayo 7:6-7)​
Kuna kundi kubwa la vijana wapo kwenye mahusiano na wanampango wa kuingia kwenye ndoa kabla hujaingia kwenye ndoa fanya haya maombi ili kujua huyo mwenza wako ni mtu sahii au la​
  • Kama huyo mwenza wako ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano
  • Kama huyo mwenza wako sio sahii Mungu atawatenganisha bila ya wewe kutumia nguvu

UNATUMIAJE
  1. Mwanaume-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanaume ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo Kama huyo mtu aliyekua nae sio sahii Mungu atawatenganisha kama ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano yao
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 09:- LENE MENE TEKELI MENE
Kazi yake;- kuondoa sumu ya kulogwa mwilini mwako
(Mathayo 26:26-28)
Kama umelogwa Mungu ataondoa sumu ya kulogwa iliyoko mwilini kwako na inayokutesa
  • Unaangalia kama sumu ya kulogwa ipo mwilini kwako pasipo kujua
  • Kama umekuta nyumbani au ofisini kwako kuna ndege, paka au mnyama yeyote ameuliwa
  • Aliyelogwa amekua mgonjwa
  • Aliyelogwa amekua kichaa
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unakua unatamka kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu akujulishe umelogwa ama haujalogwa
(Unataja majina yako matatu)(unatamka bible code)
  1. Kumwombea mtu mwingine-unakua unatamka kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka aliyelogwa atapona
(Unataja majina matatu ya aliyelogwa)(unatamka bible code)
Wengine mmekuta nyumbani kwenu au ofisi mnazofanyia kazi kuna ndege au mnyama yeyote ameuliwa
Usiache hio hali hakikisha unatamka hizo code ili kuiondoa hio sumu
"Ni bure haiuzwi gharama yako ni imani tu"
 
Bible code number 21:- TEKELI TEKELI TEKELI MENE
Kazi yake;- Kuondoa sumu iliyotokana na kung'atwa na nyoka kwenye ndoto
(Hesabu 21:9)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka sumu itakapoondoka kwenye ulimwengu wa mwili
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka sumu itakapoondoka kwenye ulimwengu wa mwili
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom