Gibbethon bible code
JF-Expert Member
- Oct 9, 2023
- 439
- 677
- Thread starter
- #341
Ila sijawah kukuomba helaNilipoona una whatsapp group nikajua tayari njaa imekuuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila sijawah kukuomba helaNilipoona una whatsapp group nikajua tayari njaa imekuuma.
Mithali 26:4Huu Ni ushirikina 100%
Mithali 26:4Imekua fasheni skuhizi waganga wa kienyeji kuhamia kwenye uchungaji[emoji28]
UnawezajeGIBBETHON BIBLE CODE
Sina jengo linaloitwa kanisa hii ni ibada ya online tunafanya ushirika kupitia kutamka hizi code lengo ni kufikia watu zaidi ya billion 1. Kuna code za kila aina chaguo ni lako na zina lengo la kukupa mbinu za kifikra na miujiza za kukabiliana na changamoto unazokutana nazo.
BIBLE CODE
Ni code ambazo zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.
IBADA YAKO YA KILA SIKU
- Unatamka code unayotaka kimoyo moyo kwa mda wa dakika 15 kila siku unakua tayari umeshafanya ibada yako na ukitaka kuzidisha mda wa kuomba uamuzi ni wako
- Kama jambo ni la dharura hakikiaha unatamka code mda wote mpaka mzigo utakapoondoka
- Swala la kufunga uamuzi ni wako
JINSI BIBLE CODE INAVYOFANYA KAZI
MUNGU KUJIBU MAOMBI BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE
- Unazijataja kimoyo moyo kwa siri kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata hitaji lako
- Kwa wale wagonjwa msiache kutumia dawa za hospitalini na matibabu tumieni vyote kwa pamoja
- Bible code hazitumiki kulipiza kisasi au kumfanyia mtu ubaya, kutapeli au kuvunja sheria za nchi
- Bible code sio tiketi ya wewe kutokufanya kazi hakikisha unazitumia na unafanya kazi
- 0713520180 kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
- Utaendelea kubakia kwenye kanisa lako unalosali sababu sina kanisa au mpango wa kufungua kanisa
- Watu wa dini nyingine ambayo sio wakristo mnarusiwa kutumia hizi bible code
"Don’t stop praying because you don’t see results immediately"
- Mungu hajibu maombi kama unavyotaka bali anajibu anavyoona ni sahii kwako. Kuna watu baada ya kutamka hizi code Mungu ameshajibu maombi yao ila hawajajua kwa sababu wanataka Mungu awajibu kama wanavyotaka wao., jambo la kukumbuka ifanyie kazi fikra iliyokuja baada ya kutamka hizi code usiipuuzie hilo ndo jibu lako
- Mungu anajibu maombi in an ugly way, awkward way na kwa namna usiyotarajia na usiyoipenda ila in long run utaona ile picha uliokua unaitaka kuiona kwenye hitaji lako
- Mungu ni mara chache sana anatumia miujiza na ishara kujibu maombi yako., Ni mara nyingi sana na kawaida kutumia fikra zetu kujibu maombi yetu.
Unaposema unamalizia na maana yake unamaanisha nn,fungua code kakaCode ambayo nimetumia na imenisaidia kwa asilimia 100%,ni "ELOI ELOI LAMA SABAKITANI" natamka hilo namalizia na tafsiri yake, rudia bila kuchoka mara kwa mara faraja haitakuwa mbali nawe!
Hiyo ndio hekima...Mungu atubariki ..GIBBETHON BIBLE CODE
Sina jengo linaloitwa kanisa hii ni ibada ya online tunafanya ushirika kupitia kutamka hizi code lengo ni kufikia watu zaidi ya billion 1. Kuna code za kila aina chaguo ni lako na zina lengo la kukupa mbinu za kifikra na miujiza za kukabiliana na changamoto unazokutana nazo.
BIBLE CODE
Ni code ambazo zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.
IBADA YAKO YA KILA SIKU
- Unatamka code unayotaka kimoyo moyo kwa mda wa dakika 15 kila siku unakua tayari umeshafanya ibada yako na ukitaka kuzidisha mda wa kuomba uamuzi ni wako
- Kama jambo ni la dharura hakikiaha unatamka code mda wote mpaka mzigo utakapoondoka
- Swala la kufunga uamuzi ni wako
JINSI BIBLE CODE INAVYOFANYA KAZI
MUNGU KUJIBU MAOMBI BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE
- Unazijataja kimoyo moyo kwa siri kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata hitaji lako
- Kwa wale wagonjwa msiache kutumia dawa za hospitalini na matibabu tumieni vyote kwa pamoja
- Bible code hazitumiki kulipiza kisasi au kumfanyia mtu ubaya, kutapeli au kuvunja sheria za nchi
- Bible code sio tiketi ya wewe kutokufanya kazi hakikisha unazitumia na unafanya kazi
- 0713520180 kuna watu wanamaswali binafsi na wasingependa kushare huku kitu ambacho ni sahii wanakaribishwa
- Utaendelea kubakia kwenye kanisa lako unalosali sababu sina kanisa au mpango wa kufungua kanisa
- Watu wa dini nyingine ambayo sio wakristo mnarusiwa kutumia hizi bible code
"Don’t stop praying because you don’t see results immediately"
- Mungu hajibu maombi kama unavyotaka bali anajibu anavyoona ni sahii kwako. Kuna watu baada ya kutamka hizi code Mungu ameshajibu maombi yao ila hawajajua kwa sababu wanataka Mungu awajibu kama wanavyotaka wao., jambo la kukumbuka ifanyie kazi fikra iliyokuja baada ya kutamka hizi code usiipuuzie hilo ndo jibu lako
- Mungu anajibu maombi in an ugly way, awkward way na kwa namna usiyotarajia na usiyoipenda ila in long run utaona ile picha uliokua unaitaka kuiona kwenye hitaji lako
- Mungu ni mara chache sana anatumia miujiza na ishara kujibu maombi yako., Ni mara nyingi sana na kawaida kutumia fikra zetu kujibu maombi yetu.
Wengine mmekuta nyumbani kwenu au ofisi mnazofanyia kazi kuna ndege au mnyama yeyote ameuliwaBible code number 09:- LENE MENE TEKELI MENE
Kazi yake;- kuondoa sumu ya kulogwa mwilini mwako
(Mathayo 26:26-28)
Kama umelogwa Mungu ataondoa sumu ya kulogwa iliyoko mwilini kwako na inayokutesa
UNATUMIAJE
- Unaangalia kama sumu ya kulogwa ipo mwilini kwako pasipo kujua
- Kama umekuta nyumbani au ofisini kwako kuna ndege, paka au mnyama yeyote ameuliwa
- Aliyelogwa amekua mgonjwa
- Aliyelogwa amekua kichaa
(Unataja majina yako matatu)(unatamka bible code)
- Binafsi-unakua unatamka kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu akujulishe umelogwa ama haujalogwa
(Unataja majina matatu ya aliyelogwa)(unatamka bible code)
- Kumwombea mtu mwingine-unakua unatamka kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka aliyelogwa atapona