Natumia Biblia kutatua changamoto

Pole ila nafikiri utakuwa na matatizo ya kiakili kuamini Biblia au Qur'an
 
Kichwa unatumia kama kifuniko cha shingo madhara utaonea wapi
We ni mshamba tu wanaume wenzako wanatafuta fulsa we baki hapo na majungu yako kumbuka majungu sio mtaji

Kama umeshindwa prove baya alilofanya mleta uzi we ni mshamba na limbukeni-We endelea kuumia huku wenzako wakitafuta fulsa

Unatamchukia mtu kwa sababu ya hisia zako tu
 
Punguza kujieleza andika comment fupi. sijasoma upuuzi wako
 
Punguza kujieleza andika comment fupi. sijasoma upuuzi wako
Usikasirike wenzako wakitafuta fulsa ukiendelea hivyo utakua mchawi alafu bado ni kijana mdogo

Kuna sehemu yeyote amekuambia umtumie ela hapana huo utapeli unatoka wapi
 
BIBLE CODE NI BURE HAZIUZWI
Bible code nazoshare huku zimekua manufactured kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi. Bible code nazotoa ni bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.
 
Hata Yesu walimwambia ana mapepo
Ila wewe u dhahiri kabisa. Nahisi hii ID ya Mfalme Zumarid au utakuwa mmoja wa zile zombie zake. Kwa miaka dahari ya kusoma Biblia na ktumika mbele za Mungu. Sijawahi kukutana na hiki kitu. Hiki ni cha mapepo, acha kupotosha. Hatudanganyiki ng'ooooooo huku JF.
 
Kwani kuna sehemu nimekulazimisha uamini nachoamini
 
Pepo tu wewe tena ndio Jini Maimuna na unatusumbua humu. Hakuna Ukristo wa namna hiyo. Pepo hilooooooooooooooooooooooo🗑 🚮 🗑 🚮 🗑 🚮 🗑 toa uchawi wako hapa. Hutuwezi ng'ooooooo
Hiyo umesema wewe wivu unakusumbua
Mda utaongea
 
Hiyo umesema wewe wivu unakusumbua
Mda utaongea
Hahaaaaaa kwa muda wote niliokaa humu duniani na.kutumika ndani ya Kanisa toka Lutheran miaka ya 1980 to 1990's chini ya Hubert Hafferman na toka 1998 TAG chini ya watumishi Mbalimbali tangu akina Kulola hadi sasa Mzee..... sijawahi ina kitu kama hiki ndani ya Ukristo. Tuondolee uchawi wako lwa Gia ya Ukristo. We ungesema unatumia Uganga kutatua matatizo na sio Biblia. Hapo ndio kwenye tatizo na wana JF.
 

Marko 3:22-30

22 Walimu wa sheria waliotoka Yerusalemu walikuwa wakisema, “Amepagawa na Beelzebuli, mkuu wa mashetani; na ni kwa uwezo wa Beelzebuli anawafukuza mashetani.”

 
Songa mbele ndugu, kazi yako ni njema, haya mambo kwa wengine ni msaada kwa wengine ni upuuzi.
Ukifuatilia hakuna sehemu yeyote pale kuna masharti ya ajabu moja ya jambo ambalo si la K-Mungu angalia masharti yake mara nyingi huwa ni ya ajabu ajabu

Kitendo cha kutamka code kimoyo moyo kwa siri kwa dakika 15 nalo linaonekana sharti la ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…