Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

### Mungu afanye ishara zote kwa adui yako alizokusudia###

Bible code number 140:- LESE TEKELI PERESI MENE
Kazi yake; Kumuomba Mungu afanye ishara zote baada ya kuufanya moyo wa adui wako kuwa mgumu
(Kutoka 4:21, 7:23, 8:15, 8:32, 9:12, 9:35, 10:20, 11:10, Warumi 9:17-18)​
Sio kila adui katika maisha yako utamshinda kirahisi rahisi ni mpaka pale Mungu atakapofanya ishara zote kwa adui yako alizokusudia ndo utamshinda.​
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapofanya ishara zote alizokusudia kwa adui yako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Jaribu kukaa na ujinga wako usiwalishe wenzio,je umeweza kutatua changamoto za ndugu zako kwa biblia?
 
###ukiwa katika bonde la uvuli wa mauti###

Bible code number 02:- ELOI ELOI LAMA SABAKTHANI
Kazi yake;- kukupa nguvu ukiwa katika nyakati ngumu sana unapopita katika bonde la uvuli wa mauti
(Mathayo 27:46, Zaburi 23)
  • Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, unakua na uchungu wa moyo, pia unajikuta ukitaman kulia lakini machozi hayatoki kutoka..but we have to be strong; sababu ni mpaka kusudi la Mungu litimie ndo ugumu unaopitia utaondoka usitumie nguvu kubwa sana kuondoa hio changamoto sababu italeta negative impact kubwa sana kwako.
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu utakapomaliza kulivuka bonde la uvuli wa mauti.
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu utakapomaliza kulivuka bonde la uvuli wa mauti.
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###Mungu kukupa ujasiri katika maisha ya kila siku####

Bible code number 141:- REPE MENE TEKELI PERESI
Kazi yake; Mungu kukupa ujasiri
(Yoshua 1:6-7, 1:9)​
UNATUMIAJE
  1. Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jiran yako asijue) kwa imani na msisitizo mda wowote ule mpaka utakapoona fulsa
(Unatamka jina lako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###kushinda nguvu za giza kwenye biashara yako au kazi yako###

Bible code number 68:- MENE PESI PERESI TEKELI
Kazi yake;- Kujikinga, kulinda na kuwashinda wachawi wanaokutesa unapoishi, wanaozuia biashara yako isikue, na wafanyakazi wenzako wanaokuloga kazini
(Kutoka 7:8-12, Yeremia 8:17, Ufunuo 12:11)
Usiende kuloga kama wafanyavyo wenzako au kutoa kafara au kuongea na wazee tamka hizi code kwa imani
  • Kulinda biashara yako ya kilimo na tanzi ya chuma ulete
  • Biashara yako ya madini na tanzi ya chuma ulete
  • Biashara yako ya uvuvi na tanzi ya chuma ulete
  • Kazi uliyoajiriwa
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakaposhinda wachawi unaoshindana nao
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu anayesumbuliwa na wachawi-unatamka jina lake na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapowashinda wachawi unaoshindana nao
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Biashara yako-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakaposhinda wachawi unaoshindana nao
(Majina yako matatu-aina ya biashara unayofanya (ukitaja jina la biashara yako itakua vizuri zaidi)unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kazi unayofanya-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakaposhinda wachawi unaoshindana nao
(Majina yako matatu-jina la kampuni unayofanyia kazi-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Ndiyo maana nimekuambia una matatizo ya kiakili, we endelea kukaa tu hapo msikitini ukisubiri kahawa na kashata huku ukiteta wanaume wenzako
Hivi unanijua mpaka unaniambia nakaa hapo msikitini
Stress za maisha ni tatizo kubwa sana Tanzania yaani unamvaa na kumtuhumu mtu usiyemjua nenda hospitalini una tatizo kubwa sana la akili
 
HV nilikuwa wapi mm sijaona Uzi huu aloo mkuu nakuja dm nipokee Nina mambo ya msingi ya kuulizia hapa kimya kimya
 
Hivi unanijua mpaka unaniambia nakaa hapo msitini
Stress za maisha ni tatizo kubwa sana Tanzania yaani unamvaa na kumtuhumu mtu usiyemjua nenda hospitalini una tatizo kubwa sana la akili
Acha nae huyu wakala wa ibilisi pasipo kujuwa wee Ni wakala
 
### kwa wale wanaotafuta wake ###

Bible code number 10:- SESE SESE SESESI SESESI
Kazi yake;- Mungu kukusaidia kutafuta mke au mume
(Mithali 31:10-31, hesabu 27:4-11)
Kama hupati mtu sahihi na una-matamanio ya ndoa
Kuwa tayari kwa kumpata mtu ambaye ni chaguo la Mungu na sio chaguo lako

UNATUMIAJE
  1. Mwanaume-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapompata mke
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapompata mme
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mme au mke
(Majina yake matatu unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###kujua siri ya mafanikio yako imefichwa wapi###

Bible code number 07:- KEKE KEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kujua hazina yako ilipo
(1 samwel 2:1-10, Luka 12:34, Mathayo 6:21)
Hii itakusaidia kujua siri ya mafanikio
yako imefichwa kwenye kazi/shughuli ipi
  • Mapenzi ya Mungu yatimizwe uwe tajiri au na maisha ya kawaida-(kama ni mpango wa Mungu uwe tajiri utakua tajiri bila kutumia nguvu kubwa sana, na kwa-Mungu hamna utajiri wa kulazimisha)

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na iman mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
###kujua siri ya mafanikio yako imefichwa wapi###

Bible code number 07:- KEKE KEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kujua hazina yako ilipo
(1 samwel 2:1-10, Luka 12:34, Mathayo 6:21)
Hii itakusaidia kujua siri ya mafanikio
yako imefichwa kwenye kazi/shughuli ipi
  • Mapenzi ya Mungu yatimizwe uwe tajiri au na maisha ya kawaida-(kama ni mpango wa Mungu uwe tajiri utakua tajiri bila kutumia nguvu, na kwa-Mungu hamna utajiri wa kulazimisha)

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na iman mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
Mkuu nimekutumia PM
 
### kama umengatwa na nyoka kwenye ndoto ###

Bible code number 21:- TEKELI TEKELI TEKELI MENE
Kazi yake;- Kuondoa sumu iliyotokana na kung'atwa na nyoka kwenye ndoto
(Hesabu 21:9)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka sumu itakapoondoka kwenye ulimwengu wa mwili
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka sumu itakapoondoka kwenye ulimwengu wa mwili
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### je anafaa kujenga naye familia Muulize Mungu ###

Bible code number 11:- KESE KESE MENE KESE
Kazi yake;- kujua mwanaume/mwanamke uliyekua naye kwenye mahusiano kwa mda huu anafaa kuingia naye kwenye ndoa na kutengeneza familia
(Mathayo 7:6-7)
Kuna kundi kubwa la vijana wapo kwenye mahusiano na wanampango wa kuingia kwenye ndoa kabla hujaingia kwenye ndoa fanya haya maombi ili kujua huyo mwenza wako ni mtu sahii au la
  • Kama huyo mwenza wako ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano
  • Kama huyo mwenza wako sio sahii Mungu atawatenganisha bila ya wewe kutumia nguvu
UNATUMIAJE
  1. Mwanaume-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanaume ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo Kama huyo mtu aliyekua nae sio sahii Mungu atawatenganisha kama ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano yao
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### Tumia fimbo ya Musa kwenye changamoto au tatizo linalokuja na baada ya mda linajirudia tena ###

Bible code number 142:- TELE TELE MENE TELE
Kazi yake;- Tumia fimbo ya Musa kukabiliana na changamoto inaondoa na baada ya mda inajirudia tena
( Kutoka 17:1-7, Hesabu 20:2-13)​
  • Usimlalamikie wala kumnungunikia Mungu
  • Bali fanya haya maombi na Mungu atakupa mbinu za kumkabili
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-changamoto inayojirudia unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo Kama huyo mtu aliyekua nae sio sahii Mungu atawatenganisha kama ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano yao
(Majina matatu unayemuombea-changamoto inayojirudia rudia kwake-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom