Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 159:- TETEPE TETEPE TETEPE TETEPE
Kazi yake;- kusikiliza sauti za damu zinazolilia kisasi sehemu husika
(Mwanzo 4:10)​
UNATUMIAJE
  1. Unataja eneo-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakaposikia sauti za damu zinazolilia kisasi sehemu husika
(Unataja eneo- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 160:- TETEPE MENE MENE PERESI
Kazi yake;- kunyunyuzi damu ya Yesu kama njia ya kunyamazisha damu zinazodai kisasi
(Ebrania 12:24)​
UNATUMIAJE
  1. Unataja eneo-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapo nyamazisha hizo
(Unataja eneo- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 21:- TEKELI TEKELI TEKELI MENE
Kazi yake;- Kuondoa sumu iliyotokana na kung'atwa na nyoka kwenye ndoto
(Hesabu 21:9)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka sumu itakapoondoka kwenye ulimwengu wa mwili
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code kimoyo moyo angalau dakika 15 kwa siku (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka sumu itakapoondoka kwenye ulimwengu wa mwili
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
Okay
 
Bible code number 62:- TEKE TEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kufanya bubu aongee
(Luka 11:14, Marko 7:37)​
  • Watoto wadogo waliofikia umri wa kuongea na hawaongei
  • Mtu mzima bubu kuongea
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka atakapoongea au kama haiwezekani Mungu atakupa sababu
(Majina matatu ya mtoto wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asisikie) kwa imani na msisitizo mpaka atakapoongea na kama haiwezekani Mungu atakupa sababu
(Majina yake matatu unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
Naomba kujua dawa ya mtu mwenye na Kigugumizi
 
Bible code number 161:- PERESI LESE LESE LESE
Kazi yake;- kuchukua baraka ya torati na ionekane kwenye maisha yako ya kila siku
(Kumbukumbu la torati 28:1-13)​
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapochua baraka ya torati
(Jina lako- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu utakapochua baraka ya torati
(Jina la mtu unayemuombea- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kupata Riziki ya kila siku ###

Bible code number 01:- TEKE TEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kumuomba Mungu akupe mkate (rizki) wa kila siku
(Mathayo 6;9-13)
Mungu kukupa rizki katika kazi zako za kukuingizia kipato
  • Mungu atakupa akili ya kupata kipato kwa njia za halali hutategemea rushwa kupata kipato
  • Hata-kama ukiwa katika hali ngumu sana huna ajira au unaumwa Mungu atakupa namna ya kupata kipato cha kila siku
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
OUR PRODUCT -BIBLE CODE (luka 24:45)
Jumla zipo 162 na zote zipo kwenye huu uzi; zimekua digested kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi ndo maana chini yake kuna mstari wa biblia. Bible code unatumia bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.
 
### kupata faida kwenye biashara ngumu###

Bible code number 77:- TEKELI SENE PERESI SENE
Kazi yake;- Mungu kukupa mbinu ya kupata faida kwenye biashara ambayo ni ngumu kupata faida na imewashinda wengi.
(Isaya 48:17, Zaburi 32:8)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu
(Majina yako matatu na jina la biashara yako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu
(Majina matatu unayemuombea na Jina la biashara yake-unatamka mara tatu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 162:- PERESI PERESI LESE MENE
Kazi yake;- kufanya ushirika na roho za watakatifu katika biblia waliokufa angali wanampendeza Mungu
(2 Wafalme 2:9)​
  • Musa
  • Eliya
  • Paulo
  • Daudi
  • Yosia
  • Samwel
  • Ruthu
  • Abishagi mshunami
  • Na wengineo
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina yako matatu-jina la mtakatifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina matatu ya mtu unayemuombea-jina la mtakatifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kufanya ushirika na roho ya eliya ###

Bible code number 162:- PERESI PERESI LESE MENE
Kazi yake;- kufanya ushirika na roho za watakatifu katika biblia waliokufa angali wanampendeza Mungu
(2 Wafalme 2:9)
  • Musa
  • Eliya
  • Paulo
  • Daudi
  • Yosia
  • Samwel
  • Ruthu
  • Abishagi mshunami
  • Na wengineo
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina yako matatu-jina la mtakatifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina matatu ya mtu unayemuombea-jina la mtakatifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kufanya ushirika na roho ya daudi ###

Bible code number 162:- PERESI PERESI LESE MENE
Kazi yake;- kufanya ushirika na roho za watakatifu katika biblia waliokufa angali wanampendeza Mungu
(2 Wafalme 2:9)
  • Musa
  • Eliya
  • Paulo
  • Daudi
  • Yosia
  • Samwel
  • Ruthu
  • Abishagi mshunami
  • Na wengineo
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina yako matatu-jina la mtakatifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina matatu ya mtu unayemuombea-jina la mtakatifu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 163:- PERESI LESE LESE LESE
Kazi yake;- kuifungua (unlocking) changamoto inayokukabili ili upate shekeli/fedha, heshima na Mungu achukue utukufu wake
(Isaya 30:27, 31:1-9, 32:1-19, 33:1-15)​
Mara nyingi unapoomba hitaji lolote lile Mungu analeta changamoto kama ishara ya kujibu maombi/ombi lako, na ndani ya hiyo changamoto ndo kuna majibu ya ombi lako kwa Mungu ikitokea changamoto fanya yafuatayo ili upate baraka yako;-​
  • Changamoto yeyote unayokabiliana nayo Mungu hana mpango wa kuitoa in first place ni mpaka kusudi lake litakapotimia ndo ataiondoa. Mungu anataka u-thrive kwenye changamoto inayokukabili
  • Usitumie nguvu kubwa sana kuitoa changamoto iliyokukabili, iliyokushinda na iliyokukalia kooni
  • Muombe Mungu iwe irrelevant kupitia bible code number 138
  • Usizire mfano mdogo wako anaweza aka ni mteja wa madawa ya kulevya, mlevi chakari, mwizi, anajiuza n.k usimzire na kumuacha unapishana na baraka yako
  • Usikimbilie kuomba msaada kwa watu wengine ukifanya hivyo unakimbiza baraka zako zilizoko ndani ya changamoto
  • Usimlalamikie Mungu
  • Tamka hizi bible code ili uone baraka zilizopo ndani ya hiyo changamoto
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-aina ya changamoto inayokukabili- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina la mtu unayemuombea- aina ya changamoto inayomkabili-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### Roho mtakatifu kukupa nguvu kwenye kazi zako ambazo unatumia nguvu ###

Foundation bible code X:- MESE MESE MEMESI MEMESI
Kazi yake;- Yesu kukubatiza kwa Roho mtakatifu na moto (Yohana 1:33, Matendo ya mitume 2:1-25, luka 4:18, waamuzi 14:6,19, Waamuzi 15:14)
Kama una-mtoto mchanga au mtu mzima ni vizuri ukamuomba Yesu akambatiza kwa Roho mtakatifu na moto
  • Roho mtakatifu kukaa juu yako
  • Roho mtakatifu kukaa ndani yako
  • Roho mtakatifu kuhuisha akili zako zifanye kazi kwa manufaa yako
  • Roho mtakatifu kukupa nguvu kwenye shughuli zako za kila siku
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na imani mpaka Yesu kristo atakapombatiza kwa Roho mtakatifu na moto na atakupa ishara ya kukujibu
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code-angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mtoto wako mchanga-Unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na imani mpaka Yesu atakapombatiza kwa Roho mtakatifu na moto na atakupa ishara ya kukujibu
(Majina yake matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na imani mpaka Yesu kristo atakapombatiza kwa Roho mtakatifu na moto na atakupa ishara ya kukujibu
(Majina yake matatu unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code anagalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri tu)
 
BURE BILA MALIPO YOYOTE YA FEDHA-(Mathayo 10:8)
Bible code unatumia bure haziuzwi gharama ni imani na subira yako, hakuna dau lolote la kumuona mtu we tumia hizo bible code kwa imani yako utapona.
 
Bible code number 164:- TEKELI LEPE TEKELI TEKELI
Kazi yake;- Mungu kuwasha nuru katika nchi
(Isaya 9:2-3, 60:1-23)​
UNATUMIAJE
  1. Nchi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka
(Jina la nchi - unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Sehemu ya nchi-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka
(Sehemu ya nchi/wilaya/mkoa/kanda - unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 165:- REPE TETELI LEPE MENE
kazi yake;- Mungu kukupa ubunifu kwenye utengenezaji wa rocket za kusafiria nje ya dunia
(Mwanzo 11:1-9)​
UNATUMIAJE
  1. Kampuni/shirika-Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina la nchi - unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 166:- PESI PESI TEKELI PESI
Kazi yake;- Kumuomba Mungu amtume malaika wake amfikishie ujumbe mtu ambaye imekua ngumu kukuelewa kwenye jambo la ki-Mungu
(Mathay 1:20, Mwanzo 31:11-12, Waamuzi 6:11-13, Matendo ya mitume 12:5-10)​
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina la mtu ambaye unataka malaika amfikishie ujumbe - unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 158:- SETE SETE SETE PERESI
Kazi yake;- kusikiliza mazungumzo kati ya Mungu na shetani
(Ayubu 1:7-12, 2:1-7, 1 Wafalme 22:20-22)​
  • Kujua ukubwa na mipaka ya kibali alichopewa shetani na Mungu cha kujaribu na kutesa watakatifu

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Jina lako- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Jina lake- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Nchi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Jina la nchi- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
Samahani mwanamke ameingiaje tena kwenye kutamka kimoyo moyo?
 
Back
Top Bottom