only for studying
Member
- May 25, 2020
- 95
- 211
OkTyping error
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkTyping error
### kwa yale magonjwa yaliyoshindikana hospitalini ###
Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini
UNATUMIAJE
- Aggresive cancer
- Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
- Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
- Magonjwa ya moyo
- Na mengine mengi
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
- Binafsi-unatamka kimoyo moyo (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
- Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyon (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
Umetapeliwa sh ngapi ebu weka ushahidi wa utapeliUTAPELI MTUPU
Umetapeliwa sh ngapi ebu weka ushahidi wa utapeli
Umetoka kwenye utapeli umeamia kwenye wazimu kama mstari wa luka hautibu we shida yako ni niniUtapeli kwani ni wa pesa tu ? Yaani barua ya mtu wa kufirika aliyepewa jina la Luka, kwa rafiki yake Theophilus iwe na code ya dawa ya kutibu magonjwa? 😜😜😜
Kama si wazimu ni kitu gani ? au bangi Za chato zinawaharibu akili😝😝😝
Umetoka kwenye utapeli umeamia kwenye wazimu kama mstari wa luka hautibu we shida yako ni nini
Mbona unateseka kwani umelazimishwa kutumia
Majungu sio mtaji